dume kubwaaaa
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 255
- 28
Huu ndo udhaifu uliotufikisha hapa,badala ya kujadili tunajadili watu...!!!shame!!!Hakuna nchi hata moja humu ulimwenguni ambayo imaekamilisha jambo hata moja. Ndio maana mapambano ya maendeleo hayaishi (kwa serikalini na watu) kwa sababu hayana mwisho! Aidha, si kweli kwamba hakuna mazingira mazuri ya kujiendeleza. Naamini kwamba yapo ya kutosha na ndio maana katika nchi hii kuna watu ambao bidii na maarifa yao vimewatoa baada ya kubaini fursa lukuki zilizopo.
Naomba uvute subira, kama matamanio yako ni kuiona Tanzania iking'ara kimaendeleo, kwani muda si mrefu utaona Taifa jipya na CCM mpya isiyokuwa na akina Lowasa, Sumaye, Mtei, Nyalandu, Kingunge, Mgeja, Mahanga, nk nk!
Wazee wa vijisenti,hela ya mboga,wenye kashfa lukuki za escrow,meremeta,uuzaji wa nyumba za serikal huwaoni