Sababu 4 kwa nini ni vigumu masikini kuuona ufalme wa Mungu?

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,586
15,370
1: Mungu sio masikini. Siku anaumba mtu alimpa vitu vingi akamzuia kimoja. Hii inamaanisha mtu akiwa na katika uwepo wa Mungu atakuwa na vingi na kupungukiwa vichache.

2: Umasikini ni fikra. Mkristo anayejitambua fikra zake ni zakitajiri hata kama hana 100. Maana kuwa mkristo ni unarithi vitu vyote anavyomiliki Mungu. Ni vyako. Kila kitu ni chako.
1 Wakorintho 3:22
kwamba ni Paulo, au Apolo, au Kefa; au dunia, au uzima, au mauti; au vile vilivyopo sasa, au vile vitakavyokuwapo; vyote ni vyenu;

3: Mungu ni tajiri, ndio maana alitufundisha ufalme wake uje haoa duniani kama huko mbinguni.
Kama mbinguni hakuna njaa, umasikini, magonjwa, shida na wewe unapoomba hii sala itumie kukataa hivi vitu, ili ufalme wake halisi uje moyoni.

4: Mungu ni mfalme, na ubora wa serikali ya ufalme ni ustawi wa raia wake. Yaani ufalme tajiri unapimwa kwa utajiri wa raia wake. Ukiwa raia wa serikali ya Mungu alafu ukawa unakumbatia umasikini, uchovu na unyonge unamuabisha mfalme. Na utajiondoa kwenye ufalme na kuingia katika ufalme wa kale la adui ka Mungu kaibirisi.

Mwisho,
Anaweza akajupitisha kwenye njia flani ya kuishiwa ili akupe darsa kidogo ila wewe sio masikini na kupaswi kukiri hivyo. Yesu alikuwa tajiri mkubwa aliyejifanya kama hana kitu kabisa lakini hakuwahi kukiri umasikini wake maana alijijiua. Hii ndio inapaswa kuwa mentality ya kila anayemfuata Mungu.


Kama ni masikini na unakiri umasikini na unafikra za kichovu za kimasikini wewe itakuwa ni vigumu kuingia mbinguni. Mbinguni wataingia ambao wanaamini ni watoto wa Mungu tajiri na wameumbwa kwa mfano wa Mungu tajiri wa kila kitu, na kila kitu cha baba yao ni chao.

Kwa ufupi

Mungu no tajiri na watoto wake ni matajiri.
Kashetani ni Kamasikini ka kutupwa na watoto wake ni masikini, weziwezi.

Anza Kumuabudu Mungu mfalme tajiri usiingie mbonguni na akili za kimasikini usije ukamuibia baba vitu huko. Jizoeze plenty mentality tangu ukiwa huku duniani.
 
Baba Yetu uliye mbinguni jina lako litukuzwe ufalme wako uje...

Sala hii tuliambiwa na YESU tukitaka kusali tuiombe...

Inamaana kubwa katika kumiliki ufalme wa Mungu...

Kinywa chako pia kikiri kuwa wewe ni tajiri..jinenee mema...

Maneno yanaumba hata Mungu aliimba Dunia na vyote kwa neno...
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
1: Mungu sio masikini. Siku anaumba mtu alimpa vitu vingi akamzuia kimoja. Hii inamaanisha mtu akiwa na katika uwepo wa Mungu atakuwa na vingi na kupungukiwa vichache.

2: Umasikini ni fikra. Mkristo anayejitambua fikra zake ni zakitajiri hata kama hana 100. Maana kuwa mkristo ni unarithi vitu vyote anavyomiliki Mungu. Ni vyako. Kila kitu ni chako.
1 Wakorintho 3:22
kwamba ni Paulo, au Apolo, au Kefa; au dunia, au uzima, au mauti; au vile vilivyopo sasa, au vile vitakavyokuwapo; vyote ni vyenu;

3: Mungu ni tajiri, ndio maana alitufundisha ufalme wake uje haoa duniani kama huko mbinguni.
Kama mbinguni hakuna njaa, umasikini, magonjwa, shida na wewe unapoomba hii sala itumie kukataa hivi vitu, ili ufalme wake halisi uje moyoni.

4: Mungu ni mfalme, na ubora wa serikali ya ufalme ni ustawi wa raia wake. Yaani ufalme tajiri unapimwa kwa utajiri wa raia wake. Ukiwa raia wa serikali ya Mungu alafu ukawa unakumbatia umasikini, uchovu na unyonge unamuabisha mfalme. Na utajiondoa kwenye ufalme na kuingia katika ufalme wa kale la adui ka Mungu kaibirisi.

Mwisho,
Anaweza akajupitisha kwenye njia flani ya kuishiwa ili akupe darsa kidogo ila wewe sio masikini na kupaswi kukiri hivyo. Yesu alikuwa tajiri mkubwa aliyejifanya kama hana kitu kabisa lakini hakuwahi kukiri umasikini wake maana alijijiua. Hii ndio inapaswa kuwa mentality ya kila anayemfuata Mungu.


Kama ni masikini na unakiri umasikini na unafikra za kichovu za kimasikini wewe itakuwa ni vigumu kuingia mbinguni. Mbinguni wataingia ambao wanaamini ni watoto wa Mungu tajiri na wameumbwa kwa mfano wa Mungu tajiri wa kila kitu, na kila kitu cha baba yao ni chao.

Kwa ufupi

Mungu no tajiri na watoto wake ni matajiri.
Kashetani ni Kamasikini ka kutupwa na watoto wake ni masikini, weziwezi.

Anza Kumuabudu Mungu mfalme tajiri usiingie mbonguni na akili za kimasikini usije ukamuibia baba vitu huko. Jizoeze plenty mentality tangu ukiwa huku duniani.
 
Masikini ujiona fahari kuwa masikini wakijifariji kuingia mbinguni
Mtu mwenye mentality za ufahari wa masikini haingii mbinguni.

Hizo ni mentally za kigiriki zilizoingizwa kwenye dini ya kikatoliki kisha zikarithiwa na waprotestant.

Ila biblia haifundishi hivyo. Inadeal na umasikini wa roho zaidi.

Alafu ukiwa mkristo sio masikini. Qewe ji mrithi wa vitu vyote alivyonavyo Baba yako wa Mbinguni.
 
Wahubiri wengi na wamisionry walileta dini kama taasisi sio Ufalme wa Mungu ndio maana watu wengi biblia wanaielewa kidini na sio kifalme
 
1: Mungu sio masikini. Siku anaumba mtu alimpa vitu vingi akamzuia kimoja. Hii inamaanisha mtu akiwa na katika uwepo wa Mungu atakuwa na vingi na kupungukiwa vichache.

2: Umasikini ni fikra. Mkristo anayejitambua fikra zake ni zakitajiri hata kama hana 100. Maana kuwa mkristo ni unarithi vitu vyote anavyomiliki Mungu. Ni vyako. Kila kitu ni chako.
1 Wakorintho 3:22
kwamba ni Paulo, au Apolo, au Kefa; au dunia, au uzima, au mauti; au vile vilivyopo sasa, au vile vitakavyokuwapo; vyote ni vyenu;

3: Mungu ni tajiri, ndio maana alitufundisha ufalme wake uje haoa duniani kama huko mbinguni.
Kama mbinguni hakuna njaa, umasikini, magonjwa, shida na wewe unapoomba hii sala itumie kukataa hivi vitu, ili ufalme wake halisi uje moyoni.

4: Mungu ni mfalme, na ubora wa serikali ya ufalme ni ustawi wa raia wake. Yaani ufalme tajiri unapimwa kwa utajiri wa raia wake. Ukiwa raia wa serikali ya Mungu alafu ukawa unakumbatia umasikini, uchovu na unyonge unamuabisha mfalme. Na utajiondoa kwenye ufalme na kuingia katika ufalme wa kale la adui ka Mungu kaibirisi.

Mwisho,
Anaweza akajupitisha kwenye njia flani ya kuishiwa ili akupe darsa kidogo ila wewe sio masikini na kupaswi kukiri hivyo. Yesu alikuwa tajiri mkubwa aliyejifanya kama hana kitu kabisa lakini hakuwahi kukiri umasikini wake maana alijijiua. Hii ndio inapaswa kuwa mentality ya kila anayemfuata Mungu.


Kama ni masikini na unakiri umasikini na unafikra za kichovu za kimasikini wewe itakuwa ni vigumu kuingia mbinguni. Mbinguni wataingia ambao wanaamini ni watoto wa Mungu tajiri na wameumbwa kwa mfano wa Mungu tajiri wa kila kitu, na kila kitu cha baba yao ni chao.

Kwa ufupi

Mungu no tajiri na watoto wake ni matajiri.
Kashetani ni Kamasikini ka kutupwa na watoto wake ni masikini, weziwezi.

Anza Kumuabudu Mungu mfalme tajiri usiingie mbonguni na akili za kimasikini usije ukamuibia baba vitu huko. Jizoeze plenty mentality tangu ukiwa huku duniani.
Sasa nani atakayeingia maana biblia inasema TAJIRI ni vigumu sasa kama Tajiri ni Vigumu na masikini ni Vigumu...
maana yake hakuna atakayeingia Mbinguni🤣🤣🤣
 
Sasa nani atakayeingia maana biblia inasema TAJIRI ni vigumu sasa kama Tajiri ni Vigumu na masikini ni Vigumu...
maana yake hakuna atakayeingia Mbinguni🤣🤣🤣
Imesema ni vigumu haijasema haiwezekani.

Wanaoingia mbinguni ni wanaoamini yasiyowezekana. Wa kwanza ni abab yetu Ibrahimu billionea mkubwa kuwahi kuwepo duniani.

😁😁
 
1: Mungu sio masikini. Siku anaumba mtu alimpa vitu vingi akamzuia kimoja. Hii inamaanisha mtu akiwa na katika uwepo wa Mungu atakuwa na vingi na kupungukiwa vichache.

2: Umasikini ni fikra. Mkristo anayejitambua fikra zake ni zakitajiri hata kama hana 100. Maana kuwa mkristo ni unarithi vitu vyote anavyomiliki Mungu. Ni vyako. Kila kitu ni chako.
1 Wakorintho 3:22
kwamba ni Paulo, au Apolo, au Kefa; au dunia, au uzima, au mauti; au vile vilivyopo sasa, au vile vitakavyokuwapo; vyote ni vyenu;

3: Mungu ni tajiri, ndio maana alitufundisha ufalme wake uje haoa duniani kama huko mbinguni.
Kama mbinguni hakuna njaa, umasikini, magonjwa, shida na wewe unapoomba hii sala itumie kukataa hivi vitu, ili ufalme wake halisi uje moyoni.

4: Mungu ni mfalme, na ubora wa serikali ya ufalme ni ustawi wa raia wake. Yaani ufalme tajiri unapimwa kwa utajiri wa raia wake. Ukiwa raia wa serikali ya Mungu alafu ukawa unakumbatia umasikini, uchovu na unyonge unamuabisha mfalme. Na utajiondoa kwenye ufalme na kuingia katika ufalme wa kale la adui ka Mungu kaibirisi.

Mwisho,
Anaweza akajupitisha kwenye njia flani ya kuishiwa ili akupe darsa kidogo ila wewe sio masikini na kupaswi kukiri hivyo. Yesu alikuwa tajiri mkubwa aliyejifanya kama hana kitu kabisa lakini hakuwahi kukiri umasikini wake maana alijijiua. Hii ndio inapaswa kuwa mentality ya kila anayemfuata Mungu.


Kama ni masikini na unakiri umasikini na unafikra za kichovu za kimasikini wewe itakuwa ni vigumu kuingia mbinguni. Mbinguni wataingia ambao wanaamini ni watoto wa Mungu tajiri na wameumbwa kwa mfano wa Mungu tajiri wa kila kitu, na kila kitu cha baba yao ni chao.

Kwa ufupi

Mungu no tajiri na watoto wake ni matajiri.
Kashetani ni Kamasikini ka kutupwa na watoto wake ni masikini, weziwezi.

Anza Kumuabudu Mungu mfalme tajiri usiingie mbonguni na akili za kimasikini usije ukamuibia baba vitu huko. Jizoeze plenty mentality tangu ukiwa huku duniani.

Mkuu jitahidi sana Usome biblia yako ili uielewe na sio wewe biblia ikuelewe!
Shida kubwa sasa hivi, ni wimbi la walokole Kujaribu kujipatia waumini kwa Kutangaza kugawa Upako wa Mali

Yesu anasisitiza Sana kwamba Ni Vigumu Tajiri kuingia ufalme wa Mungu Itakuwa ni Vyepesi zaidi Ngamia kuingia kweny tundu la sindano...
Tuanze na Marko 10:23-26

Screenshot_20231008-122839.png

Mkuu unasemaje kuhusu hilo?


Ok basi!

tuseme hilo halitoshi Yesu alitangaza mara kadhaa Neema kwa maskini
Sasa twende kwenye Luka 6:20-21
Screenshot_20231008-121752.png

Sasa mkuu naona Unapinga mpaka maagizo ya Yesu unatka Nikuamini unafata biblia ipi.?
Ok sawa mkuu fuatana na Mimi kwenye
Yakobo 5:1-2
mnaojisifu utajili mmeonywa

Screenshot_20231008-124256.png


Ila hata nyinyi mnaokashifu Maskini hamkuachwa Salaama mkuu
soma
Yakobo 2:5-6
Screenshot_20231008-124502.png

Mungu anasema Amewachagua Masikini wa Dunia wawe Matajiri wa imani sasa..Na hiyi imeandikwa na Yakobo mwanafunzi wa Yesu sasa wewe mwanafunzi wa Mwamposa unapinga?

ukirudi nitaanza na swali kwako Ufalme wa Mbinguni uko wap? Maana umegusia hapo
 
Mchungaji una miliki nini wewe usiye na mentality za kimaskini?, Au ndio unasubiri waumini uwaoombe wapate utajiri na magari wakati wewe unaomba wakuchangie ununu gari!!
 
1: Mungu sio masikini. Siku anaumba mtu alimpa vitu vingi akamzuia kimoja. Hii inamaanisha mtu akiwa na katika uwepo wa Mungu atakuwa na vingi na kupungukiwa vichache.

2: Umasikini ni fikra. Mkristo anayejitambua fikra zake ni zakitajiri hata kama hana 100. Maana kuwa mkristo ni unarithi vitu vyote anavyomiliki Mungu. Ni vyako. Kila kitu ni chako.
1 Wakorintho 3:22
kwamba ni Paulo, au Apolo, au Kefa; au dunia, au uzima, au mauti; au vile vilivyopo sasa, au vile vitakavyokuwapo; vyote ni vyenu;

3: Mungu ni tajiri, ndio maana alitufundisha ufalme wake uje haoa duniani kama huko mbinguni.
Kama mbinguni hakuna njaa, umasikini, magonjwa, shida na wewe unapoomba hii sala itumie kukataa hivi vitu, ili ufalme wake halisi uje moyoni.

4: Mungu ni mfalme, na ubora wa serikali ya ufalme ni ustawi wa raia wake. Yaani ufalme tajiri unapimwa kwa utajiri wa raia wake. Ukiwa raia wa serikali ya Mungu alafu ukawa unakumbatia umasikini, uchovu na unyonge unamuabisha mfalme. Na utajiondoa kwenye ufalme na kuingia katika ufalme wa kale la adui ka Mungu kaibirisi.

Mwisho,
Anaweza akajupitisha kwenye njia flani ya kuishiwa ili akupe darsa kidogo ila wewe sio masikini na kupaswi kukiri hivyo. Yesu alikuwa tajiri mkubwa aliyejifanya kama hana kitu kabisa lakini hakuwahi kukiri umasikini wake maana alijijiua. Hii ndio inapaswa kuwa mentality ya kila anayemfuata Mungu.


Kama ni masikini na unakiri umasikini na unafikra za kichovu za kimasikini wewe itakuwa ni vigumu kuingia mbinguni. Mbinguni wataingia ambao wanaamini ni watoto wa Mungu tajiri na wameumbwa kwa mfano wa Mungu tajiri wa kila kitu, na kila kitu cha baba yao ni chao.

Kwa ufupi

Mungu no tajiri na watoto wake ni matajiri.
Kashetani ni Kamasikini ka kutupwa na watoto wake ni masikini, weziwezi.

Anza Kumuabudu Mungu mfalme tajiri usiingie mbonguni na akili za kimasikini usije ukamuibia baba vitu huko. Jizoeze plenty mentality tangu ukiwa huku duniani.
😂Endelea hivyo hivyo na wishful thinking yako
 
Back
Top Bottom