Njuka II
JF-Expert Member
- Feb 25, 2019
- 450
- 766
Hii hapaSijaona formula mkuu.
Hii hapaSijaona formula mkuu.
Inagoma mkuu, inaleta #NAME?
Baada ya kuiweka imekuja na output hii mkuu
Unakosea kutype, usitumie curled bracket...tumia bracket za kawaida (curved) kama hii () na sio {}Baada ya kuiweka imekuja na output hii mkuu
Kwenye Ms Excell unapata shida wapi hasa?Hata mi napenda sana kujuaga haya makitu. Nimetumia tumia excel lakini excel hainaga mbabe. Iko pana sana. Tusubiri wadau wa analysis waje
Na ukitaka iweke taarifa za leo tu ni =TODAY() 👍Kwenye Invoice au Risiti. Kama unataka idisplay tarehe na muda wa kuiandika, enter the following formula. =now() . Hapa kila kitu utachofanya itajiupdate muda automatically.
Nimetumia bracket za kawaida hebu angalia vizuri kwenye hiyo attachment nimetype kama ilivyo, wewe umeitest hii formula.?Unakosea kutype, usitumie curled bracket...tumia bracket za kawaida (curved) kama hii () na sio {}
Ndio, formula inafanya kazi bila shida. Attachment yako nikiizoom maandishi yanafifia, nashindwa kuiona vizuri ili nijue unapokoseaNimetumia bracket za kawaida hebu angalia vizuri kwenye hiyo attachment nimetype kama ilivyo, wewe umeitest hii formula.?
hii hapaNimetumia bracket za kawaida hebu angalia vizuri kwenye hiyo attachment nimetype kama ilivyo, wewe umeitest hii formula.?
Yaanu nimeitype sawia kama ilivyoNdio, formula inafanya kazi bila shida. Attachment yako nikiizoom maandishi yanafifia, nashindwa kuiona vizuri ili nijue unapokosea
Sawa mkuu, lakini mbona amount imekuja ndogo sana, hiyo amount inatakiwe igaiwe kwa 4 ili taxpayer alipe kwa awamu nne, so kwa case hiyo hapo anatakiwa alipe 1500 kwa installment moja.
Asilimia 3 ya laki 2 ni 6,000/=Sawa mkuu, lakini mbona amount imekuja ndogo sana, hiyo amount inatakiwe igaiwe kwa 4 ili taxpayer alipe kwa awamu nne, so kwa case hiyo hapo anatakiwa alipe 1500 kwa installment moja.
Kuna mahali tu lazima iwe umekosea, formula ikiwa sawa haiwezi kuleta errorYaanu nimeitype sawia kama ilivyo
Imekubali, kwanini tusingeanza na kubwa kwenda ndogo let say 100,000,000 badala ya 4,000,000Kuna mahali tu lazima iwe umekosea, formula ikiwa sawa haiwezi kuleta error
Vyovyote tu utakavyoweka, màana formula huwa inazunguka pote kutafuta sehemu ya kudondokea na kama kùna chaguo zaidi ya moja basi formula itadondokea katika chaguo la karibu zaidi na alama ya =. Kama itatokea formula imekosa pa kudondokea itaandika FALSE mfano ukiandika amount ambayo haijawa considered ktk utengenezaji wa formula eg 120,000,000/=Imekubali, kwanini tusingeanza na kubwa kwenda ndogo let say 100,000,000 badala ya 4,000,000
Mfano ukiandika if(A1>21, "F", if(A1>41,"D")), ukiandika 50 ktk A1, out itaandika F na sio D kwa sababu statements zote zitatoa jibu la TRUE (50 ni kubwa kuliko 21 na pia ni kubwa kuliko 41)Imekubali, kwanini tusingeanza na kubwa kwenda ndogo let say 100,000,000 badala ya 4,000,000
Na pale juu mbona kuna greater than na equa na kuna sehemu zingine ni greater-than na AND hii tofauti yake nini kwa mfano kwenye formula ya PAYE zote ni greater-than na hamna AND na ime workout ?Mfano ukiandika if(A1>21, "F", if(A1>41,"D")), ukiandika 50 ktk A1, out itaandika F na sio D kwa sababu statements zote zitatoa jibu la TRUE (50 ni kubwa kuliko 21 na pia ni kubwa kuliko 41)
Aisee! mbona hiyo ni shule tena, wewe shukuru Mungu kwanza case yàko imekuwa solved japo mtaalam hata soda hajapataNa pale juu mbona kuna greater than na equa na kuna sehemu zingine ni greater-than na AND hii tofauti yake nini kwa mfano kwenye formula ya PAYE zote ni greater-than na hamna AND na ime workout ?