The Dude
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 1,029
- 461
Update 26th October 2013: 1st eviction night, Uganda's undercover Brothers and Kenya's Mishel are Out!!
Update: Poor Tanzanians! two are evicted! We're left only with Hisia and That pretty lady wth powerful vocals,Angel.
UPDATE:Show ndo imeanza tena rasmi usiku wa leo. Tunategemea washiriki kadhaa wataingia kwenye academy na wengine kubeba virago.
Join me watching and observing .
Inaoneshwa Citizen Tv na Channel 5
Wasalaam.
Rejeeni kichwa cha habari hapo juu.
Binafsi nimeangalia leo hicho kipindi. Ni burudani kwa kweli. Kuna vipaji vya hali ya juu kutoka nchi zote shiriki save for Southern Sudan ambao wamebakia na mshiriki mmoja tu so far katika top 25.
And for the first time nadhani Tanzania tumepeleka vipaji hasa.
Na safari hii former BSS contestants including Nkwabi wote wamepgwa chini.
Nimeona ishu ya upendeleo wa wazi kwa wakenya.Walikua 7-tofauti na nchi nyingine zote,na wamepita 6 kati ya hao including a duo. Tanzania walikua watano na wameenda wanne kwenye top 25. Ikumbukwe kuwa bado hawajaingia kwenye academy mpaka next week na kuna mchujo mwingine prior to that.
Baada ya hapo nikarudi kuangalia EBSS. Ninaandika ujumbe huu nikiwa hospitali kitandani nikitibiwa kutokana na heart attack nlopata baada ya kutazama show yao. I am considering law suit for mental and physical injury as a result.
Hivi mnadhani hawa BSS wana nia hasa ya kutafuta vipaji?Hivi unaweza kulinganisha na washiriki hata wasiosail through TPF6?
Update: Poor Tanzanians! two are evicted! We're left only with Hisia and That pretty lady wth powerful vocals,Angel.
UPDATE:Show ndo imeanza tena rasmi usiku wa leo. Tunategemea washiriki kadhaa wataingia kwenye academy na wengine kubeba virago.
Join me watching and observing .
Inaoneshwa Citizen Tv na Channel 5
Wasalaam.
Rejeeni kichwa cha habari hapo juu.
Binafsi nimeangalia leo hicho kipindi. Ni burudani kwa kweli. Kuna vipaji vya hali ya juu kutoka nchi zote shiriki save for Southern Sudan ambao wamebakia na mshiriki mmoja tu so far katika top 25.
And for the first time nadhani Tanzania tumepeleka vipaji hasa.
Na safari hii former BSS contestants including Nkwabi wote wamepgwa chini.
Nimeona ishu ya upendeleo wa wazi kwa wakenya.Walikua 7-tofauti na nchi nyingine zote,na wamepita 6 kati ya hao including a duo. Tanzania walikua watano na wameenda wanne kwenye top 25. Ikumbukwe kuwa bado hawajaingia kwenye academy mpaka next week na kuna mchujo mwingine prior to that.
Baada ya hapo nikarudi kuangalia EBSS. Ninaandika ujumbe huu nikiwa hospitali kitandani nikitibiwa kutokana na heart attack nlopata baada ya kutazama show yao. I am considering law suit for mental and physical injury as a result.
Hivi mnadhani hawa BSS wana nia hasa ya kutafuta vipaji?Hivi unaweza kulinganisha na washiriki hata wasiosail through TPF6?