comte
JF-Expert Member
- Dec 11, 2011
- 8,221
- 5,940
kuwepo kwa upinzani si matakwa yetu ingawa inatusaidia kupata misaada ya wakubwaSasa akisema Amerika haina shule nzuri wewe unawaza nini, kwamba wana shule kama zile za kata.
Anazungumzia level ya marekani sio ya Tanzania.
Tanzania hii ambayo hapa nilipo hakuna umeme, umekatika; nawaona akina mama na watoto mgongoni wana ndoo kichwani wanaenda kwenye madimbwi kuchota maji wanayoshare na ng'ombe na mbuzi, leo kusiwe na upinzani! Kidding?