Mwanamageuko
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 8,602
- 5,569
Tunaweza kuamini hivyo lakini si kwa nchi ambayo imegubikwa na vyeo vya kihisani. Tujiulize ni kwanini hadi sasa Jumanne hajafunguliwa mashtaka kesi ya kumbambikia mstaafu meno ya tembo? Tujiulize kwanini jaji anatumia nguvu kubwa kuwahami jamhuri pale walipoyapuyanga? Tujiulize kwanini wako watu wanashangilia na kufurahi Mbowe na wenzake kuwa ndani muda wote huo???Mimi ninaamini hii kesi itakapoisha all the accused will be acquitted. Ninaamini Mbowe na wenziwe wataachiwa tu.
Lakini ninaamini hii kesi will backfire kwa hawa watu. Hizi tuhuma zao zinafika kwenye masikio ya wenye mamlaka.
Hawa watu ninauhakika watakamatwa na baada ya hapo tutasikia mengi yenye kutia aibu yakiibuliwa.
Let's wait and see
Haki haiombwi