Tusipokuwa Makini, Kauli ya Nyerere ya Wabara na wale Wazanzibar inaanza kidogo kidogo

mwanamabadiliko

JF-Expert Member
Oct 30, 2010
843
1,363
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inapaswa Sasa kuchukua hatua Kali sana dhidi ya Makundi ya watu mbalimbali ambayo hivi Karibuni yamekuwa yakisambaza sumu ya chuki, ubaguzi na mgawanyiko juu Kwa Watanzania.

Kumekuwa na kauli za kumsema Rais wetu mpendwa kuwa ameuza Bandari za Tanganyika na huku akiacha za Zanzibar anakotokea.

Sumu hii inayopandwa na Tundu Lissu na kina Mama Tibaijuka na Genge la Karamagi imeenea sana mtaani, kwani Sasa hata Wazanzibar huku mtaani wameanza kupata athari hizo. Imefikia wakati hata Waziri wa mambo ya Ndani Masauni kutoa tamko kuwa watakoleta uchochezi kushughulikiwa, watu wa twitter wameonekana wakisema inakuaje Mzanzibar huyu yupo ndani ya ardhi ya watanganyika milioni 61 na atutishe tukiwa kwetu.

Naiomba Serikali ichukue hatua Kali kwani chuki iliyopo ni kubwa mno, na inaendelea kuenezwa, enzi za Nyerere watu kama Hawa walikuwa wanafunga kifungo cha Maisha.

Hatuwezi kukubali Muungano wetu kuvunjika, Baba wa Taifa alishatoa msimamo na umuhimu wa Muungano huu.

Kauli hizi pia zinaweza kumpunguzia Raisi wetu confidence ya kutuongoza na kufanya pia kazi kuwa ngumu Kwa mawaziri wanaotokea Zanzibar.
 
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa TAnzania inapaswa Sasa kuchukua hatua Kali sana dhidi ya Makundi ya watu mbalimbali ambayo hivi Karibuni yamekuwa yakisambaza sumu ya chuki, ubaguzi na mgawanyiko juu Kwa Watanzania.
Kumekuwa na kauli za kumsema Rais wetu mpendwa kuwa ameuza Bandari za Tanganyika na huku akiacha za Zanzibar anakotokea.

Sumu hii inayopandwa na Tundu Lissu na kina Mama Tibaijuka na Genge la Karamagi imeenea sana mtaani, kwani Sasa hata Wazanzibar huku mtaani wameanza kupata athari hizo. Imefikia wakati hata Waziri wa mambo ya Ndani Masauni kutoa tamko kuwa watakoleta uchochezi kushughulikiwa , watu wa twitter wameonekana wakisema inakuaje Mzanzibar huyu yupo ndani ya ardhi ya watanganyika milioni 61 na atutishe tukiwa kwetu.

Naiomba Serikali ichukue hatua Kali kwani chuki iliyopo ni kubwa mno, na inaendelea kuenezwa, enzi za Nyerere watu kama Hawa walikuwa wanafunga kifungo Cha Maisha.
Hatuwezi kukubali Muungano wetu kuvunjika, Baba wa Taifa alishatoa msimamo na umuhimu wa Muungano huu.

Kauli hizi pia zinaweza kumpunguzia Raisi wetu confidence ya kutuongoza na kufanya pia kazi kuwa ngumu Kwa mawaziri wanaotokea Zanzibar.

Nashauri Wakili Mwakabusi Afungwe mana anaeneza Utanganyika.
Tuache kufunga waliouza bandari tufunge wanaoitetea utajiri wa nchi yetu ya Tanganyika yes Tanganyika
Jipime
 
Huo utakuwa Ujinga. Watanganyika tuna taka Ardhi ya Wamasai irudi (Mwarabu arudi kwao). Bandari yetu ibaki (Tender itangazwe). Madini yetu yaachwe. Tusipigwe mnada kwenye gunia. Mambo ya Muungano hayana nafasi ktk ralimali za Taifa. Mm hapa nina mtoto ana miezi. Tiyari muuze kila kitu. Ebho! Upuuzi huko huko.
 
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa TAnzania inapaswa Sasa kuchukua hatua Kali sana dhidi ya Makundi ya watu mbalimbali ambayo hivi Karibuni yamekuwa yakisambaza sumu ya chuki, ubaguzi na mgawanyiko juu Kwa Watanzania.
Kumekuwa na kauli za kumsema Rais wetu mpendwa kuwa ameuza Bandari za Tanganyika na huku akiacha za Zanzibar anakotokea.

Sumu hii inayopandwa na Tundu Lissu na kina Mama Tibaijuka na Genge la Karamagi imeenea sana mtaani, kwani Sasa hata Wazanzibar huku mtaani wameanza kupata athari hizo. Imefikia wakati hata Waziri wa mambo ya Ndani Masauni kutoa tamko kuwa watakoleta uchochezi kushughulikiwa , watu wa twitter wameonekana wakisema inakuaje Mzanzibar huyu yupo ndani ya ardhi ya watanganyika milioni 61 na atutishe tukiwa kwetu.

Naiomba Serikali ichukue hatua Kali kwani chuki iliyopo ni kubwa mno, na inaendelea kuenezwa, enzi za Nyerere watu kama Hawa walikuwa wanafunga kifungo Cha Maisha.
Hatuwezi kukubali Muungano wetu kuvunjika, Baba wa Taifa alishatoa msimamo na umuhimu wa Muungano huu.

Kauli hizi pia zinaweza kumpunguzia Raisi wetu confidence ya kutuongoza na kufanya pia kazi kuwa ngumu Kwa mawaziri wanaotokea Zanzibar.

Nashauri Wakili Mwakabusi Afungwe mana anaeneza Utanganyika.
Inasababishwa na ccm wenyewe, wanapaswa kuongoza kwa misingi ya haki. Unajua hata nyumbani dishi la baba likiyumba familia nzima inayumba. Wananchi kuwa na imani na serikali inategemea jinsi unavyowaongoza.
 
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa TAnzania inapaswa Sasa kuchukua hatua Kali sana dhidi ya Makundi ya watu mbalimbali ambayo hivi Karibuni yamekuwa yakisambaza sumu ya chuki, ubaguzi na mgawanyiko juu Kwa Watanzania.
Kumekuwa na kauli za kumsema Rais wetu mpendwa kuwa ameuza Bandari za Tanganyika na huku akiacha za Zanzibar anakotokea.

Sumu hii inayopandwa na Tundu Lissu na kina Mama Tibaijuka na Genge la Karamagi imeenea sana mtaani, kwani Sasa hata Wazanzibar huku mtaani wameanza kupata athari hizo. Imefikia wakati hata Waziri wa mambo ya Ndani Masauni kutoa tamko kuwa watakoleta uchochezi kushughulikiwa , watu wa twitter wameonekana wakisema inakuaje Mzanzibar huyu yupo ndani ya ardhi ya watanganyika milioni 61 na atutishe tukiwa kwetu.

Naiomba Serikali ichukue hatua Kali kwani chuki iliyopo ni kubwa mno, na inaendelea kuenezwa, enzi za Nyerere watu kama Hawa walikuwa wanafunga kifungo Cha Maisha.
Hatuwezi kukubali Muungano wetu kuvunjika, Baba wa Taifa alishatoa msimamo na umuhimu wa Muungano huu.

Kauli hizi pia zinaweza kumpunguzia Raisi wetu confidence ya kutuongoza na kufanya pia kazi kuwa ngumu Kwa mawaziri wanaotokea Zanzibar.

Nashauri Wakili Mwakabusi Afungwe mana anaeneza Utanganyika.

Wazanzibar wakiipigania na kuisemea zenji yao sio hoja wala tatizo ila mtanganyika akiipigania na kuisema tanganyika yake iliyomezwa na koti la muungano anaonekana mchochezi,acheni upuuzi kuweni na akili,tanzania ni muunganikano wa nchi mbili watanganyika wanataka mamlaka yao pia.
 
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa TAnzania inapaswa Sasa kuchukua hatua Kali sana dhidi ya Makundi ya watu mbalimbali ambayo hivi Karibuni yamekuwa yakisambaza sumu ya chuki, ubaguzi na mgawanyiko juu Kwa Watanzania.
Kumekuwa na kauli za kumsema Rais wetu mpendwa kuwa ameuza Bandari za Tanganyika na huku akiacha za Zanzibar anakotokea.

Sumu hii inayopandwa na Tundu Lissu na kina Mama Tibaijuka na Genge la Karamagi imeenea sana mtaani, kwani Sasa hata Wazanzibar huku mtaani wameanza kupata athari hizo. Imefikia wakati hata Waziri wa mambo ya Ndani Masauni kutoa tamko kuwa watakoleta uchochezi kushughulikiwa , watu wa twitter wameonekana wakisema inakuaje Mzanzibar huyu yupo ndani ya ardhi ya watanganyika milioni 61 na atutishe tukiwa kwetu.

Naiomba Serikali ichukue hatua Kali kwani chuki iliyopo ni kubwa mno, na inaendelea kuenezwa, enzi za Nyerere watu kama Hawa walikuwa wanafunga kifungo Cha Maisha.
Hatuwezi kukubali Muungano wetu kuvunjika, Baba wa Taifa alishatoa msimamo na umuhimu wa Muungano huu.

Kauli hizi pia zinaweza kumpunguzia Raisi wetu confidence ya kutuongoza na kufanya pia kazi kuwa ngumu Kwa mawaziri wanaotokea Zanzibar.

Nashauri Wakili Mwakabusi Afungwe mana anaeneza Utanganyika.
Ila hao ngedere wataishia kufokafoka hawana lolote la kufanya, nchi yetu iko imara sana wanachorwa tu na system kuna mstari wakiugusa tu wahesabu hiyo Tanganyika wataitafutia ilikofichwa
 
Back
Top Bottom