jeremiahj
Senior Member
- Nov 26, 2020
- 154
- 303
Tuache kudanganyana alichosema ndugu kuhusu ajira kina ukweli ndani yake kwa asilimia kubwa sana ...kwa nchi maskini Kama tz kujiajiri risk kubwa Sana pia kutokana na circulation ya pesa ya Sasa kufanikiwa ni kwa extent ndogo Sana na hata ukifanikiwa itategemea vitu vingi Sana ..Kama kiwango Cha mtaji wako..maarifa na Aina ya biashara pamoja na bahati ...kumbuka Africa watu wenye vipato vya uhakika ni wachache Sana hivyo hii inaathiri purchasing power...hivyo hii inafanya mazingira ya kujiajiri kuwa magumu...tatizo la wabongo wanafiki na wazandiki Sana unakuta jitu linasema kujiajiri ni kuzuri wakati lenyewe limeajiriwa ..kwa zilizoendelea na zilizo na watu wengi walioajiriwa biashara ni rahisi lakini tusidanganyane kwanza biashara Africa hazina garantii hata uwekezaji ni mgumu Africa na ndio maana serikari inatoa tax holiday ya miaka mitatu for new investment kozi wanajua mazingira ya kupata faida ni magumu oneni matajiri wa kiarabu wanavyopigana vikumbo kununua timu za uingereza kozi wanajua ukiwekeza kupata faida ni rahisi lakini sio Africa mazingira ya biashara na kujiajiri ni magumu na hayana assurance tuacheni kudanganyana...strive mayisiwa tajiri wa zimbambwe aliwahi kusema serikari za kiafrica ziache kukimbia tatizo la ajira kwa kigezo Cha kujiajiri....inabidi ajira zitengenezwe kwa wingi ndio wengine wachache wajiajiri....pia Cha mwisho hata mindset za watu hawaamini kijana alijiajiri kutoboa unaonekana Kama unapoteza mda coz inajulikana mazingira ni magumu...Mimi mwenyewe nimemaliza chuo mwaka 2016 na nimejiajiri najua ugumu na changamoto zake ..