Tupate wadhamini kidogo

Mnajichagulia vya unafuu! Angekuwa huyo dada ndio anaanzisha matatizo mngebwatuka vibaya mno kwenye comments, ila kwavile mnajuana basi mnamchagulia maamuzi! Mtu anapita na majirani marafiki wote eti atapunguza ujinga! Dawa ya moto ni moto!!
Kwenye ndoa, dawa ya moto ni maji...
 
Labda sio mimi, utakachofanya nalipiza mara mbili yake! Mimi nitulize uke ndani wewe unaonesha mpaka majirani na marafiki zangu! Halafu unaona haitoshi unanirogea danga langu😂
 
Hii ni code usiingie kichwa kichwa
 
Yani kama umeoa boya hapo sawa! Kuna vitu vya kupuuzia ila sio mwanaume limbukeni wa uke! Sivumilii hata sekunde..
Hakuna mwanamke boya...

Kila mwanamke ana uwezo wa kumbadilisha mwanamume kuwa chochote!

Sisi wanaume sio malimbukeni wa uke, ndio tumeumbwa hivyo...

Mimi naweza kulala na kichaa, ila naamini wewe huwezi...

Usifikiri mwanaume akiwa mtulivu maana yake hapendi K...

Ni priorities tu kwa mda huo ila K ikijitokeza mbele yake haiachi(niamini mimi)
 
An average african bila kujali jinsia yake ana uwezo mdogo wa kufikiri.
Tumesoma wote kitabu kimoja?usitaje jina but kuna qoute mle inasema "In positions that require a higher level of cognitive ability, there are more men because a greater proportion of men have above-average IQs compared with women. However the average man and the average woman have the same cognitive ability.”
 
Hakika ulichokisema ni kweli
 
Hmm, ila hapo sijaona sababu ya kumlaumu mwanamke na kumuona mwanaume yuko sahihi kwa alichokifanya! Huu mfumo dume uliopo nchi zetu umeharibu saikolojia ya mwanaume mpaka mambo kama hayo yako wazi lakini bado haoni tatizo liko wapi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…