Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 29,110
- 93,156
Asante jaman hatimaye umelike umejuaje kama nakupenda waooooh unanipenda au maana huuu msimu wa mapenzi mubasharaKuna mtu nataka nianzishe naye mahusiano tena iwe couple imara kama the bold na nifah popote alipo ukipita hapa naomba u like nina upendo wako umejaaa gunia fanya haraka kabla sjabadilisha maamuzi wewe kaka unanitesa sana moyo wang
Nakupenda hata kama una sura mbaya maneno yako tu mm yananikosha mwezio hivi hauoni tu kama nakupenda
Likes zote hizo ninazokupa haujishitukiii wewe mtu gani?
Japo ulininyima kapicha kako kwa kuogopa eti una sura mbaya
Aliyekwambia mm napenda handsome nan mm napenda mtu anayeshuka madini
Hebu acha kunitesa mtoto wa mweziooo wewe kaka jaman
Wacha nilie tu hakuna namna
Unajishtukia tu. Kwanini wasikupende na wewe ni mwanamke?naonaga tu dina ,mambo mengi
Hakuna kukata tamaa. Ukiachana na mmoja sio mwisho wa maisha. Mie ninavyojiamini kupendwa jamani basi tu sipati wa kumpenda. Ila kuna watu wananipenda hadi natamani Mungu anipatie upendo kidogo tu juu yao.Mimi nishapendwa sana na bado napendwa,, kuna mkaka ananipenda sana na juzi kati Hapa ulikuwa kuniona Anafanya kazi UN ni mzuri, Kila kitu anacho nadhan, Ana heshima sana Pamoja na kuwa na kazi kubwa, Nampenda japo mimi kuna mtu Nampenda zaidi yamekuwa Kwenye mgogoro mwaka nadhan sasa, huyu ndio nnaempenda sana Kuzidi Kila kitu japo huniamini amigo Kwa sasa lakin anafaa Kuwa mime kabisa
Wapo wengi tu wanaompenda sema hawezi kuwa nao wote
Kwako wewe anda kujipenda mwenyewe, jifunze kupenda wengine, acha ubinafsi, chagua mtu sahihi wa Kuwa nae Jitahidi umbadilishe asipobadilika tua kule, tafuta mwingine Tena utapata usikate tamaa
Aaaaaah mshukuru innAsante jaman hatimaye umelike umejuaje kama nakupenda waooooh unanipenda au maana huuu msimu wa mapenzi mubashara
Nina furaha waooooo
So mwaaaaah
Jaman wamekutag nn
Au kuna mtu kakuchombea
Lov u so mwaaaaah
Iam humble you know (Lemutuz voice)
Yaan Ndio hivyo mi moyo wangu mgumu na ni tofauti sana, huwa sipati Tamaa eti kisa mtu mmoja au wawili asiejua thamanii yako achana Tena kimya kimya tu,, Nenda Kwa wanajua thamanii yako basiHakuna kukata tamaa. Ukiachana na mmoja sio mwisho wa maisha. Mie ninavyojiamini kupendwa jamani basi tu sipati wa kumpenda. Ila kuna watu wananipenda hadi natamani Mungu anipatie upendo kidogo tu juu yao.
Shida ni kwamba atapata mtu ataonyesha kumpenda na yeye atakua anataka wahusiane ila ataogopa kujitosa kwa sababu tu ameshajiwekea hamna mtu anaeweza kumpenda. Mimi najua tatizo liko kwangu ila kwa wanaume nina uhakika nao. Na nilivyo nikikuelewa sitajali wewe unakuja kwangu unapita au unataka kuweka makazi ila sitaacha kujipa nafasi ya kuanzisha kitu kikishindwa basi ndo maisha.Yaan Ndio hivyo mi moyo wangu mgumu na ni tofauti sana, huwa sipati Tamaa eti kisa mtu mmoja au wawili asiejua thamanii yako achana Tena kimya kimya tu,, Nenda Kwa wanajua thamanii yako basi
Nipe ubuyuuu Naona miss kachambwaUnajishtukia tu. Kwanini wasikupende na wewe ni mwanamke?
Ajaribu hivyo pia, leo keyboard yangu inanifanyia mabaya mimiShida ni kwamba atapata mtu ataonyesha kumpenda na yeye atakua anataka wahusiane ila ataogopa kujitosa kwa sababu tu ameshajiwekea hamna mtu anaeweza kumpenda. Mimi najua tatizo liko kwangu ila kwa wanaume nina uhakika nao. Na nilivyo nikikuelewa sitajali wewe unakuja kwangu unapita au unataka kuweka makazi ila sitaacha kujipa nafasi ya kuanzisha kitu kikishindwa basi ndo maisha.
Kachambwa na Rachel sema mchambo wenyewe wakizamani kweli.Nipe ubuyuuu Naona miss kachambwa
Shemeji mbona huja mtagi kaka mkubwaNipe ubuyuuu Naona miss kachambwa
Na mimi nimelike nadhani sijachelewaAsante jaman hatimaye umelike umejuaje kama nakupenda waooooh unanipenda au maana huuu msimu wa mapenzi mubashara
Nina furaha waooooo
So mwaaaaah
Jaman wamekutag nn
Au kuna mtu kakuchombea
Lov u so mwaaaaah
Iam humble you know (Lemutuz voice)
Kaweka private Nataka nioneKachambwa na Rachel sema mchambo wenyewe wakizamani kweli.
Nani sepetu?Shemeji mbona huja mtagi kaka mkubwa
Nakutumia shoga angu ngona nikascreeb shotKaweka private Nataka nione
Poaa leo keyboard yangu jamaniNakutumia shoga angu ngona nikascreeb shot
Ndio maana hii maada inawahusuNani sepetu?