Tuseme ukweli: Rais Samia akiruhusu mchujo kwenye nafasi yake atabaki?

Nsanzagee

JF-Expert Member
Jun 28, 2023
1,941
4,128
Rais Samia, amekitaka chama chake kuweka mchujo kwa wawakilishi ili ambao wamekuwa hawafanyi vizuri kwa wananchi, wapigwe chini.

Kwenye hili nampongeza sana, hii itawafanya wabunge wetu wafanye kile wananchi wamewatuma huko bungeni.

Hata hivyo, shida yangu ni moja, kutokana na hoja hiyo hiyo, Nimewasikia viongozi wa CCM wakisema, nafasi ya urais, kutachapishwa kadi moja tu ya ugombea, ambapo hapatakuwa na mchujo kwenye nafasi hiyo ya urais ndani ya chama hicho.

Kama ndivyo, namshauri pia Mh. Rais, aruhusu mchujo hata kwenye nafasi yake, ili kuweka mambo sawa!

Na akiruhusu mchujo mpaka kwenye nafasi ya urais, hii itaenda sambamba na hiki alichokitangazia chama chake kwamba, kuwe na mchujo wa kuchuja wabunge wasiowachapa kazi ambao wamekaa kukimbizana na sitarehe zao huku wakiwatekeleza wananchi wanaowawakilisha.
 
Mh sana Rais Samia, amekitaka chama chake kuweka mchujo kwa wawakilishi ili ambao wamekuwa hawafanyi vizuri kwa wananchi, wapigwe chini

Kwenye hili nampongeza sana, hii itawafanya wabunge wetu wafanye kile wananchi wamewatuma huko bungeni

Hata hivyo, shida yangu ni moja, kutokana na hoja hiyo hiyo, Nimewasikia viongozi wa CCM wakisema, nafasi ya urais, kutachapishwa kadi moja tu ya ugombea, ambapo hapatakuwa na mchujo kwenye nafasi hiyo

Kama ndivyo, namshauri pia Mh Rais, aruhusu mchujo hata kwenye nafasi yake, maana yapo mengi tu ambayo hayafanyiki vema chini yake!
wewe unaweza kujichuja au kujichua tuanzie apo kwanza
 
Kwa hiyo hii ni kule kusema, mkuki kwa nguruwe, siyo?
hiyo ni kumaanisha hayupo wa kumchuja.

yeye ni mgombea pekee na ni yeye ndie pekee anastahili na mwenye fursa ya kupeprerusha bendera ya chama chake2025.

Rejea maneno au kauli ya E.Nchimbi katibu mkuu ccc, dhidi ya Dr.Gharib Bilali alipoombwa amuunge mkono kugombea urais wakati huo, ilihali DR. Amani Abeid Karume alikua anayo ngwe ya pili ya kuwa rais wa zanzibar, kulingana na mila na desturi ya heshima waliyonayo chama cha mapinduzi.
 
Mh.Rais Samia, amekitaka chama chake kuweka mchujo kwa wawakilishi ili ambao wamekuwa hawafanyi vizuri kwa wananchi, wapigwe chini.

Kwenye hili nampongeza sana, hii itawafanya wabunge wetu wafanye kile wananchi wamewatuma huko bungeni.

Hata hivyo, shida yangu ni moja, kutokana na hoja hiyo hiyo, Nimewasikia viongozi wa CCM wakisema, nafasi ya urais, kutachapishwa kadi moja tu ya ugombea, ambapo hapatakuwa na mchujo kwenye nafasi hiyo ya urais ndani ya chama hicho.

Kama ndivyo, namshauri pia Mh. Rais, aruhusu mchujo hata kwenye nafasi yake, maana yapo mengi tu ambayo hayafanyiki vema chini yake!

Na akiruhusu, hii itaenda sambamba na hiki alichokitangazia chama chake kwamba, kuwe na mchujo wa kuchuja wabunge wasiowachapa kazi ambao wamekaa kukimbizana na sitarehe zao huku wakiwatekeleza wananchi wanaowawakilisha.
We mchokozi🤣🤣🤣🤣
 
Mh.Rais Samia, amekitaka chama chake kuweka mchujo kwa wawakilishi ili ambao wamekuwa hawafanyi vizuri kwa wananchi, wapigwe chini.

Kwenye hili nampongeza sana, hii itawafanya wabunge wetu wafanye kile wananchi wamewatuma huko bungeni.

Hata hivyo, shida yangu ni moja, kutokana na hoja hiyo hiyo, Nimewasikia viongozi wa CCM wakisema, nafasi ya urais, kutachapishwa kadi moja tu ya ugombea, ambapo hapatakuwa na mchujo kwenye nafasi hiyo ya urais ndani ya chama hicho.

Kama ndivyo, namshauri pia Mh. Rais, aruhusu mchujo hata kwenye nafasi yake, maana yapo mengi tu ambayo hayafanyiki vema chini yake!

Na akiruhusu, hii itaenda sambamba na hiki alichokitangazia chama chake kwamba, kuwe na mchujo wa kuchuja wabunge wasiowachapa kazi ambao wamekaa kukimbizana na sitarehe zao huku wakiwatekeleza wananchi wanaowawakilisha.
Hata akiwekwa na Joti Joti atapita kama mshale, hata wazanzibar wenzake hawamtaki kabisa
 
Mh.Rais Samia, amekitaka chama chake kuweka mchujo kwa wawakilishi ili ambao wamekuwa hawafanyi vizuri kwa wananchi, wapigwe chini.

Kwenye hili nampongeza sana, hii itawafanya wabunge wetu wafanye kile wananchi wamewatuma huko bungeni.

Hata hivyo, shida yangu ni moja, kutokana na hoja hiyo hiyo, Nimewasikia viongozi wa CCM wakisema, nafasi ya urais, kutachapishwa kadi moja tu ya ugombea, ambapo hapatakuwa na mchujo kwenye nafasi hiyo ya urais ndani ya chama hicho.

Kama ndivyo, namshauri pia Mh. Rais, aruhusu mchujo hata kwenye nafasi yake, maana yapo mengi tu ambayo hayafanyiki vema chini yake!

Na akiruhusu, hii itaenda sambamba na hiki alichokitangazia chama chake kwamba, kuwe na mchujo wa kuchuja wabunge wasiowachapa kazi ambao wamekaa kukimbizana na sitarehe zao huku wakiwatekeleza wananchi wanaowawakilisha.
Kwanza hatoamini macho yake, kuona unafiki wa MACHAWA. Watamkataa kweupe kama Magufuli
 
Mh.Rais Samia, amekitaka chama chake kuweka mchujo kwa wawakilishi ili ambao wamekuwa hawafanyi vizuri kwa wananchi, wapigwe chini.

Kwenye hili nampongeza sana, hii itawafanya wabunge wetu wafanye kile wananchi wamewatuma huko bungeni.

Hata hivyo, shida yangu ni moja, kutokana na hoja hiyo hiyo, Nimewasikia viongozi wa CCM wakisema, nafasi ya urais, kutachapishwa kadi moja tu ya ugombea, ambapo hapatakuwa na mchujo kwenye nafasi hiyo ya urais ndani ya chama hicho.

Kama ndivyo, namshauri pia Mh. Rais, aruhusu mchujo hata kwenye nafasi yake, ili kuweka mambo sawa!

Na akiruhusu mchujo mpaka kwenye nafasi ya urais, hii itaenda sambamba na hiki alichokitangazia chama chake kwamba, kuwe na mchujo wa kuchuja wabunge wasiowachapa kazi ambao wamekaa kukimbizana na sitarehe zao huku wakiwatekeleza wananchi wanaowawakilisha.
Kwa jinsi ninavyoona hajiamini aisee Humo humo ccm hatoboi....sijui akikutana na Lissu itakuwaje.

Ashukuru vikosi.
 
Back
Top Bottom