Tusipokemea, Redio Imaan itatuvuruga

Status
Not open for further replies.
Nadhani hii question ingefatiliwa sawa sawa, hao watu waitwe na discussion ziendelee kati ya serikali na hao watu. Kwa upande mwengine waislam watoe maoni yao kuhusu hii mada, isije ikaonekana wanakubaliana na yalio semwa on their behalf. MAuwaji ya Rwanda yalianzia radio...
 
Nani wa kuwagusa na raisi ni muislamu mwenzao,wanafanya kila wanachotaka maana wanaelekezwa namna hiyo na raisi,"shehe" wao!
Unadhani polisi hawapo morogoro wafanye intelijensia zao hizo?

Hapo unakosea. Lengo la serikali ya CCM ni kutaka huo mjadala uhalalike kwa vile JK ni Muislamu. Nakwambia hata Mizengo Pinda anashabikia huu mjadala ili kuzima nguvu za Maaskofu kuikemea serikali. Ni mradi wa CCM huu, na wala si wa JK kama Raisi. Ni CCM wameishiwa mbinu za kuwavuruga CHADEMA ndo wamekimbilia Radio Imani ili kudivert attention za Watanzania. Huu up[upu unashabikiwa na kina Mkapa, Mwinyi, na wote waliofaidika na uoza wa CCM kujinufaisha maisgha binafsi. Sasa, wanataka Wakristo waache kukemea serikali. Lakini wameula wa chuya. Maana CHADEMA ndo wameshapangua hoja kwa kumnasa Professor Abdallah Safari. Mwisho wa hiana zao. Naamini muda si mrefu litatinga mahali itafungwa tu. Maana ukiangalia dhumuni la mihadhara huiyo ni kuuponda uongozi wa Nyerere na Azimio la Arusha ( unajua jinsi hotuba za Nyerere zinavyowaumiza kina Mkapa, JK nk), Pia wnampoda sana Dk Slaa ( si unajua anavyowaparula?) So naomba sana muelewe pale si maslahi ya Waislamu, la Hasha . Ni kuisambaratisha CHADEMA. Na wale si waislamu, bali genge la propagandist wa CCM-Fisadi wingi. Ni mradi wa Pinda, John Malechela, Pius Msekwa, Rostam, Lowasa, Mkapa na wezi wote waliomo CCM. Ndo maana hata hao makamanda wa Ufisadi hawathubiutu kujadili hilo bungeni, maana nai mradi maalumu wa kuua hoja za CHADEMA na Wilbroad Slaa. Kina Mark Mwndosya, Salima Ahmed Salimu, Warioba, Butiku ,Sumaye , Msuya wote wanajua lakini wamekaa kimya. Sababu ni moja, REDIO IMANI ni tawi la propaganda chafu za chama hiki kilichodhoofika na kufika mwishao wa kufikiri. Lakini watashindwa.
Mwito: Maaskofu msikate tamaa, endeleeni na juhudi zenu za kuuelimisha UMma. Tunasubiri awamu ya pili ya waraka wa elimu kwa raia kutoka Roma. Tunataka makanisa na waislamu safi walete nyaraka za elimu ya uraia. Hakuna kulala. Mafisadi wanatapatapa na mwisho wao ndo huu.
 
Wakristo wa nchi hii wana tabia ya mwizi anaposhikwa.Hata siku moja hataki aambiwe kuwa kaiba kwani anajuwa matokeo yake akikubali hivyo.
Jengine wakristu wana wivu sana na maendeleo ya waislamu.Wanashangaa redio Imaani inaendeshwa na watu walioenda madrasa lakini inafanya vizuri kuliko redio zao.
 

umesema inafanya vizuri?
 
Redio ya wafuga majini inaongea kijini jini tu
 
Kwa hiyo unamaanisha wewe ni FISADI au MTOTO WA FISADI. Mbwa wee, acha dharau na ndio maana CDM haiwezi kupewa nchi hii katu kwa mitazamao mavi kama hii.
Mijitu mingine bana...mkiambiwa mle kitimoto mpate akili na hekma mnakimbilia Madrassat Jini. Pambaf!
 
Tukianza kubase na dini katika utendaji wa kila siku tutafika pabaya.kwani tukimaliza hapo tutasema mbona nchi inaendeshwa na kabila flani ,halafu mbona nchi inaendeshwa na watu weusi tu na si wahindi au waarabu halafu mbona ni jinsia moja zaidi..mi nadhani muhimu ni watu wajitahidi ktk shughuli zao kama ni kusoma , biashara , kazi , na nyinginezo wasitegemee favor za udini ,kabila ,rangi ya ngozi ,au vitu gani sijui..huo ndo ukweli
 
Nimekupata mkuu!!!!!!!!!!. Mijadala of such type ipo had huku mtaan, m n muumin wa kiislam, nagombana nao wanaposema tunatengwa, tunaonewa, HOW??????.Napenda kuwaambia kuwa kama tunabaguliwa na tumeshajua hakuna haja ya kulalamika, swala ni ku work on it. Tusome kwa bidii, sipend kuiaminisha jamii kuwa muslim tunabaguliwa b'se sijawahi ku experience kitu kama hicho. Kama yupo mtu ambaye ashawahi kukutwa na mkasa wa kukosa nafasi yeyote kisa muslimu anijuze, namaanisha kuanzia 2000 had tjis year. Kama lilikuwepo nadhan kwa sasa limeisha!!!!!!!!!. Mbona shule za kiislamu znaongoza kufelisha??????. Hapana kulialia sio suluhisho. SISI NI KITU KIMOJA, HAKUNA DINI BILA SISI,
 


kiukweli waislam waliosoma ndo ambao sasa wanawafungua macho hao wenzao ambao walikuwa hawajui kilichotokea kabla na baada ya uhuru....ambao walikuwa hawajui mfumo kristu ni kitu gani na muda si mrefu waislam wote watajua kilicho na kinachoendelea
 
Kama kuna watanzania wanaosikiliza hiyo redio basi hawazidi mia tano. Wengi wao wapo tandale, manzese, tandika, temeke, gongolamboto na mbagala.

endelea kujidanganya na kuendekeza uvivu wako wa kufikiri baada ya muda utajua kama kweli hawafiki 500 na wanatokea tandale......fool
 

mzee huwezi kubisha juu ya udini wa chadema cz hao wanaolalamika kuwa chadema ni chama cha kanisa wanaushahidi mzee na hata mimi nilishausoma na baadhi ya sehem za waraka huo mapadre wanawasisitiza waumini wao kuwa chama chao ni CHADEMA na mipango yote imekamilika juu ya nini kitafata baada ya chadema kuingia madarakani..........na hilo naomba msahau
 
Hao ni masheikh uchwara wackupe taabu,cc waislaum tulioelimika hatuwezi kudanganywa na hao wapuuzi
waislamu waloeloelimika hawawezi kuwaita masheikh wao wapuuzi kwa lolote lile pole kwa kuvamia uislamu na kua mbali sana na tabia zao "maana hakuna alieelimika yeyote kama hana qurani kifuani mwake, na mwenye quran matusi kwake mwiko kwa wadogo na hata wakubwa" umevamia uislam bana sema kweli.
 
nadhani ndugu yangu huna budi kwenda kwenye taasisi za juu za elimu za serikali nakupa njia nyepesi ya kufanya utafiti " anzia UDSM uliza namba ya waislamu walioingia mwaka fulani na waliomaliza (utatoa machozi kama una moyo wa imani na ndugu zako) "na sababu zao fuatilia kwa makini uone. nakupa mfano baadhi ya sababu, mtu ana GPA 4.3 ana B+ pamoja na A kaitka kozi zake {kisha anasap hatoki, anakeri, hatoki kisha anatemeshwa chuo} hizi akili za kozi nyingine ni za nani? mwingine aah huyu aliwahi kusoma chuo fulani hakutwambia wakati wa udahili wake (wakati huo yuko mwaka wa pili) ndo wanaongelea sababu ambazo hazina ushahidi na mpaka wanamtimua. nayaongea haya nimeyashuhudia kwa macho. nakupa kali (aliingia muislam mmoja ndani ya ofisi kuomba kusainiwa fomu yake akiwa amevaa kanzu nyeupe akaambiwa kavue hilo gauni ndo uje hapa sio msikitini, na akakataa kuhudumiwa) akatoka, akampa mwenzie fomu akaenda kumsainia badala
bwana nimengi mno: fikiria sababu sifuatazo 1. kwanini kila siku kwenye fomu za usajili tunaandika dini.(kuna huduma gani ambazo watu wanapewa vyuoni kwa kufuata dini zao? kama si kutaka kuchamvua wako wapi kina hassan na hussein?)
2. kwa nini tusifanye mitihani yote ya vyuo kwa namba tu ? na majina yakatakiwa siku za mwisho kabisa?
watu tuangalie shule hizo wanazosema za waislamu nani msimamizi? (bakwata ambayo ni serikali ileile ya mfumo kristo, na ushahidi kanisa lilifadhili vikao vyake kwa uongozi wa mrema na kutunga katiba yake mwaka 1992.) hizo shule kuna mfumo mzima wa kuziharibu na zilikwisha haribiwa na kuna mawakala kila siku wanaziharibu. mfano nenda kinindoni muslim (academic master) ni dini gani? je ana maslahi na waislamu huyu? je performance itakua nzuri kama sehem nyeti kakaa mvurugaji mkuu? na jee waislamu wana sauti juu ya hizi shule. pima ufaulu kwa shule za kiislamu ambazo zinajitegemea kama katoro kule bukoba na nyinginezo utaona tofauti. asante na usiku mwema
 
Ila waislam na nyie mmezidi nasikia eti huwa mnaamini Majini ndo maana huwa mnauwa watu.kwa taarifa yenu hamtuwezi Wakristo,WAISLAM WOTE DUNIANI MNAPIGWA NA NCHI MOJA TU "ISRAELI" kama mnabisha jaribuni kuigusa ndo mtajua YESU NI MUNGU .nendeni shule acheni umbumbu wa kunawanawa wakati tumbo mna kinyesi.
 
Sisi waislamu tuna akili hao mashehe ni wapuuzi na wanapaswa kupuuzwa na sisi waislamu wote.Tusitetee ujinga wa watu wachache wasiofikirisha bongo zao na kukalia kupalilia hoja za udini.
 
Nenda zako!.
Hata dini ya Waisrael huifahamu.

 
Wandugu leo saa 8:30 hadi 9:00 nimejaribu kutune hi redio yenye mrengo wa dini ya kiislamu lakini mambo niliyoyasikia toka wa watangazaji na wasikilizaji wanaopiga cm kuchangia mada kuu "VIJANA NA SIASA ZA TANZANIA" ni ngumu kuamia kama hawa watu ni watanzania au wasomali?

wanadiliki kusema kwamba eti vita ya tz vs uganda (1978) ilikuwa ni hira za Nyerere kumtoa muislamu Idd Amin Dada na kumweka mkristo Milton Obote.! eti rushwa na ubadhirifu unaofanyika sasa ni matokeo ya utawala mbaya wa Nyerere na Mkapa
 
mi siwashangai tushawazoea hawa wafinyu wa kuthink , unajua mfa maji mara zote haachi kutapatapa hata kama alijizamisha mwenyewe !!!


"THE ONLY ABSOLUTE TRUTH IS THAT THERE ARE NO ABSOLUTE TRUTHS"
 

Ni vema kabisa tuijadili Redio na sio Dini ya hiyo Radio,kwa ninavyofahamu mimi radio pamoja na kuhudumiwa na taasisi au wafanyakazi wa kiislam haiwakilishi uislam kwa 100%.DINI MBALI REDIO MBALI.ni bora tujadili uppuuzi wa hiyo redio na si Dini
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…