hahahha duh! ndoto yako ni zaidi ya noumerHahahahaa ungelala tena kidogo hadi umalize kumpanda ndio uamke....!
Mi nimeota ndoto nzuri niko naokoa waliopotea km wewe
Heheheee pole mwaya lolnimeokotota mihela mingije sasa ile naendelea kuzidi kuzikusanya zaidi nikashtuka nimelikumbatiaje shuka sasa khaa!
umeacha zile ndoto zako za kipindi kile...
hahaaaaa...ulikua noma...
nashangaa kukuona hapa unachangia hii thread..maana jana nimeota umevamiwa na majambazi wakakupa option mbili...sa naona ulifanya uchaguzi mzuri...maana ungechagua hilo zoezi lingine usingekua hai.Teh nimekua ndoto nyevu ni kwa wanaobalehe mi naota km za kiutu uzima tu
nashangaa kukuona hapa unachangia hii thread..maana jana nimeota umevamiwa na majambazi wakakupa option mbili...sa naona ulifanya uchaguzi mzuri...maana ungechagua hilo zoezi lingine usingekua hai.
Aah! mi nimeota nimetekwa vitani nikatoroka,kufika getini nakutana na mlinzi bonge la baunsa akanikamata katika kupambana nae nikamng'ata shavuni kustuka pembe nzima ya pillow iko mdomoni
Aah! mi nimeota nimetekwa vitani nikatoroka,kufika getini nakutana na mlinzi bonge la baunsa akanikamata katika kupambana nae nikamng'ata shavuni kustuka pembe nzima ya pillow iko mdomoni
nimeota niko mbiguni dada kuna milango ya dahabu hakuna shida wala njaa yaani ni pazuri ww ukiota utapaona palivyo.