Hi guys,. Habari za siku nyingi
Bila kupoteza mda tupike pamoja pilau nazi
Kwenye sufuria yako ya kupikia utaweka mafuta, yakipata moto utaweka vitunguu na ( hoho ni optional)
Utakaanga kwa muda utaweka kitunguu saumu na tangawizi utaendelea kukaanga kwa mda kidogo
Utakaanga kwa mda tena kidogo...