GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,720
- 109,152
Sasa Yusuf Bakhressa ulikuwa wapi Kufuata huo Ushauri uliopewa (na wanaojua Fitna za Soka la Bongo) ili Kuwamaliza hao Wapuuzi Kwako kuwa ni rahisi kama ambavyo inaenda kuwa rahisi leo?
Kile mlichokifanya Jana Klabuni Kwenu ndiyo Dawa yao na mmeshawaweza na Kuwamaliza hivyo GENTAMYCINE najua leo ni ama mnawafunga au wakibahatika mnatoka nao Sare, ila wao hawashindi kabisa na Kufungwa nanyi leo ni 75% baada ya Kujiridhisha kwa mlichokifanya cha Nje ya Uwanja huku mkilishana Yamini kwa Watakaowasaliti (hasa hasa Watu wenu Watatu) ambao GENTAMYCINE nilishawahi Kuwataja hapa JamiiForums katika Uzi wangu wa Wiki Nne (4) zilizopita.
Kile mlichokifanya Jana Klabuni Kwenu ndiyo Dawa yao na mmeshawaweza na Kuwamaliza hivyo GENTAMYCINE najua leo ni ama mnawafunga au wakibahatika mnatoka nao Sare, ila wao hawashindi kabisa na Kufungwa nanyi leo ni 75% baada ya Kujiridhisha kwa mlichokifanya cha Nje ya Uwanja huku mkilishana Yamini kwa Watakaowasaliti (hasa hasa Watu wenu Watatu) ambao GENTAMYCINE nilishawahi Kuwataja hapa JamiiForums katika Uzi wangu wa Wiki Nne (4) zilizopita.