matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,587
- 15,371
Mungu alipumba binadamu wa kwanza alikuwa tajiri sana.
Walipewa dunia nzima kama shamba. Na alimuwekea hazina ya dhahabu safi bustanini eden ya thamani ya matrillion mara trillion.
Adam na eva walikuwa matrillionea.
Umasikini uliingia kwa sababu ya dhambi. Hapakuwa na binadamu masikini kabla ya dhambi na hapata kuwa na binadamu masikini baada ya watu wake kuokolewa.
Shetani ni mwizi, masikini na mjanjamjanja.
Hii isitoke akilini mwako.
Walipewa dunia nzima kama shamba. Na alimuwekea hazina ya dhahabu safi bustanini eden ya thamani ya matrillion mara trillion.
Adam na eva walikuwa matrillionea.
Umasikini uliingia kwa sababu ya dhambi. Hapakuwa na binadamu masikini kabla ya dhambi na hapata kuwa na binadamu masikini baada ya watu wake kuokolewa.
Shetani ni mwizi, masikini na mjanjamjanja.
Hii isitoke akilini mwako.