Tusipokemea, Redio Imaan itatuvuruga

Status
Not open for further replies.
Adui ya Muislamu siyo Mkiristo ni Ibilisi, na adui ya mkiristo siyo Muislamu ni Ibilisi
Tukifahamu kwamba Ibilisi ndiyo baba ya Ufisadi, ubaguzi, uchoyo, dhulma, uwongouwongo basi sisi wana wa adamu tukaungana kwa pamoja kupambana na mambo haya bila shaka tutakuwa tunamdhoofisha Ibilisi na hatimaye kusimika misingi ya amani ya kweli, fanaka na furaha.

Mwenyezi Mungu ni mmoja na ni wetu sote, Askofu akikemea maovu yatupasa kuwaunga mkono, Mashehe wakikemea maovu yatupasa kuwaunga mkono.
Mwenyezi Mungu anasema katika Qur'an (nukuu isiyo rasmi) [" tuliandika katika Zaburi kwamba Hii Ardhi itarithiwa na waja wetu watenda mema"],
na ukisoma Zaburi ya 37 inasema (nukuu isiyo rasmi) ["The earth will be inherited by the humble"].

sasa hii hali ya kuzodoana, kunyoosheana vidole ya nini?, kwa nini tusitafute kujenga kwa kutumia njia nzuri, za mazungumzo, za kuheshimiana?.
 
... Adui ya Muislamu siyo Mkiristo ni Ibilisi, ...
Mkuu, hiyo unasema wewe kwa kuwa unaelewa maana ya dini ya kweli. Bahati mbaya kwa waisilamu wanavyofundishana kule kwenye redio imaan FM, adui ya Muislamu siyo Ibilisi ni Mkiristo !
 
Labda turudi nyuma kidogo wakati wa kampeni za uchaguzi, ilionekana ni rahisi mno kupandikiza mbegu ya udini ili kujinufaisha kisiasa.Baada ya uchaguzi kuisha nakumbuka hotoba ya Rais bugeni aliongelea suala la udini na kutaka liishe, lakini hakujua kuwa suala hilo ni nyeti mno haliwezi kuisha kirahisi. Suala la udini lilichukuliwa kimzaha na kuingizwa kwenye siasa kama ambavyo mambo mengine yamekuwa yakichukuliwa kimzaha. Kiukweli ni kuwa linapokuja suala la migongano ya kidini hakuna aliye salama,si Serikali wala vyama vya siasa. Serikali itagawanyika ,vyama vya siasa vitagawanyika vivyo hivyo jamii. Ni wajibu wa vyombo husika kuchukua hatua madhubuti kabla mambo hayaja haribika zaidi.
 
CCM walitumia ile kanuni ya DIVIDE AND RULE, lakini wameitumia kwenye dini kitu ambacho nadhani karata yao wameicheza vibaya.
 
Nami nilisikiliza mpaka mwisho hiyo jana usiku na nilikuwa makini,
ANGALIZO: Tuelekeapo hakuna wema, hebu tujiulize hivi sasa waislamu wanataka nchi igawanywe sehemu ya WAISLAMU na sehemu ya WAKRISTO. Haya maneno yapo ktk tamko rasmi la masheikh na redio Imaan imeyarejea tena jana, je Tanganyika yetu itagawanywaje kwa mujibu wa tamko?
Ilisema; mikoa yenye waislamu wengi itaunda nchi yao na mikoa yenye wakriso wengi nao wataunda nchi yao.

ANGALIZO KWA WOTE:
Hili si tamko la radio Imaan, bali ni tamko la masheikh wenye kuiwakilisha upande wa imaan ya kiislamu. Hivyo itakuwa si kuwatendea haki radio imani kwa kurusha hewani tamko lililotolewa pale Diamond jubilee last week.
 

unajua kuachia watu wenye upeo mdogo au wasio na elimu kuwa viongozi wa dini ni hatari sana.inabidi waislamu tubadilike masheikh wetu wale na elimu dunia siyo ya dini tu.kwani kuna mambo mengine ni reasoning capacity.
 
Hili si tamko la radio Imaan, bali ni tamko la masheikh wenye kuiwakilisha upande wa imaan ya kiislamu..
Kwani hujui gazeti likiripoti utumbo huwa linafungiwa lenyewe kwanza bila kujali source waliitoa wapi?
 

Walizungumza sababu gani za kutaka kugawanya nchi Mpevu??yaelekea hili la South Sudan lime-inspire sana waislamu na sasa wanaona its possible... Au ndo zile mgawanyo sawa,tunaonewa,tunafelishwa???? We would like to know their grounds!!!
 
Watanzania lazima tuelewe kuwa hata moto wa mshumaa unaweza kuunguza ghorofa, sasa mambo haya si ya kubeza hata kidogo!!!! Mamlaka husika ni lazima zitusaidie kuzuia hatari hii inayonyemelea Taifa.
 
TCRA wako wapi? au ndo wanamgwaya mkuu wa kaya? Dini zingine ndo hivyo zilisambazwa kawa jihadi (vita) kwa hiyo chokochoko kwao ni jadi. Vyombo vyetu vya dola vifanye kazi yake jamani.
 
Of ALL THE PEOPLE! HATA WEWE MAGID UNATHUBUTU KULAUMU RADIO IIMAAN NA WAISLAMU. You are too young ndugu yangu lakini fanya tafiti nzuuuri ndio baadae uje na hadithi yako hii. Mbaya zaidi umeirusha kwenye internet!!! hii itaendelea kubaki... na ukisha maliza home work yako utarudi any day kwenye media yoyote na utoe the other side of the story.

Pole sana Maggid ngoma uichezayo hujui mpigaji ni nani?
Ma'ssalaam.
Shkh Yahya.
 
TCRA wako wapi? au ndo wanamgwaya mkuu wa kaya? Dini zingine ndo hivyo zilisambazwa kawa jihadi (vita) kwa hiyo chokochoko kwao ni jadi. Vyombo vyetu vya dola vifanye kazi yake jamani.

Mkuu nchi hii ukiwa unawaunga mkono wakubwa utakuwa juu ya sheria na utafanya mambo jinsi unavyotaka wewe, hata ukiwa jambazi utafanya uhalifu na dola itakulinda, akina Masawe wako wapi?
 
unajua kuachia watu wenye upeo mdogo au wasio na elimu kuwa viongozi wa dini ni hatari sana.inabidi waislamu tubadilike masheikh wetu wale na elimu dunia siyo ya dini tu.kwani kuna mambo mengine ni reasoning capacity.

Truly,
Lakini cha msing ni HEKIMA & BUSARA zitawale, nchi yetu hii kila sekta lazima kuna watendaji wakuu wa dini hizi mbili wapo. Hivyo wenye kutoa matamko makali kiasi hiki cha MAASKOFU NA TAMKO vs WAISLAMU NA TAMKO si muendelezo mwema wa jamii yetu tulivu, ni pande zote hizo mbili zapaswa kulaaniwa kwa matamko yao ambayo tayari yameshapenyeza mpk huko kwenye minority uswahilini. Muingiliano wa jamii yetu utaangamia tena kuliko kimbari ya Rwanda ilivyokuwa...NAFSI YANGU IPO KTK MASHAKA MAKUU KWA YATAKAYOJIRI KWA UDINI NCHINI NA HATMA YA TANGANYIKA NA VIZAZI VYETU VIJAVYO.

NAYAPINGA MATAMKO YOTE YA WAKRISTO NA WAISLAMU KWA 'KUAMSHA ARI & HISIA ZA UDINI' KWA WATANZANIA.
 
mimi wacheza bao hawanichanganyi akili hata cku moja! ingekuwa ni watu wameelimika hapo sawa ningetafakari!!! kwanza ukikutwa unalumbana na mcheza bao utaitwa bao
 
Walizungumza sababu gani za kutaka kugawanya nchi Mpevu??yaelekea hili la South Sudan lime-inspire sana waislamu na sasa wanaona its possible... Au ndo zile mgawanyo sawa,tunaonewa,tunafelishwa???? We would like to know their grounds!!!

I quote kutoka katika TAMKO:
Sisi waislamu tunapendekeza sasa nchi igawanywe kwa eneo lenye waislamu wengi liunde nchi na eneo lenye wakriso wengi liundwe nchi, ...ikaendelea...kwa nini Nyerere alishupalia issue ya BIAFRA kule Nigeria kwa upande wa Kaskazini na ule wa Kusini. Ya kwamba kuna dhulma kubwa imeegemea upande wa wakristo na kwamba serikali za Tanzania zinapochomoza kufanya jambo lenye kuathiri wakristo ...basi maaskofu huitishia serikali nayo KUTISHIKA.
Hivyo kwa kuondoa yote hayo, ndipo pendekezo ni kuigawa nchi limejiri kwa misingi ya EGEMEO LA UDINI.
 
ANALYSIS hii uifanye kwa vyombo vyote vya habari vya kidini utaona kila chombo kinatishia amani, kwa kuwa itikadi yako si yangu na yangu si yako, kwahiyo kama umeyasikia na kuaya-analize hayo ni kwa kuwa yapo kinyume na itikadi yako achana nayo, fungua na sikiliza yale yanayokuhusu ili ufurahike na nafsi yako, ulivyokereka ndivyo wanavyokereka wa upande huo wakisiliza, kuona au kusoma ya upande wapili, kwahiyo hayo ni maoni yako binafsi, na yale ni maoni yao binafsi, acheni propaganda naona mnabadili post ujumbe ni uleule radio imaan, annur nk, kubwa hampendi kusikia waislam wamesema vyombo vya habari vya kikristo vipo tele kila kukicha mnakuja na habari mpya waraka, maoni, matamko, nk wakisema wenzenu presha zinawapanda ama kweli ingekuwa wanavyombo kama vyenu sijui ingekuwaje! maana naona JF sasa vyombo vinavyowaumiza ni annur na redio imaan na bado mmezoea kusema nyie tu! mnabadilisha post tu, content ileile! Tunawajua na tumewazoe
 
Kwa waislam, mtu yeyote ambaye siyo mwislamu ni adui wao. Dini zingine bwana, kazi kwelikweli!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…