Ni masaa machache tu yamebaki kabla ya singo nyingine ya Saed Kubenea na Mwanahalisi kuingia mtaani, kama kawaida singo hiyo itasheheni maneno ya kashfa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na familia yake. Wakati singo hiyo ikitoka, kwa maelekezo ya waajiri wake wapya aliopingana nao sana kabla ya kusalimu amri, inatarajiwa pia kwamba atakuwa anaendelea na majukumu yake mapya ya kumtakasa Edward Lowassa na wafuasi wake wa ufisadi.
Kwa hakika sasa hivi ile jumatano ambayo ilikuwa iisubiriwa na watanzania wengi kwa hamasa na kiu kubwa kulisubiri gazeti hilo sasa wamehamisha imani yao kwa Raia Mwema.
Karibu kwa mara nyingine bwana Kubenea, utakase unaowatumikia na 'kumuua' mkuu wa nchi na familia yake.
Kwa hakika sasa hivi ile jumatano ambayo ilikuwa iisubiriwa na watanzania wengi kwa hamasa na kiu kubwa kulisubiri gazeti hilo sasa wamehamisha imani yao kwa Raia Mwema.
Karibu kwa mara nyingine bwana Kubenea, utakase unaowatumikia na 'kumuua' mkuu wa nchi na familia yake.