Entreprenuare
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,616
- 1,735
Agriculture is the branch of science which deals with crops cultivation and animal keeping.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sent from my iPhone using JamiiForums
Arbitrary kwa kimombo. Ni ishu pana unayoweza kuiandikia kitabu.lakini mpaka leo sielewi wala sijawahi kuelewa nasibu ni nini na imeingiaje hapo kwenye sauti..
Ningekuwa mwalimu ningekupa point zote 3 umetoa maana vizuri pia umeonesha mfano kusaidia maana yako iweleweke vizuri.Rejesta ni mtindo wa Lugha unaotumika katika mazingira maalum....
Mfano:
Rejesta ya hotelini
1.Lete chai chapati
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahaa nimeelewa sasa ila pia ntarudia rudia kusoma mpaka niweze kumuelekeza mtu nasibu ni nini....nashukuru sana mkuu daby..Arbitrary kwa kimombo. Ni ishu pana unayoweza kuiandikia kitabu.
Lugha ni sauti za nasibu....ikiwa na maana hakuna uhusiano wowote wa maneno ya lugha, matamshi yake na vitu vyenyewe.
Mfano neno simu.
Hakuna uhusiano wa neno simu na simu. Au neno mtu na mtu mwenyewe hakuna uhusiano. Jamii imekubaliana pasipo kikao chochote kutumia neno mtu kuwakilisha kiumbe cha kike au cha kiume kama wewe hapo.
Nasibu ni neno lenye maana ya jambo au kitu kinachotokea bila kupangwa.
Catalyst is a substance which when energize nimesahu Mana ni mwaka wa zamani sana
Mimi mwenyewe mpaka Leo sielewi....ngoja waje waalimu lughalakini mpaka leo sielewi wala sijawahi kuelewa nasibu ni nini na imeingiaje hapo kwenye sauti..