Tupeane maujanja ya Excel

Tupeane maujanja ya Excel

Wenye changamoto za Ms Excel mmeisha?
Aisee wewe ni mwamba wa excel
Haya hebu nisaidie dondoo za kutengeneza project management template ambayo nikiingiza tarehe za task inajizaja na bar yenye rangi
Zile tarehe za juu ndio huwa zinanichanganya sana
 
Wenye changamoto za Ms Excel mmeisha?
Huwa haziishi mkuu,sababu kila leo functions zinakuja mpya kutokana na versions za excel,Sahivi kuna TCol,Filter na mengine mengi ambayo yanakwambia Vlookup au IndexMatch ziko outdated
 
Nina topics zote za excel kwa njia ya video, lakin had leo huwa sielewi kitu chochote
 
Nina topics zote za excel kwa njia ya video, lakin had leo huwa sielewi kitu chochote
Hii mpaka uwe kwenye field husika either ni Accountant,Engineer au ni Data au financial analyst yaani kwako ikiwa ni zoezi endelevu utaijua tu, anza na basics kwanza
 
Hii mpaka uwe kwenye field husika either ni Accountant,Engineer au ni Data au financial analyst yaani kwako ikiwa ni zoezi endelevu utaijua tu, anza na basics kwanza
Huko nshashindwa mie.. 🙏
 
Aisee wewe ni mwamba wa excel
Haya hebu nisaidie dondoo za kutengeneza project management template ambayo nikiingiza tarehe za task inajizaja na bar yenye rangi
Zile tarehe za juu ndio huwa zinanichanganya sana
Hiyo unatumia conditional formatting, unaweza ukatengeneza table yenye columns ndogo ndogo then ukazipa values (dates) na kuziwekea conditional formatting. Utakapojaza tarehe husika, raw inajifill color yenyewe kulingana na idadi ya siku. Ukihitaji kutengenezewa nicheck, leo leo kazi inaisha
 
Huwa haziishi mkuu,sababu kila leo functions zinakuja mpya kutokana na versions za excel,Sahivi kuna TCol,Filter na mengine mengi ambayo yanakwambia Vlookup au IndexMatch ziko outdated
Leteni hizo changamoto, ulizieni na kwa majirani kama wanazo changamoto wawapatieni mzilete
 
Hiyo unatumia conditional formatting, unaweza ukatengeneza table yenye columns ndogo ndogo then ukazipa values (dates) na kuziwekea conditional formatting. Utakapojaza tarehe husika, raw inajifill color yenyewe kulingana na idadi ya siku. Ukihitaji kutengenezewa nicheck, leo leo kazi inaisha
Asante nitajaribu nilete mrejesho
 
Leteni hizo changamoto, ulizieni na kwa majirani kama wanazo changamoto wawapatieni mzilete
Hebu tuangalie jinsi ya ku interpretate function Arguments let say tuingize formula yetu hii kwenye attachment kwenye Function Argument ilete matokeo yale yale kama ulivofanya awali
 

Attachments

  • downloadfile-18.jpg
    downloadfile-18.jpg
    55 KB · Views: 2
Nina topics zote za excel kwa njia ya video, lakin had leo huwa sielewi kitu chochote
Excel ni mahesabu na sio picha za udaku inahitaji kufikiria sana nakumbuka wakati nafanya mtihani wa database mwalimu aliruhusu kugerezea Sasa basi watu wengi walifail mtihani hata wale waliokuwa na akili nyingi mwalimu akasema Bless on hata kama kagerezea Lakini katumia akili watu wote mimacho kwangu.
 
Back
Top Bottom