Akili Kichwani
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 1,508
- 216
wengine wanasema ni zile za majani tu yaani vegetables ndizo zinazopaswa kuitwa MBOGA, wengine wanasema makundi yote ya vitoweo kama nyama, mbegu, mizizi, wadudu (kama kule buhaya), matunda, majani nk. yoye yanapaswa kuitwa MBOGA. wengine wanasema kwa mlo wenye vitoweo vingi vya aina mbalimbali, ni kile litoweo kikuu pekee (yaani kile ambacho kikiondolewa chkula hakiliki) ndicho chapaswa kuitwa MBOGA na vilivyobaki ni KACHUMBARI tu.
sasa kwa wale wanotumia chai au uji pamoja na samaki ama nyama au mboga za majani kama matembele na kismvu kama kifungua kinywa nao wanakula MBOGA? je wanaokunywa supu, mchemsho, wanaochoma, kukaanga ama kutokosa nyama kama mbuzi, kitimoto, kuku nk. sehemu za starehe nao wanakula MBOGA? vipi kuhusu maziwa yanapotmiwa pamoja na chakula nayo yaweza kuitwa MBOGA?
ni neno gani moja la kiingereza linaloweza kutamkwa likimaanisha neno la kiswahili "MBOGA"? na lipi hutumika kumaanisha KACHUMBARI?
tusaidiane tafadhari.......................
sasa kwa wale wanotumia chai au uji pamoja na samaki ama nyama au mboga za majani kama matembele na kismvu kama kifungua kinywa nao wanakula MBOGA? je wanaokunywa supu, mchemsho, wanaochoma, kukaanga ama kutokosa nyama kama mbuzi, kitimoto, kuku nk. sehemu za starehe nao wanakula MBOGA? vipi kuhusu maziwa yanapotmiwa pamoja na chakula nayo yaweza kuitwa MBOGA?
ni neno gani moja la kiingereza linaloweza kutamkwa likimaanisha neno la kiswahili "MBOGA"? na lipi hutumika kumaanisha KACHUMBARI?
tusaidiane tafadhari.......................