UtdProfile_
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 255
- 310
Unawezaje kuishi mjini, kama DSM, bila deal la maana
π€π€π€π€
π€π€π€π€
Muhimu uwe na marafiki wenye pesa na uwe chawa. Haha natania bana πππ. Tafuta kazi mjini pagumu sana.Unawezaje kuhishi mjini, kama DSM, bila deal la maanaπ€π€π€π€
Hahaha mwisho wa siku ....umarioo
Ahahahahahaha Sasa kwenyee Suala la uchawaa hapo kipengelee, tuwe kama hakina mwijakuuuππππMuhimu uwe na marafiki wenye pesa na uwe chawa. Haha natania bana πππ. Tafuta kazi mjini pagumu sana.
Daaaah ππππumarioo
Daaaah umenisaidia kuulizia hapooo ππππHahaha mwisho wa siku ....
Duuuuh nd maisha blood sema one day kila kitu kitakuwa amonabelee π₯π₯π₯Nipo kwenye hii situation mda huu
Naaaam blood umenena points hapaaaTunafanya biashara zile watu wanazoona za kiduanzi....kwa siku naficha 6450.....
Nyingine naficha buku 3....ila kwenye chamu uongo ndo nauli na hela ya kula..
.michezo..
Vicoba....day waka night drive....saidia fundi....vibarua vya kulima kwenye masaiti na nje ya mji....kuokota chupa etc
Ndio maana akee sasa madil tunapatajeeee ????Dili ni kila kitu.
πππππππ€π€π€π€π€Bongo Dili akili yako tu.
Uza hata mboga utolala njaa
Daaaah ππππNakaa karibu na mochwari maiti ikichukuliwa cha machana naenda kula huko
Sasa tunapata Vp connection mpwaaaaπ€π€π€π€Madili!! Kila kitu Ni "connection"