Tupike maini na matembele

Tupike maini na matembele

Najua kupika ila napika kukiwa na washikaji wamekuja so morng napika chapati au half keki
Nakumbuka likizo ya Form4 nlikua nafundishwa kukanda na kusukuma chapati kwa vibao ( kichapo ) hadi nikaweza nikawa nazipika zinakua laini vizuri tu,. Sikuizi sijui imekuwaje kila nikijaribu lazima zitoke kaukau
 
Nakumbuka likizo ya Form4 nlikua nafundishwa kukanda na kusukuma chapati kwa vibao ( kichapo ) hadi nikaweza nikawa nazipika zinakua laini vizuri tu,. Sikuizi sijui imekuwaje kila nikijaribu lazima zitoke kaukau
Uliacha kupika mda mrefu so now lazima upike mara kwa mara utarudi kwenye ubora
 
Kuna vyakula aina nyingi kwelikweli ila akili yangu inagota kwenye vichache kweli aisee.

Nikiingia mitandaoni ndio napata idea na kukumbuka home bi mdashi alivyokua anajua kupika vimbongmboga.
 
Hello

Leo nilikuwa na hamu ya izi mboga maini siyapendi sana ila leo nilikuwa na hamu nayo

Nikachukua maini nikayachemsha baada ya kuya katakata na kutoa lile gamba la maini baada ya hapo nikaanda nyanya karoti na hoho

Baada ya maini kuiva nikaweka mafuta baada ya kuiva nikaweka vitunguu na nikachanganya baada ya muda nikaweka maini nika kaanga pamoja na vitunguu kisha nikachukua nyanya iliyo sagwa vizuri nikaweka kisha nikafunika na kuweka pilipili baada ya hapo nika weka na karot pamoja na hoho ziive

Kama unavyoona
View attachment 3349031
Baada ya hapo nikawa naosha matembele niliyo yachambua vzr kisha nikayaweka yachuje maji
View attachment 3349032
Baada ya hapo nikaanza kupika sasa nikaweka mafuta pamoja na vitunguu
View attachment 3349033
Kisha nikaweka nyanya na kufunika nyanya za matembele sipendi kubrendi nakataka kama ivyo
Tu
View attachment 3349036
Baada ya nyanya kuiva nikaweka tembele sasa
View attachment 3349037
Nikafunika kwa muda kisha nikachanganya na baada ya kuiva nikasonga ugali safi maana murumbee ilianza kuuma sana

View attachment 3349038Karibuni wotee
Bonge la Msosi.safi kabisa hapa nimepata kitu.kumbe maini humenywa lile ganda lililo kama karatasi hiv
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom