Tupeane mbinu: Ni uwekezaji gani wa zao la kudumu ambalo nikilima linaweza kunipa kipato toshelezi?

mkarimani feki

JF-Expert Member
Nov 8, 2023
302
1,136
Wadau hali ya kiuchumi ya watanzania inajulikana , wengi wetu vipato vinasua sua sio kwa jobless ama employee iwe public ama private entity.

Wakuu nimekuja hapa tupeane updates ni mkoa gani ama wapi hapa nchini kwetu unaweza wekeza kwenye zao la kudumu likakupa pesa kwa kipindi kirefu.

N.B Mimi ni mtumishi wa halmashauri ya Buhigwe natafuta unafuu wa kiuchumi
 
wadau hali ya kiuchumi ya watanzania inajulikana , wengi wetu vipato vinasua sua sio kwa jobless ama employee iwe public ama private entity.

wakuu nimekuja hapa tupeane updates ni mkoa gani ama wapi hapa nchini kwetu unaweza wekeza kwenye zao la kudumu likakupa pesa kwa kipindi kirefu.

N.B mimi ni mtumishi wa halmashauri ya buhigwe natafuta unafuu wa kiuchumi
Lima kahawa Mbeya au Mbinga Songea. Kahawa ya kisasa miaka mitatu unaanza kuvuna.

Pia korosho ya mda mfupi nadhani miaka miwili au mitatu unaanza kuvuna.


Kahawa nifuate nikupe update zake me nimelima naanza kuvuna mwaka huu.
 
Tafuta eneo zuri kwanzia heka 10
Lima mazao/matunda yafuatayo
Nazi-hizi chukua mbegu ya kienyeji mche mmoja 5000-10000.
Michungwa-miche 1500-2500
Malimao-1500-2500
Ndimu- 1500-2500
Maembe dodo-2000-3000

Haya ni moja ya mazao/matunda ambayo hayahitaji sana usimamizi ya karibu,pia ukipata mtu mzuri na kutunza shamba huu ni uwekezaji mzuri kwa manufaa ya baadae.

Nakutakia kila la kheri chief.
 
Lima kahawa Mbeya au Mbinga Songea. Kahawa ya kisasa miaka mitatu unaanza kuvuna.

Pia korosho ya mda mfupi nadhani miaka miwili au mitatu unaanza kuvuna.


Kahawa nifuate nikupe update zake me nimelima naanza kuvuna mwaka huu.
Kuna kahawa ya asili unaweza kulima hata mikoa ya pwani inatokana na mkunde pori, kahawa yake ni tamu, haina madhara kama ya kahawa ya Kawaida, ni dawa, inakuacha na nguvu mwilini kwa masaa mengi, miezi kadhaa tu unavuna, inastahimili sana ukame, haihitaji mbolea wakati wa kuilima
 
wadau hali ya kiuchumi ya watanzania inajulikana , wengi wetu vipato vinasua sua sio kwa jobless ama employee iwe public ama private entity.

wakuu nimekuja hapa tupeane updates ni mkoa gani ama wapi hapa nchini kwetu unaweza wekeza kwenye zao la kudumu likakupa pesa kwa kipindi kirefu.

N.B mimi ni mtumishi wa halmashauri ya buhigwe natafuta unafuu wa kiuchumi
Mbinu nyingine rahisi ni kupunguza matumizi yako na kuishi chini ya kipato chako (living below your means), ni kuishi ukihitaji vitu vichache sana (minimalist life)

Tafuta kitabu kinaitwa THE SUBTLE ART OF NOT GIVING A FUC*K kisome au tafuta summary yake online

Watu wengi hudhani wanahitaji mshahara zaidi au pesa zaidi, kumbe wanachotakiwa kufanya ni kuondoa zaidi ya nusu ya yale wanayodhani wanayahitaji
 
Lima kahawa Mbeya au Mbinga Songea. Kahawa ya kisasa miaka mitatu unaanza kuvuna.

Pia korosho ya mda mfupi nadhani miaka miwili au mitatu unaanza kuvuna.


Kahawa nifuate nikupe update zake me nimelima naanza kuvuna mwaka huu.
asante mkuu,vp soko lake ?
 
Mbinu nyingine rahisi ni kupunguza matumizi yako na kuishi chini ya kipato chako (living below your means), ni kuishi ukihitaji vitu vichache sana (minimalist life)

Tafuta kitabu kinaitwa THE SUBTLE ART OF NOT GIVING A FUC*K kisome au tafuta summary yake online

Watu wengi hudhani wanahitaji mshahara zaidi au pesa zaidi, kumbe wanachotakiwa kufanya ni kuondoa zaidi ya nusu ya yale wanayodhani wanayahitaji
naongea kulingana na experiences chief
 
Tafuta eneo zuri kwanzia heka 10
Lima mazao/matunda yafuatayo
Nazi-hizi chukua mbegu ya kienyeji mche mmoja 5000-10000.
Michungwa-miche 1500-2500
Malimao-1500-2500
Ndimu- 1500-2500
Maembe dodo-2000-3000

Haya ni moja ya mazao/matunda ambayo hayahitaji sana usimamizi ya karibu,pia ukipata mtu mzuri na kutunza shamba huu ni uwekezaji mzuri kwa manufaa ya baadae.

Nakutakia kila la kheri chief.
asante chief
 
Back
Top Bottom