Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

Wakuu naomba kuuliza/msaada. Hivi kwenye qualification unapokua una add details, ukichagua auto search kunakua hakuna haja ya ku attach vyeti?. Maana nilikua namfanyia mtu application nilivyofika sehemu ya kuadd qualification nikachagua pale kwenye auto search baada ya kuweka reg No, zikaja details zote ila sehemu ya kuweka vyeti ndo haipo.
 
Nisaidien hapa jaman nmekwama
 

Attachments

  • Screenshot_2025-03-29_151340.jpg
    Screenshot_2025-03-29_151340.jpg
    124 KB · Views: 26
Wakuu naomba kuuliza/msaada. Hivi kwenye qualification unapokua una add details, ukichagua auto search kunakua hakuna haja ya ku attach vyeti?. Maana nilikua namfanyia mtu application nilivyofika sehemu ya kuadd qualification nikachagua pale kwenye auto search baada ya kuweka reg No, zikaja details zote ila sehemu ya kuweka vyeti ndo haipo.
Kwenye Mwongozo wao wa kutuma maombi wameandikaa ukiweka zile index n# matokeoo yakija pale automatically we una submit sehem ya ku attach vyetii haiji.
 
Apo bado posho….ya msosi kama 300000 na vinywaji 100000 ambayo hii unapewa kila baada ya miez mi3 yaan utakua unapewa lak3…..so kwa upande wa posho jumla kwa mwez ni laki4
Kwa maofisa wa tra wanaangalia huku wanacheka
 
Kozi ya polisi ni miezi 12 katika semester 3
Sem1 (miezi 3)- masomo ya nje huko wanasoma judo,singe,kwata na silaha
Sem2 (miezi 6)-darasani na hapo ni kitabu cha kufa mtu wanafanya assignment,test na mitihani ya mwisho kwa masomo kama 12+ hv
Sem 3 (miezi 3) hapo ni field na mbinu za medani sifa ni kufungua moyo tu
Mafunzo na kazini kwa polisi zingatia 👇
# Nidhamu,Haki,Weredi na Uadilifu
Msihasahu kumtanguliza mungu kwa kila jambo🙏
Kuna semester ya nne hapo= mafunzo kwa vitendo nje ya kambi(field) mtaenda traffic, kuna wataenda ghasia kujifunza na n.k na rehearsal
 
Hata kidato Cha nne ila wenye ufaulu mkubwa...! Kipindi jeshi linaanzishwa darasa la 7 walikuwa wengi hivyo la saba...walipewa mafunzo ya C.I.D

Hawa ni wapelelezi au investigation officer wengi wao Huwa awavai uniform kabisa...na Kuna wengine awaripoti vituoni kabisa😂😂😂

POLISI Ina intelligence kubwa sana...!​
Katika kitu polisi inawashinda majeshi mengine ni Inteligensia
 
Back
Top Bottom