Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Mkuu inasikitisha sana kuona sasa tumehamia kwenye biashara za binadamuKiukweli no kutaka kuwahadaa watanzania na matumizi mabaya ya madaraka katika nchi maskini unashindwa kulipa Madeni ya walimu na wazabuni Wa ndani ili uchumi wao ukue kutwa kununua madiwani na wabunge kutumia pesa kijinga