Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,564
- 15,919
Wadau wa siasa za kimataifa natumaini hamjambo.
Ule wakati wa kushuhudia matumizi ya mabomu hatari zaidi sanaa hapa duniani umefika. Nakumbuka kutupwa kwa bomu hili kule Nchini Japan katika miji ya Hiroshima na Nagasaki na marekani ndio ilikua mwanzo wa mwisho wa Vita vikuu vya pili vya Dunia.
Sasa tukae mkao wa kula historia imejirudia mshindi wa Vita hivi ataamuliwa na mabomu makali ya Nuclear.
USHAURI:
Kama una ndugu yako au mtoto au yeyote anaishi ulaya mashariki au anafanya kazi huko mwambie aondoke haraka sana wakati ujao utakua mgumu sana. Athari za mionzi ya Nuclear ni mbaya sana Ulaya yote pamoja na urusi kutakua na shida kubwa. Chukueni tahadhari kabla ya hatari.
Ule wakati wa kushuhudia matumizi ya mabomu hatari zaidi sanaa hapa duniani umefika. Nakumbuka kutupwa kwa bomu hili kule Nchini Japan katika miji ya Hiroshima na Nagasaki na marekani ndio ilikua mwanzo wa mwisho wa Vita vikuu vya pili vya Dunia.
Sasa tukae mkao wa kula historia imejirudia mshindi wa Vita hivi ataamuliwa na mabomu makali ya Nuclear.
USHAURI:
Kama una ndugu yako au mtoto au yeyote anaishi ulaya mashariki au anafanya kazi huko mwambie aondoke haraka sana wakati ujao utakua mgumu sana. Athari za mionzi ya Nuclear ni mbaya sana Ulaya yote pamoja na urusi kutakua na shida kubwa. Chukueni tahadhari kabla ya hatari.