Tuone Uwajibikaji Kwenye hii National Blackout

Tuone Uwajibikaji Kwenye hii National Blackout

Deleted01

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2018
Posts
3,886
Reaction score
9,011
Ifike mahali tuanze kuona uwajibikaji nchini kwenye mambo ya aibu kama haya ya National blackout concerning umeme wa gridi ya taifa. Emergency response system ya matatizo ya kimiundombinu kama haya yaliyotokea ilipaswa iwepo. Hatuwezi nchi nzima tukakaa saa 3 bila umeme na watu wapo tu maofisini.

Tuanze kuona assessment ya athari ya hii national blackout ikiwekwa wazi na pia hapo Tanesco kujumlisha na wizara ya Nishati, watu waanze kuwajibika. Huwezi kukuta nchi zinazoendelea zikivumilia mambo kama haya.
Vulnerabilities ni nyingi kwenye jambo kama hili. Security wise hatuko safe, Economic wise kuna production inapungua na mifumo mbali mbali ya pesa haifanyi kazi vizuri bila umeme. Socially, jamii inakaa in distress.

Waziri na katibu mkuu kama vipi wapumzike.
 
Ifike mahali tuanze kuona uwajibikaji nchini kwenye mambo ya aibu kama haya ya National blackout concerning umeme wa gridi ya taifa. Emergency response system ya matatizo ya kimiundombinu kama haya yaliyotokea ilipaswa iwepo. Hatuwezi nchi nzima tukakaka saa 3 bila umeme na watu wapo tu maofisini.

Tuanze kuona assessment ya athari ya hii national blackout ikiwekwa wazi na pia hapo Tanesco kujumlisha na wizara ya Nishati, watu waanze kuwajibika. Huwezi kukuta nchi zinazoendelea zikivumilia mambo kama haya.
Vulnerabilities ni nyingi kwenye jambo kama hili. Security wise hatuko safe, Economic wise kuna production inapungua na mifumo mbali mbali ya pesa haifanyi kazi vizuri bila umeme. Socially, jamii inakaa in distress.

Waziri na katibu mkuu kama vipi wapumzike.
Uwajibikaji upo kwa watu wa Dunia ya kwanza.

Usijisahaulishe kuwa

Accountability= Account ability kwa Afrika.
 
Nchi haina uwajibikaji hii, yaani mtu avurunde kama hivi kesho aandike barua ya ku-step down kwa sababu ya umeme kukatika nchi nzima, wakati huyo mtu hana plan B kwenye maisha yake!!

Sahau hilo, hakuna accountability, hakuna majibu kwenye situation za namna hii, itapigwa kimya, hata aliyeiba kura atapiga kimya na its business as usual
 
Ifike mahali tuanze kuona uwajibikaji nchini kwenye mambo ya aibu kama haya ya National blackout concerning umeme wa gridi ya taifa. Emergency response system ya matatizo ya kimiundombinu kama haya yaliyotokea ilipaswa iwepo. Hatuwezi nchi nzima tukakaka saa 3 bila umeme na watu wapo tu maofisini.

Tuanze kuona assessment ya athari ya hii national blackout ikiwekwa wazi na pia hapo Tanesco kujumlisha na wizara ya Nishati, watu waanze kuwajibika. Huwezi kukuta nchi zinazoendelea zikivumilia mambo kama haya.
Vulnerabilities ni nyingi kwenye jambo kama hili. Security wise hatuko safe, Economic wise kuna production inapungua na mifumo mbali mbali ya pesa haifanyi kazi vizuri bila umeme. Socially, jamii inakaa in distress.

Waziri na katibu mkuu kama vipi wapumzike.
Nani mwenye hio moral ya kuwajibika ??
 
Alafu Lucas Mwashambwa anasema mama ametufikia
Inakuwaga sahihi watu wa vyama vyote na wasio na vyama wakipitia changamoto moja ili waone Hali halisi ya nchi yetu

Ila anyway zingatieni tangazo
IMG_9256.jpeg
 
Ifike mahali tuanze kuona uwajibikaji nchini kwenye mambo ya aibu kama haya ya National blackout concerning umeme wa gridi ya taifa. Emergency response system ya matatizo ya kimiundombinu kama haya yaliyotokea ilipaswa iwepo. Hatuwezi nchi nzima tukakaka saa 3 bila umeme na watu wapo tu maofisini.

Tuanze kuona assessment ya athari ya hii national blackout ikiwekwa wazi na pia hapo Tanesco kujumlisha na wizara ya Nishati, watu waanze kuwajibika. Huwezi kukuta nchi zinazoendelea zikivumilia mambo kama haya.
Vulnerabilities ni nyingi kwenye jambo kama hili. Security wise hatuko safe, Economic wise kuna production inapungua na mifumo mbali mbali ya pesa haifanyi kazi vizuri bila umeme. Socially, jamii inakaa in distress.

Waziri na katibu mkuu kama vipi wapumzike.
Gentleman,
it's just a technical fault na hakuna wa kupumzika. The respective institution officers are working hard to make it sorted in a very near time to come 🐒
 
Hangaya alimfukuza yule boss wa EWURA nini kilibadilika? Na ishu ya mafuta ilikua nje kabisa ya uwezo wake.

Hata mtu akiwajibishwa hamna kitachobadilika kwenye hii banana republic.
 
Nchi haina uwajibikaji hii, yaani mtu avurunde kama hivi kesho aandike barua ya ku-step down kwa sababu ya umeme kukatika nchi nzima, wakati huyo mtu hana plan B kwenye maisha yake!!

Sahau hilo, hakuna accountability, hakuna majibu kwenye situation za namna hii, itapigwa kimya, hata aliyeiba kura atapiga kimya na its business as usual
Anafikiri tuko ulaya
 
Back
Top Bottom