matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,603
- 15,404
Hii ni kweli. Mungu ni Tajiri mkubwa anayemiliki vyote. Na sisi ni watoto wake, na sifa ya mtoto ni kurithi vya baba. Hivyo kila anachomiliki Mungu ni cha kwetu.
Kabla ya udanganyifu wa Adam na Eva kula tunda tulikusudiwa binadamu wote kuwa matajiri sana na kuishi kifalme. Tukio la kuacha matunda zaidi ya mamilioni na vyakula vya asili zaidi ya milioni na kwenda kufakamia katunda kamoja kalikozuiwa ndio chanzo cha mitazamo ya kimasikini kwa mwanadamu (poverty mentality).
Ndio maana hadi leo hii dhana shetani anaoendeleza kutishia watu.
Wakati maji ni asilimia kubwa ya dunia lakini tunatangaziwa uhaba mkubwa wa maji.
Wakati ardhi ya chakula ni kubwa tunatangaziwa uhaba mkubwa wa chakula.
Wakati hali ya hewa ni nzuri oxygen ya kutosha, anatangazia watu kuna uharibifu mkubwa wa mazingira.
Wakati kuna aina malaki za nafaka, matunda, mboga za majani anakufanya upende tunda,nafaka au mboga za majani aina moja na mengine unaona kama ni makosa.
Haya yote ni matokeo ya fikra za umasikini (poverty mentality) ambazo ziliingizwa wakati wa dhambi. Mungu wetu ni mungu wa vingi (plenty mentality).
Kabla ya udanganyifu wa Adam na Eva kula tunda tulikusudiwa binadamu wote kuwa matajiri sana na kuishi kifalme. Tukio la kuacha matunda zaidi ya mamilioni na vyakula vya asili zaidi ya milioni na kwenda kufakamia katunda kamoja kalikozuiwa ndio chanzo cha mitazamo ya kimasikini kwa mwanadamu (poverty mentality).
Ndio maana hadi leo hii dhana shetani anaoendeleza kutishia watu.
Wakati maji ni asilimia kubwa ya dunia lakini tunatangaziwa uhaba mkubwa wa maji.
Wakati ardhi ya chakula ni kubwa tunatangaziwa uhaba mkubwa wa chakula.
Wakati hali ya hewa ni nzuri oxygen ya kutosha, anatangazia watu kuna uharibifu mkubwa wa mazingira.
Wakati kuna aina malaki za nafaka, matunda, mboga za majani anakufanya upende tunda,nafaka au mboga za majani aina moja na mengine unaona kama ni makosa.
Haya yote ni matokeo ya fikra za umasikini (poverty mentality) ambazo ziliingizwa wakati wa dhambi. Mungu wetu ni mungu wa vingi (plenty mentality).