Hoja ya Ukomo wa Uongozi kwenye vyama vya upinzani ni kukosa Uelewa, Maarifa na Unafiki

Bams

JF-Expert Member
Oct 19, 2010
16,547
41,055
Kuwekeana mipaka kwenye ulaji ni jambo la hekima, lakini kuwekeana ukomo kwenye kujitolea ni ama kukosa uelewa, kukosa maarifa, au anayetaka hilo liwepo ni mnafiki, ana dhamira mbaya.

Kuweka ukomo wa muda wa uongozi ndani ya CCM na ndani ya Serikali, ni jambo la muhimu sana. Uongozi ndani ya CCM na ndani ya Serikali, ni ulaji. Kwenye ulaji ni lazima na ni muhimu kuwekeana ukomo. La sivyo waliokaa kuizunguka meza iliyojaa vyakula vya kila aina hawataondoka.

Uongozi ndani ya vyama vya upinzani ni mateso, ni kujitolea, ni kujitoa sadaka na wakati fulani ni kuwa tayari kufa kwaajili ya kutetea kile unachokiamini. Ni wangapi wanaweza kupigania kwenda jela? Ni wangapi wanaweza kupigania kushambuliwa kwa risasi? Ni wangapi wanaweza kupigania kufilisiwa?

Huwezi kuweka ukomo wa mtu kujitolea. Huwezi kuweka ukomo wa mtu kujitolea maisha yake kwaajili ya watu wengine. Kwenye kujitolea, mara nyingi watu huishia kumbembeleza mtu fulani awe kiongozi wao, au aliyekuwa kiongozi aendelee kuwa kiongozi.

Kuna watu, kwa unafiki tu, wanataka kulinganisha uongozi ndani ya chama cha upinzani CHADEMA ni sawa na uongozi ndani ya CCM, chama dola, chama tawala na chama maslahi.

Ukiwa kiongozi ndani ya CCM tayari umevaa ngao ya kutoshtakiwa hata ukitenda uovu. Tayari umejivika ngao ya kutosumbuliwa na vyombo vya dola, tayari umejivika ngao ya kunyenyekewa na viongozi wa Serikali, tayari umetengeneza mazingira wezeshi ya biashara zako kukua, umepata ticket hata ya kukwepa kodi na usisumbuliwe na TRA, tayari umekaa njiapanda ya kukusanya hongo za wanaogombea uongozi.

Kwa upande mwingine, ukiwa kiongozi wa CHADEMA, umekata ticket ya kubambikiwa kesi, kupelekwa mahakamani na kunyimwa dhamana, umeidhinisha kufilisiwa kwako kwa kubambikiwa kodi kwenye biashara zako, huna uhakika kama utaishi na kufa kwa mapenzi ya Mungu, wewe na ndugu zako kuandamwa na vyombo vya dola.

Nani anayeyatamani haya? Pia inajulikana kuwa CCM inafanya jitihada wakati wote kupandikiza mamluki kwenye uongozi wa CHADEMA ili kuweza kuiua. Kwa ukweli huo, pale unapokuwa na wachache waliojitolea, ambao mna uhakika siyo mamluki, mna uhakika hawarubuniwi wala kusaliti chama, kwa nini wasibembelezwe kuendelea kuwa viongozi kuliko mkaingiza mamluki au wanaorubuniwa na ikawa ndiyo mwisho wa chama?

Kwa sasa kuna watu ambao kwa vyovyote mtu unaweza kusema ndio waliojitolea, iwe mvua iwe jua, yawe mafuriko au tetemeko la ardhi, wanasimama na CHADEMA katika misingi yake ya kutetea na kupigania haki. Na hawa sio wengi. Ngazi za juu:

1. Freeman Mbowe
2. Tundu Lisu
3. John Mnyika
4. Mchungaji Msigwa
5. Mbilinyi Sugu
6. Heche

Katikati na chini, wapo, tena siyo wachache, lakini wanafahamika kwa majina.

CHADEMA, hata siku moja isibebe hoja za wanafiki eti kwa nini chama kina baadhi ya majina kwenye nafasi za uongozi kwa muda mrefu. Lengo la hawa watu, kukiwepo na huo upenyo wa kubadilisha viongozi mara kwa mara, kuna siku wataingiza watu wao waiue CHADEMA. Fikiria kama CHADEMA ingekabidhiwa kwa Mambe, Mzee Lowasa, Halima Mdee au Sumaye, hivi ingekuwepo bado?

Kwenye ulaji tuwekeane ukomo. Kwenye kujitolea, na kwenye kupigania haki hakuna ukomo, japo kiongozi anaweza kuamua kupumzika au wanachama wakaamua kupumzisha. Jambo la muhimu ni kuhakikisha wakati wote chama kipo kwenye uongozi wa mtu jasiri, mkweli, asiye mwoga na aliyejitoa nafsi yake kwaajili ya anachokipigania.
 
Ukomo wa madaraka ni muhimu katika kukua na kuimarika kwa demokrasia. Siku zote ukomo wa madaraka unatoa fursa na nafasi sawa na kuwezesha mazingira ya kukua kwa shughuli za kisiasa.
 
Jamaa kaandika kwa uchungu sana kama yeye ndo kaambiwa atoke afanye ukomo kwenye hicho chama,Na mbona umeongelea chadema tu chief au kushaanza kuwaka huko?
 
Kuwekeana mipaka kwenye ulaji ni jambo la hekima, lakini kuwekeana ukomo kwenye kujitolea ni ama kukosa uelewa, kukosa maarifa, au anayetaka hilo liwepo ni mnafiki, ana dhamira mbaya.

Kuweka ukomo wa muda wa uongozi ndani ya CCM na ndani ya Serikali, ni jambo la muhimu sana. Uongozi ndani ya CCM na ndani ya Serikali, ni ulaji. Kwenye ulaji ni lazima na ni muhimu kuwekeana ukomo. La sivyo waliokaa kuizunguka meza iliyojaa vyakula vya kila aina hawataondoka.

Uongozi ndani ya vyama vya upinzani ni mateso, ni kujitolea, ni kujitoa sadaka na wakati fulani ni kuwa tayari kufa kwaajili ya kutetea kile unachokiamini. Ni wangapi wanaweza kupigania kwenda jela? Ni wangapi wanaweza kupigania kushambuliwa kwa risasi? Ni wangapi wanaweza kupigania kufilisiwa?

Huwezi kuweka ukomo wa mtu kujitolea. Huwezi kuweka ukomo wa mtu kujitolea maisha yake kwaajili ya watu wengine. Kwenye kujitolea, mara nyingi watu huishia kumbembeleza mtu fulani awe kiongozi wao, au aliyekuwa kiongozi aendelee kuwa kiongozi.

Kuna watu, kwa unafiki tu, wanataka kulinganisha uongozi ndani ya chama cha upinzani CHADEMA ni sawa na uongozi ndani ya CCM, chama dola, chama tawala na chama maslahi.

Ukiwa kiongozi ndani ya CCM tayari umevaa ngao ya kutoshtakiwa hata ukitenda uovu. Tayari umejivika ngao ya kutosumbuliwa na vyombo vya dola, tayari umejivika ngao ya kunyenyekewa na viongozi wa Serikali, tayari umetengeneza mazingira wezeshi ya biashara zako kukua, umepata ticket hata ya kukwepa kodi na usisumbuliwe na TRA, tayari umekaa njiapanda ya kukusanya hongo za wanaogombea uongozi.

Kwa upande mwingine, ukiwa kiongozi wa CHADEMA, umekata ticket ya kubambikiwa kesi, kupelekwa mahakamani na kunyimwa dhamana, umeidhinisha kufilisiwa kwako kwa kubambikiwa kodi kwenye biashara zako, huna uhakika kama utaishi na kufa kwa mapenzi ya Mungu, wewe na ndugu zako kuandamwa na vyombo vya dola.

Nani anayeyatamani haya? Pia inajulikana kuwa CCM inafanya jitihada wakati wote kupandikiza mamluki kwenye uongozi wa CHADEMA ili kuweza kuiua. Kwa ukweli huo, pale unapokuwa na wachache waliojitolea, ambao mna uhakika siyo mamluki, mna uhakika hawarubuniwi wala kusaliti chama, kwa nini wasibembelezwe kuendelea kuwa viongozi kuliko mkaingiza mamluki au wanaorubuniwa na ikawa ndiyo mwisho wa chama?

Kwa sasa kuna watu ambao kwa vyovyote mtu unaweza kusema ndio waliojitolea, iwe mvua iwe jua, yawe mafuriko au tetemeko la ardhi, wanasimama na CHADEMA katika misingi yake ya kutetea na kupigania haki. Na hawa sio wengi. Ngazi za juu:

1. Freeman Mbowe
2. Tundu Lisu
3. John Mnyika
4. Mchungaji Msigwa
5. Mbilinyi Sugu
6. Heche

Katikati na chini, wapo, tena siyo wachache, lakini wanafahamika kwa majina.

CHADEMA, hata siku moja isibebe hoja za wanafiki eti kwa nini chama kina baadhi ya majina kwenye nafasi za uongozi kwa muda mrefu. Lengo la hawa watu, kukiwepo na huo upenyo wa kubadilisha viongozi mara kwa mara, kuna siku wataingiza watu wao waiue CHADEMA. Fikiria kama CHADEMA ingekabidhiwa kwa Mambe, Mzee Lowasa, Halima Mdee au Sumaye, hivi ingekuwepo bado?

Kwenye ulaji tuwekeane ukomo. Kwenye kujitolea, na kwenye kupigania haki hakuna ukomo, japo kiongozi anaweza kuamua kupumzika au wanachama wakaamua kupumzisha. Jambo la muhimu ni kuhakikisha wakati wote chama kipo kwenye uongozi wa mtu jasiri, mkweli, asiye mwoga na aliyejitoa nafsi yake kwaajili ya anachokipigania.
we ndiyo ng'ombe kabisa, nani anajitolea Mbowe? Mtu ametumbua na bado anatumbua maruzuku ya chadema miaka yote hiyo kwa mabilioni. Mbowe ataendelea kuwadanganya mazuzu yake aliyoyazoea siyo watanzania wenye akili. Km ni kujitolea kwanini kila anayejaribu kugombea hiyo nafasi ama auawe km Chacha wangwe au afukuzwe chama km kin Zitto Kabwe au afanyiwe km Sumaye. CHADEMA ni chama cha watu wachache na ni kampuni yao wengine wanatumiwa km mazezeta. Kile chama ni kampuni ya wachaga ole wako ujaribu nafasi ya Mbowe watakung'oa macho km siyo meno. Hakuna cha demokrasia ndani ya kile chama wala hakuna habari ya maendeleo.
 
Swali langu ni moja tu kwa hao watu, kama wanakerwa kwa kiongozi mmoja kukaa madarakani muda mrefu, hata kama anafanya hivyo kwa kupigiwa kura na wanachama wake ...

Kwanini wao wasimtafute wanaempenda, wanaeona anakubalika, wakamshindanishe na yule anaewakera kwa kukaa muda mrefu, ili wamshinde wapate kiongozi mpya?

Kwangu, kulia kila siku kwanini kuongozi anakaa madarakani muda mrefu, kama vile kiongozi huyo anajiweka mwenyewe madarakani, tena mpaka wanafikia hatua ya kumuita dikteta, huu kwangu ni ujinga wa kiwango cha SGR.
 
Hata ccm Hakuna ukomo wa Nafasi ya Mwenyekiti na viongozi wengine.

Kwasasa wanabadili Shana kwasababu wanakuwa na raus mpya
 
Kuwekeana mipaka kwenye ulaji ni jambo la hekima, lakini kuwekeana ukomo kwenye kujitolea ni ama kukosa uelewa, kukosa maarifa, au anayetaka hilo liwepo ni mnafiki, ana dhamira mbaya.

Kuweka ukomo wa muda wa uongozi ndani ya CCM na ndani ya Serikali, ni jambo la muhimu sana. Uongozi ndani ya CCM na ndani ya Serikali, ni ulaji. Kwenye ulaji ni lazima na ni muhimu kuwekeana ukomo. La sivyo waliokaa kuizunguka meza iliyojaa vyakula vya kila aina hawataondoka.

Uongozi ndani ya vyama vya upinzani ni mateso, ni kujitolea, ni kujitoa sadaka na wakati fulani ni kuwa tayari kufa kwaajili ya kutetea kile unachokiamini. Ni wangapi wanaweza kupigania kwenda jela? Ni wangapi wanaweza kupigania kushambuliwa kwa risasi? Ni wangapi wanaweza kupigania kufilisiwa?

Huwezi kuweka ukomo wa mtu kujitolea. Huwezi kuweka ukomo wa mtu kujitolea maisha yake kwaajili ya watu wengine. Kwenye kujitolea, mara nyingi watu huishia kumbembeleza mtu fulani awe kiongozi wao, au aliyekuwa kiongozi aendelee kuwa kiongozi.

Kuna watu, kwa unafiki tu, wanataka kulinganisha uongozi ndani ya chama cha upinzani CHADEMA ni sawa na uongozi ndani ya CCM, chama dola, chama tawala na chama maslahi.

Ukiwa kiongozi ndani ya CCM tayari umevaa ngao ya kutoshtakiwa hata ukitenda uovu. Tayari umejivika ngao ya kutosumbuliwa na vyombo vya dola, tayari umejivika ngao ya kunyenyekewa na viongozi wa Serikali, tayari umetengeneza mazingira wezeshi ya biashara zako kukua, umepata ticket hata ya kukwepa kodi na usisumbuliwe na TRA, tayari umekaa njiapanda ya kukusanya hongo za wanaogombea uongozi.

Kwa upande mwingine, ukiwa kiongozi wa CHADEMA, umekata ticket ya kubambikiwa kesi, kupelekwa mahakamani na kunyimwa dhamana, umeidhinisha kufilisiwa kwako kwa kubambikiwa kodi kwenye biashara zako, huna uhakika kama utaishi na kufa kwa mapenzi ya Mungu, wewe na ndugu zako kuandamwa na vyombo vya dola.

Nani anayeyatamani haya? Pia inajulikana kuwa CCM inafanya jitihada wakati wote kupandikiza mamluki kwenye uongozi wa CHADEMA ili kuweza kuiua. Kwa ukweli huo, pale unapokuwa na wachache waliojitolea, ambao mna uhakika siyo mamluki, mna uhakika hawarubuniwi wala kusaliti chama, kwa nini wasibembelezwe kuendelea kuwa viongozi kuliko mkaingiza mamluki au wanaorubuniwa na ikawa ndiyo mwisho wa chama?

Kwa sasa kuna watu ambao kwa vyovyote mtu unaweza kusema ndio waliojitolea, iwe mvua iwe jua, yawe mafuriko au tetemeko la ardhi, wanasimama na CHADEMA katika misingi yake ya kutetea na kupigania haki. Na hawa sio wengi. Ngazi za juu:

1. Freeman Mbowe
2. Tundu Lisu
3. John Mnyika
4. Mchungaji Msigwa
5. Mbilinyi Sugu
6. Heche

Katikati na chini, wapo, tena siyo wachache, lakini wanafahamika kwa majina.

CHADEMA, hata siku moja isibebe hoja za wanafiki eti kwa nini chama kina baadhi ya majina kwenye nafasi za uongozi kwa muda mrefu. Lengo la hawa watu, kukiwepo na huo upenyo wa kubadilisha viongozi mara kwa mara, kuna siku wataingiza watu wao waiue CHADEMA. Fikiria kama CHADEMA ingekabidhiwa kwa Mambe, Mzee Lowasa, Halima Mdee au Sumaye, hivi ingekuwepo bado?

Kwenye ulaji tuwekeane ukomo. Kwenye kujitolea, na kwenye kupigania haki hakuna ukomo, japo kiongozi anaweza kuamua kupumzika au wanachama wakaamua kupumzisha. Jambo la muhimu ni kuhakikisha wakati wote chama kipo kwenye uongozi wa mtu jasiri, mkweli, asiye mwoga na aliyejitoa nafsi yake kwaajili ya anachokipigania.
Kwahiyo kila anayejitolea ni lazima asing'atuke?

Hao wanaotufadhili vyamani unawaweka kwenye nafasi gani? Tuache kuchochea UPUMBAVU kwa kigezo cha kuvunja haki ya wengine kuongoza!! Ok sasa tukubali kwamba Mbowe amejitolea sana, Kwahiyo atakuwa Mwenyekiti mpaka lini? Kifo kitakapomchukua? Lini atakufa?

KENGE
 
Kuwekeana mipaka kwenye ulaji ni jambo la hekima, lakini kuwekeana ukomo kwenye kujitolea ni ama kukosa uelewa, kukosa maarifa, au anayetaka hilo liwepo ni mnafiki, ana dhamira mbaya.

Kuweka ukomo wa muda wa uongozi ndani ya CCM na ndani ya Serikali, ni jambo la muhimu sana. Uongozi ndani ya CCM na ndani ya Serikali, ni ulaji. Kwenye ulaji ni lazima na ni muhimu kuwekeana ukomo. La sivyo waliokaa kuizunguka meza iliyojaa vyakula vya kila aina hawataondoka.

Uongozi ndani ya vyama vya upinzani ni mateso, ni kujitolea, ni kujitoa sadaka na wakati fulani ni kuwa tayari kufa kwaajili ya kutetea kile unachokiamini. Ni wangapi wanaweza kupigania kwenda jela? Ni wangapi wanaweza kupigania kushambuliwa kwa risasi? Ni wangapi wanaweza kupigania kufilisiwa?

Huwezi kuweka ukomo wa mtu kujitolea. Huwezi kuweka ukomo wa mtu kujitolea maisha yake kwaajili ya watu wengine. Kwenye kujitolea, mara nyingi watu huishia kumbembeleza mtu fulani awe kiongozi wao, au aliyekuwa kiongozi aendelee kuwa kiongozi.

Kuna watu, kwa unafiki tu, wanataka kulinganisha uongozi ndani ya chama cha upinzani CHADEMA ni sawa na uongozi ndani ya CCM, chama dola, chama tawala na chama maslahi.

Ukiwa kiongozi ndani ya CCM tayari umevaa ngao ya kutoshtakiwa hata ukitenda uovu. Tayari umejivika ngao ya kutosumbuliwa na vyombo vya dola, tayari umejivika ngao ya kunyenyekewa na viongozi wa Serikali, tayari umetengeneza mazingira wezeshi ya biashara zako kukua, umepata ticket hata ya kukwepa kodi na usisumbuliwe na TRA, tayari umekaa njiapanda ya kukusanya hongo za wanaogombea uongozi.

Kwa upande mwingine, ukiwa kiongozi wa CHADEMA, umekata ticket ya kubambikiwa kesi, kupelekwa mahakamani na kunyimwa dhamana, umeidhinisha kufilisiwa kwako kwa kubambikiwa kodi kwenye biashara zako, huna uhakika kama utaishi na kufa kwa mapenzi ya Mungu, wewe na ndugu zako kuandamwa na vyombo vya dola.

Nani anayeyatamani haya? Pia inajulikana kuwa CCM inafanya jitihada wakati wote kupandikiza mamluki kwenye uongozi wa CHADEMA ili kuweza kuiua. Kwa ukweli huo, pale unapokuwa na wachache waliojitolea, ambao mna uhakika siyo mamluki, mna uhakika hawarubuniwi wala kusaliti chama, kwa nini wasibembelezwe kuendelea kuwa viongozi kuliko mkaingiza mamluki au wanaorubuniwa na ikawa ndiyo mwisho wa chama?

Kwa sasa kuna watu ambao kwa vyovyote mtu unaweza kusema ndio waliojitolea, iwe mvua iwe jua, yawe mafuriko au tetemeko la ardhi, wanasimama na CHADEMA katika misingi yake ya kutetea na kupigania haki. Na hawa sio wengi. Ngazi za juu:

1. Freeman Mbowe
2. Tundu Lisu
3. John Mnyika
4. Mchungaji Msigwa
5. Mbilinyi Sugu
6. Heche

Katikati na chini, wapo, tena siyo wachache, lakini wanafahamika kwa majina.

CHADEMA, hata siku moja isibebe hoja za wanafiki eti kwa nini chama kina baadhi ya majina kwenye nafasi za uongozi kwa muda mrefu. Lengo la hawa watu, kukiwepo na huo upenyo wa kubadilisha viongozi mara kwa mara, kuna siku wataingiza watu wao waiue CHADEMA. Fikiria kama CHADEMA ingekabidhiwa kwa Mambe, Mzee Lowasa, Halima Mdee au Sumaye, hivi ingekuwepo bado?

Kwenye ulaji tuwekeane ukomo. Kwenye kujitolea, na kwenye kupigania haki hakuna ukomo, japo kiongozi anaweza kuamua kupumzika au wanachama wakaamua kupumzisha. Jambo la muhimu ni kuhakikisha wakati wote chama kipo kwenye uongozi wa mtu jasiri, mkweli, asiye mwoga na aliyejitoa nafsi yake kwaajili ya anachokipigania.
Kwenye orodha ya ambao kama wangeongoza CHADEMA kingekuwa kimeshakufa umewasahau Wilboard Slaa na Zitto, sellouts.
Mmoja aligeuka akawa chawa wa Mwendakuzimu mwingine ni chawa wa kudumu wa Msoga gang.
 
Kwahiyo kila anayejitolea ni lazima asing'atuke?

Hao wanaotufadhili vyamani unawaweka kwenye nafasi gani? Tuache kuchochea UPUMBAVU kwa kigezo cha kuvunja haki ya wengine kuongoza!! Ok sasa tukubali kwamba Mbowe amejitolea sana, Kwahiyo atakuwa Mwenyekiti mpaka lini? Kifo kitakapomchukua? Lini atakufa?

KENGE
Soma vizuri mada. Mbona kuna sehemu imewekwa wazi kuwa anaweza kuacha kuongoza au kuachishwa na wanachama. Kutokuwepo ukomo haimaanishi mtu ataongoza milele bali kunakuwa hakuna sheria inayomzuia mtu kugombea kwa sababu amekwishakuwa kwenye uongpzi kwa muda fulani.
 
Kuwekeana mipaka kwenye ulaji ni jambo la hekima, lakini kuwekeana ukomo kwenye kujitolea ni ama kukosa uelewa, kukosa maarifa, au anayetaka hilo liwepo ni mnafiki, ana dhamira mbaya.

Kuweka ukomo wa muda wa uongozi ndani ya CCM na ndani ya Serikali, ni jambo la muhimu sana. Uongozi ndani ya CCM na ndani ya Serikali, ni ulaji. Kwenye ulaji ni lazima na ni muhimu kuwekeana ukomo. La sivyo waliokaa kuizunguka meza iliyojaa vyakula vya kila aina hawataondoka.

Uongozi ndani ya vyama vya upinzani ni mateso, ni kujitolea, ni kujitoa sadaka na wakati fulani ni kuwa tayari kufa kwaajili ya kutetea kile unachokiamini. Ni wangapi wanaweza kupigania kwenda jela? Ni wangapi wanaweza kupigania kushambuliwa kwa risasi? Ni wangapi wanaweza kupigania kufilisiwa?

Huwezi kuweka ukomo wa mtu kujitolea. Huwezi kuweka ukomo wa mtu kujitolea maisha yake kwaajili ya watu wengine. Kwenye kujitolea, mara nyingi watu huishia kumbembeleza mtu fulani awe kiongozi wao, au aliyekuwa kiongozi aendelee kuwa kiongozi.

Kuna watu, kwa unafiki tu, wanataka kulinganisha uongozi ndani ya chama cha upinzani CHADEMA ni sawa na uongozi ndani ya CCM, chama dola, chama tawala na chama maslahi.

Ukiwa kiongozi ndani ya CCM tayari umevaa ngao ya kutoshtakiwa hata ukitenda uovu. Tayari umejivika ngao ya kutosumbuliwa na vyombo vya dola, tayari umejivika ngao ya kunyenyekewa na viongozi wa Serikali, tayari umetengeneza mazingira wezeshi ya biashara zako kukua, umepata ticket hata ya kukwepa kodi na usisumbuliwe na TRA, tayari umekaa njiapanda ya kukusanya hongo za wanaogombea uongozi.

Kwa upande mwingine, ukiwa kiongozi wa CHADEMA, umekata ticket ya kubambikiwa kesi, kupelekwa mahakamani na kunyimwa dhamana, umeidhinisha kufilisiwa kwako kwa kubambikiwa kodi kwenye biashara zako, huna uhakika kama utaishi na kufa kwa mapenzi ya Mungu, wewe na ndugu zako kuandamwa na vyombo vya dola.

Nani anayeyatamani haya? Pia inajulikana kuwa CCM inafanya jitihada wakati wote kupandikiza mamluki kwenye uongozi wa CHADEMA ili kuweza kuiua. Kwa ukweli huo, pale unapokuwa na wachache waliojitolea, ambao mna uhakika siyo mamluki, mna uhakika hawarubuniwi wala kusaliti chama, kwa nini wasibembelezwe kuendelea kuwa viongozi kuliko mkaingiza mamluki au wanaorubuniwa na ikawa ndiyo mwisho wa chama?

Kwa sasa kuna watu ambao kwa vyovyote mtu unaweza kusema ndio waliojitolea, iwe mvua iwe jua, yawe mafuriko au tetemeko la ardhi, wanasimama na CHADEMA katika misingi yake ya kutetea na kupigania haki. Na hawa sio wengi. Ngazi za juu:

1. Freeman Mbowe
2. Tundu Lisu
3. John Mnyika
4. Mchungaji Msigwa
5. Mbilinyi Sugu
6. Heche

Katikati na chini, wapo, tena siyo wachache, lakini wanafahamika kwa majina.

CHADEMA, hata siku moja isibebe hoja za wanafiki eti kwa nini chama kina baadhi ya majina kwenye nafasi za uongozi kwa muda mrefu. Lengo la hawa watu, kukiwepo na huo upenyo wa kubadilisha viongozi mara kwa mara, kuna siku wataingiza watu wao waiue CHADEMA. Fikiria kama CHADEMA ingekabidhiwa kwa Mambe, Mzee Lowasa, Halima Mdee au Sumaye, hivi ingekuwepo bado?

Kwenye ulaji tuwekeane ukomo. Kwenye kujitolea, na kwenye kupigania haki hakuna ukomo, japo kiongozi anaweza kuamua kupumzika au wanachama wakaamua kupumzisha. Jambo la muhimu ni kuhakikisha wakati wote chama kipo kwenye uongozi wa mtu jasiri, mkweli, asiye mwoga na aliyejitoa nafsi yake kwaajili ya anachokipigania.
Sasahivi naona kila mwana ccm anakimbilia kufungua uz kibubusa, kwasababu wanaona Lissu amewapa kitu cha kujifariji

Mngekuwa na akili mngefanya hivi, kwanza mlitakiwa muonyeshe nyinyi ni welevu kwa kutuwekea katiba ya chama cha CCM kuonyesha ukomo wa nafasi za uongozi ndani ya chama.

Maccm nawauliza swali hili, kwamfano mnapoteza uchaguzi wa 2025 na miaka ishirini ijayo, mnakuwa mnapoteza uchaguzi mfululizo, je m/kiti wenu mtambadilishaje? Mtuonyeshe hapa kwenye katiba yunu tuione
 
NAFIKILI NIMEIFUNGA HII TOPIC YA UKOMO WA UONGOZI NDANI YA VYAMA. MACCM MSIFUNGUE TENA MATREADS MENGI YANAYOZUNGUMZIA KITU KIMOJA KIBUBUSA
 
Kuwekeana mipaka kwenye ulaji ni jambo la hekima, lakini kuwekeana ukomo kwenye kujitolea ni ama kukosa uelewa, kukosa maarifa, au anayetaka hilo liwepo ni mnafiki, ana dhamira mbaya.

Kuweka ukomo wa muda wa uongozi ndani ya CCM na ndani ya Serikali, ni jambo la muhimu sana. Uongozi ndani ya CCM na ndani ya Serikali, ni ulaji. Kwenye ulaji ni lazima na ni muhimu kuwekeana ukomo. La sivyo waliokaa kuizunguka meza iliyojaa vyakula vya kila aina hawataondoka.

Uongozi ndani ya vyama vya upinzani ni mateso, ni kujitolea, ni kujitoa sadaka na wakati fulani ni kuwa tayari kufa kwaajili ya kutetea kile unachokiamini. Ni wangapi wanaweza kupigania kwenda jela? Ni wangapi wanaweza kupigania kushambuliwa kwa risasi? Ni wangapi wanaweza kupigania kufilisiwa?

Huwezi kuweka ukomo wa mtu kujitolea. Huwezi kuweka ukomo wa mtu kujitolea maisha yake kwaajili ya watu wengine. Kwenye kujitolea, mara nyingi watu huishia kumbembeleza mtu fulani awe kiongozi wao, au aliyekuwa kiongozi aendelee kuwa kiongozi.

Kuna watu, kwa unafiki tu, wanataka kulinganisha uongozi ndani ya chama cha upinzani CHADEMA ni sawa na uongozi ndani ya CCM, chama dola, chama tawala na chama maslahi.

Ukiwa kiongozi ndani ya CCM tayari umevaa ngao ya kutoshtakiwa hata ukitenda uovu. Tayari umejivika ngao ya kutosumbuliwa na vyombo vya dola, tayari umejivika ngao ya kunyenyekewa na viongozi wa Serikali, tayari umetengeneza mazingira wezeshi ya biashara zako kukua, umepata ticket hata ya kukwepa kodi na usisumbuliwe na TRA, tayari umekaa njiapanda ya kukusanya hongo za wanaogombea uongozi.

Kwa upande mwingine, ukiwa kiongozi wa CHADEMA, umekata ticket ya kubambikiwa kesi, kupelekwa mahakamani na kunyimwa dhamana, umeidhinisha kufilisiwa kwako kwa kubambikiwa kodi kwenye biashara zako, huna uhakika kama utaishi na kufa kwa mapenzi ya Mungu, wewe na ndugu zako kuandamwa na vyombo vya dola.

Nani anayeyatamani haya? Pia inajulikana kuwa CCM inafanya jitihada wakati wote kupandikiza mamluki kwenye uongozi wa CHADEMA ili kuweza kuiua. Kwa ukweli huo, pale unapokuwa na wachache waliojitolea, ambao mna uhakika siyo mamluki, mna uhakika hawarubuniwi wala kusaliti chama, kwa nini wasibembelezwe kuendelea kuwa viongozi kuliko mkaingiza mamluki au wanaorubuniwa na ikawa ndiyo mwisho wa chama?

Kwa sasa kuna watu ambao kwa vyovyote mtu unaweza kusema ndio waliojitolea, iwe mvua iwe jua, yawe mafuriko au tetemeko la ardhi, wanasimama na CHADEMA katika misingi yake ya kutetea na kupigania haki. Na hawa sio wengi. Ngazi za juu:

1. Freeman Mbowe
2. Tundu Lisu
3. John Mnyika
4. Mchungaji Msigwa
5. Mbilinyi Sugu
6. Heche

Katikati na chini, wapo, tena siyo wachache, lakini wanafahamika kwa majina.

CHADEMA, hata siku moja isibebe hoja za wanafiki eti kwa nini chama kina baadhi ya majina kwenye nafasi za uongozi kwa muda mrefu. Lengo la hawa watu, kukiwepo na huo upenyo wa kubadilisha viongozi mara kwa mara, kuna siku wataingiza watu wao waiue CHADEMA. Fikiria kama CHADEMA ingekabidhiwa kwa Mambe, Mzee Lowasa, Halima Mdee au Sumaye, hivi ingekuwepo bado?

Kwenye ulaji tuwekeane ukomo. Kwenye kujitolea, na kwenye kupigania haki hakuna ukomo, japo kiongozi anaweza kuamua kupumzika au wanachama wakaamua kupumzisha. Jambo la muhimu ni kuhakikisha wakati wote chama kipo kwenye uongozi wa mtu jasiri, mkweli, asiye mwoga na aliyejitoa nafsi yake kwaajili ya anachokipigania.
Umenena Kweli kabisa halafu cha ajabu anayelalamika ni yule mpinzani wako unayetaka kumg’oa madarakani ndio anayehoji kwanini huyu hajiuzulu ?? Ukiona hivyo ujue wanamuogopa huyo kiongozi !!
 
Umenena Kweli kabisa halafu cha ajabu anayelalamika ni yule mpinzani wako unayetaka kumg’oa madarakani ndio anayehoji kwanini huyu hajiuzulu ?? Ukiona hivyo ujue wanamuogopa huyo kiongozi !!
Sahihi kabisa. Wameona hahongeko. Wanataka aje mwingine, wakitegemea labda atahongeka.
 
Kuwekeana mipaka kwenye ulaji ni jambo la hekima, lakini kuwekeana ukomo kwenye kujitolea ni ama kukosa uelewa, kukosa maarifa, au anayetaka hilo liwepo ni mnafiki, ana dhamira mbaya.

Kuweka ukomo wa muda wa uongozi ndani ya CCM na ndani ya Serikali, ni jambo la muhimu sana. Uongozi ndani ya CCM na ndani ya Serikali, ni ulaji. Kwenye ulaji ni lazima na ni muhimu kuwekeana ukomo. La sivyo waliokaa kuizunguka meza iliyojaa vyakula vya kila aina hawataondoka.

Uongozi ndani ya vyama vya upinzani ni mateso, ni kujitolea, ni kujitoa sadaka na wakati fulani ni kuwa tayari kufa kwaajili ya kutetea kile unachokiamini. Ni wangapi wanaweza kupigania kwenda jela? Ni wangapi wanaweza kupigania kushambuliwa kwa risasi? Ni wangapi wanaweza kupigania kufilisiwa?

Huwezi kuweka ukomo wa mtu kujitolea. Huwezi kuweka ukomo wa mtu kujitolea maisha yake kwaajili ya watu wengine. Kwenye kujitolea, mara nyingi watu huishia kumbembeleza mtu fulani awe kiongozi wao, au aliyekuwa kiongozi aendelee kuwa kiongozi.

Kuna watu, kwa unafiki tu, wanataka kulinganisha uongozi ndani ya chama cha upinzani CHADEMA ni sawa na uongozi ndani ya CCM, chama dola, chama tawala na chama maslahi.

Ukiwa kiongozi ndani ya CCM tayari umevaa ngao ya kutoshtakiwa hata ukitenda uovu. Tayari umejivika ngao ya kutosumbuliwa na vyombo vya dola, tayari umejivika ngao ya kunyenyekewa na viongozi wa Serikali, tayari umetengeneza mazingira wezeshi ya biashara zako kukua, umepata ticket hata ya kukwepa kodi na usisumbuliwe na TRA, tayari umekaa njiapanda ya kukusanya hongo za wanaogombea uongozi.

Kwa upande mwingine, ukiwa kiongozi wa CHADEMA, umekata ticket ya kubambikiwa kesi, kupelekwa mahakamani na kunyimwa dhamana, umeidhinisha kufilisiwa kwako kwa kubambikiwa kodi kwenye biashara zako, huna uhakika kama utaishi na kufa kwa mapenzi ya Mungu, wewe na ndugu zako kuandamwa na vyombo vya dola.

Nani anayeyatamani haya? Pia inajulikana kuwa CCM inafanya jitihada wakati wote kupandikiza mamluki kwenye uongozi wa CHADEMA ili kuweza kuiua. Kwa ukweli huo, pale unapokuwa na wachache waliojitolea, ambao mna uhakika siyo mamluki, mna uhakika hawarubuniwi wala kusaliti chama, kwa nini wasibembelezwe kuendelea kuwa viongozi kuliko mkaingiza mamluki au wanaorubuniwa na ikawa ndiyo mwisho wa chama?

Kwa sasa kuna watu ambao kwa vyovyote mtu unaweza kusema ndio waliojitolea, iwe mvua iwe jua, yawe mafuriko au tetemeko la ardhi, wanasimama na CHADEMA katika misingi yake ya kutetea na kupigania haki. Na hawa sio wengi. Ngazi za juu:

1. Freeman Mbowe
2. Tundu Lisu
3. John Mnyika
4. Mchungaji Msigwa
5. Mbilinyi Sugu
6. Heche

Katikati na chini, wapo, tena siyo wachache, lakini wanafahamika kwa majina.

CHADEMA, hata siku moja isibebe hoja za wanafiki eti kwa nini chama kina baadhi ya majina kwenye nafasi za uongozi kwa muda mrefu. Lengo la hawa watu, kukiwepo na huo upenyo wa kubadilisha viongozi mara kwa mara, kuna siku wataingiza watu wao waiue CHADEMA. Fikiria kama CHADEMA ingekabidhiwa kwa Mambe, Mzee Lowasa, Halima Mdee au Sumaye, hivi ingekuwepo bado?

Kwenye ulaji tuwekeane ukomo. Kwenye kujitolea, na kwenye kupigania haki hakuna ukomo, japo kiongozi anaweza kuamua kupumzika au wanachama wakaamua kupumzisha. Jambo la muhimu ni kuhakikisha wakati wote chama kipo kwenye uongozi wa mtu jasiri, mkweli, asiye mwoga na aliyejitoa nafsi yake kwaajili ya anachokipigania.
Very well written and presented 🔥🤛👏
 
Kuwekeana mipaka kwenye ulaji ni jambo la hekima, lakini kuwekeana ukomo kwenye kujitolea ni ama kukosa uelewa, kukosa maarifa, au anayetaka hilo liwepo ni mnafiki, ana dhamira mbaya.

Kuweka ukomo wa muda wa uongozi ndani ya CCM na ndani ya Serikali, ni jambo la muhimu sana. Uongozi ndani ya CCM na ndani ya Serikali, ni ulaji. Kwenye ulaji ni lazima na ni muhimu kuwekeana ukomo. La sivyo waliokaa kuizunguka meza iliyojaa vyakula vya kila aina hawataondoka.

Uongozi ndani ya vyama vya upinzani ni mateso, ni kujitolea, ni kujitoa sadaka na wakati fulani ni kuwa tayari kufa kwaajili ya kutetea kile unachokiamini. Ni wangapi wanaweza kupigania kwenda jela? Ni wangapi wanaweza kupigania kushambuliwa kwa risasi? Ni wangapi wanaweza kupigania kufilisiwa?

Huwezi kuweka ukomo wa mtu kujitolea. Huwezi kuweka ukomo wa mtu kujitolea maisha yake kwaajili ya watu wengine. Kwenye kujitolea, mara nyingi watu huishia kumbembeleza mtu fulani awe kiongozi wao, au aliyekuwa kiongozi aendelee kuwa kiongozi.

Kuna watu, kwa unafiki tu, wanataka kulinganisha uongozi ndani ya chama cha upinzani CHADEMA ni sawa na uongozi ndani ya CCM, chama dola, chama tawala na chama maslahi.

Ukiwa kiongozi ndani ya CCM tayari umevaa ngao ya kutoshtakiwa hata ukitenda uovu. Tayari umejivika ngao ya kutosumbuliwa na vyombo vya dola, tayari umejivika ngao ya kunyenyekewa na viongozi wa Serikali, tayari umetengeneza mazingira wezeshi ya biashara zako kukua, umepata ticket hata ya kukwepa kodi na usisumbuliwe na TRA, tayari umekaa njiapanda ya kukusanya hongo za wanaogombea uongozi.

Kwa upande mwingine, ukiwa kiongozi wa CHADEMA, umekata ticket ya kubambikiwa kesi, kupelekwa mahakamani na kunyimwa dhamana, umeidhinisha kufilisiwa kwako kwa kubambikiwa kodi kwenye biashara zako, huna uhakika kama utaishi na kufa kwa mapenzi ya Mungu, wewe na ndugu zako kuandamwa na vyombo vya dola.

Nani anayeyatamani haya? Pia inajulikana kuwa CCM inafanya jitihada wakati wote kupandikiza mamluki kwenye uongozi wa CHADEMA ili kuweza kuiua. Kwa ukweli huo, pale unapokuwa na wachache waliojitolea, ambao mna uhakika siyo mamluki, mna uhakika hawarubuniwi wala kusaliti chama, kwa nini wasibembelezwe kuendelea kuwa viongozi kuliko mkaingiza mamluki au wanaorubuniwa na ikawa ndiyo mwisho wa chama?

Kwa sasa kuna watu ambao kwa vyovyote mtu unaweza kusema ndio waliojitolea, iwe mvua iwe jua, yawe mafuriko au tetemeko la ardhi, wanasimama na CHADEMA katika misingi yake ya kutetea na kupigania haki. Na hawa sio wengi. Ngazi za juu:

1. Freeman Mbowe
2. Tundu Lisu
3. John Mnyika
4. Mchungaji Msigwa
5. Mbilinyi Sugu
6. Heche

Katikati na chini, wapo, tena siyo wachache, lakini wanafahamika kwa majina.

CHADEMA, hata siku moja isibebe hoja za wanafiki eti kwa nini chama kina baadhi ya majina kwenye nafasi za uongozi kwa muda mrefu. Lengo la hawa watu, kukiwepo na huo upenyo wa kubadilisha viongozi mara kwa mara, kuna siku wataingiza watu wao waiue CHADEMA. Fikiria kama CHADEMA ingekabidhiwa kwa Mambe, Mzee Lowasa, Halima Mdee au Sumaye, hivi ingekuwepo bado?

Kwenye ulaji tuwekeane ukomo. Kwenye kujitolea, na kwenye kupigania haki hakuna ukomo, japo kiongozi anaweza kuamua kupumzika au wanachama wakaamua kupumzisha. Jambo la muhimu ni kuhakikisha wakati wote chama kipo kwenye uongozi wa mtu jasiri, mkweli, asiye mwoga na aliyejitoa nafsi yake kwaajili ya anachokipigania.
Hii hoja ingekuwa na nia njema ingeanzia CUF ambapo mwenyekiti wake alijiuzulu ghafla na baada ya muda mrefu bila hata chembe ya akarudishwa na kwa mabavu na dola. Hicho ndicho kile cha unafiki na hujuma ya dola. Au mbona haizungumziwi TLP, au vile vyama vya akina Cheyo, Rungwe, Hamad Rashid, nk? Hivyo havizungumziwi kwa sababu ni vyama shikizi, vyama vinavyotumiwa kuhadaa raia na dunia kuwa nchi yetu inayo demokrasia ya vyama vingi na vinavyotumiwa pia kudhoofisha vyama makini. Wakati wa kampeni za uchaguzi wa 2020 vyama hivi shikizi kupitia kilichoitwa baraza la vyama vilitumiwa kudhoofisha kampeni ya washindani wa kweli ikiwa ni pamoja na kutoa kusimamisha kampeni bila kuwasikiliza wahusika. Hivi karibuni pia tulishuhudia jitihada za kupitia kikosi kazi kujaribu kulipatia baraza la vyama madaraka makubwa ya kuvidhibiti vyama vya siasa! Katika wazee wote wa nchi hii wanaopaswa kukemea uharamia wa kisiasa unaoendelea ni Mzee Warioba tu peke yake aliekemea utaratibu batili wa kutumia mkusanyiko wa vyama vinavyoshindana kudhibitiana vyenyewe. Alifanya hivyo kwa kujua kuwa vyama shikizi kwa idadi yao kubwa vimewekwa pale na watawala kwa kazi ya kutumiwa kudhibiti chama makini cha upinzani.
 
Kuwekeana mipaka kwenye ulaji ni jambo la hekima, lakini kuwekeana ukomo kwenye kujitolea ni ama kukosa uelewa, kukosa maarifa, au anayetaka hilo liwepo ni mnafiki, ana dhamira mbaya.

Kuweka ukomo wa muda wa uongozi ndani ya CCM na ndani ya Serikali, ni jambo la muhimu sana. Uongozi ndani ya CCM na ndani ya Serikali, ni ulaji. Kwenye ulaji ni lazima na ni muhimu kuwekeana ukomo. La sivyo waliokaa kuizunguka meza iliyojaa vyakula vya kila aina hawataondoka.

Uongozi ndani ya vyama vya upinzani ni mateso, ni kujitolea, ni kujitoa sadaka na wakati fulani ni kuwa tayari kufa kwaajili ya kutetea kile unachokiamini. Ni wangapi wanaweza kupigania kwenda jela? Ni wangapi wanaweza kupigania kushambuliwa kwa risasi? Ni wangapi wanaweza kupigania kufilisiwa?

Huwezi kuweka ukomo wa mtu kujitolea. Huwezi kuweka ukomo wa mtu kujitolea maisha yake kwaajili ya watu wengine. Kwenye kujitolea, mara nyingi watu huishia kumbembeleza mtu fulani awe kiongozi wao, au aliyekuwa kiongozi aendelee kuwa kiongozi.

Kuna watu, kwa unafiki tu, wanataka kulinganisha uongozi ndani ya chama cha upinzani CHADEMA ni sawa na uongozi ndani ya CCM, chama dola, chama tawala na chama maslahi.

Ukiwa kiongozi ndani ya CCM tayari umevaa ngao ya kutoshtakiwa hata ukitenda uovu. Tayari umejivika ngao ya kutosumbuliwa na vyombo vya dola, tayari umejivika ngao ya kunyenyekewa na viongozi wa Serikali, tayari umetengeneza mazingira wezeshi ya biashara zako kukua, umepata ticket hata ya kukwepa kodi na usisumbuliwe na TRA, tayari umekaa njiapanda ya kukusanya hongo za wanaogombea uongozi.

Kwa upande mwingine, ukiwa kiongozi wa CHADEMA, umekata ticket ya kubambikiwa kesi, kupelekwa mahakamani na kunyimwa dhamana, umeidhinisha kufilisiwa kwako kwa kubambikiwa kodi kwenye biashara zako, huna uhakika kama utaishi na kufa kwa mapenzi ya Mungu, wewe na ndugu zako kuandamwa na vyombo vya dola.

Nani anayeyatamani haya? Pia inajulikana kuwa CCM inafanya jitihada wakati wote kupandikiza mamluki kwenye uongozi wa CHADEMA ili kuweza kuiua. Kwa ukweli huo, pale unapokuwa na wachache waliojitolea, ambao mna uhakika siyo mamluki, mna uhakika hawarubuniwi wala kusaliti chama, kwa nini wasibembelezwe kuendelea kuwa viongozi kuliko mkaingiza mamluki au wanaorubuniwa na ikawa ndiyo mwisho wa chama?

Kwa sasa kuna watu ambao kwa vyovyote mtu unaweza kusema ndio waliojitolea, iwe mvua iwe jua, yawe mafuriko au tetemeko la ardhi, wanasimama na CHADEMA katika misingi yake ya kutetea na kupigania haki. Na hawa sio wengi. Ngazi za juu:

1. Freeman Mbowe
2. Tundu Lisu
3. John Mnyika
4. Mchungaji Msigwa
5. Mbilinyi Sugu
6. Heche

Katikati na chini, wapo, tena siyo wachache, lakini wanafahamika kwa majina.

CHADEMA, hata siku moja isibebe hoja za wanafiki eti kwa nini chama kina baadhi ya majina kwenye nafasi za uongozi kwa muda mrefu. Lengo la hawa watu, kukiwepo na huo upenyo wa kubadilisha viongozi mara kwa mara, kuna siku wataingiza watu wao waiue CHADEMA. Fikiria kama CHADEMA ingekabidhiwa kwa Mambe, Mzee Lowasa, Halima Mdee au Sumaye, hivi ingekuwepo bado?

Kwenye ulaji tuwekeane ukomo. Kwenye kujitolea, na kwenye kupigania haki hakuna ukomo, japo kiongozi anaweza kuamua kupumzika au wanachama wakaamua kupumzisha. Jambo la muhimu ni kuhakikisha wakati wote chama kipo kwenye uongozi wa mtu jasiri, mkweli, asiye mwoga na aliyejitoa nafsi yake kwaajili ya anachokipigania.
Kondoo kazini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom