GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,689
- 109,119
Mbona ukiwa unakaribia kucheza na Simba SC huwa hunyamazi na huwa 'Unabwatuka' mara kwa mara tena hadi kuwapigia simu waandishi Ili wakuhoji kuhusu maandalizi juu ya mechi ya Simba SC?
Cha kushangaza leo unaenda kucheza na Yanga SC, ila kwa takribani wiki au aiku tano hujasikika kabisa 'Ukibwatuka' kama kawaida yako kuelekea katika mechi yenu nao leo saa 1 usiku kwa Mkapa.
Ila akina GENTAMYCINE tunaoujua vyema mpira wa Tanzania na umafia pamoja na janja janja yake, tunajua kuwa tayari Bhahasha za Salamander Tower Posta zimeshawafikia na leo mnaenda kuwa laini kwao kuliko ambavyo uwezo ulivyo kwa sasa.
Tunajua kuwa mmepenyezewa bahasha ili mlegeze mambo yawe mazuri kwao, Ili kumlinda Kocha wao aliyeleta mgawanyiko katika uongozi wao na pia wawatulize mashabiki wao ili waiamini timu yao hasa kuelekea Kucheza na Watunisia, ili tarehe 2 November, 2022 uwanja ujae (ufurike) sana, ili wapige pesa za mwisho mwisho.
Kwani wanajua kuwa safari yao kimataifa inaenda kuishia Jijini Tunis tarehe 9 November, 2022.
Asanteni KMC FC kwa mlichokifanya.
Cha kushangaza leo unaenda kucheza na Yanga SC, ila kwa takribani wiki au aiku tano hujasikika kabisa 'Ukibwatuka' kama kawaida yako kuelekea katika mechi yenu nao leo saa 1 usiku kwa Mkapa.
Ila akina GENTAMYCINE tunaoujua vyema mpira wa Tanzania na umafia pamoja na janja janja yake, tunajua kuwa tayari Bhahasha za Salamander Tower Posta zimeshawafikia na leo mnaenda kuwa laini kwao kuliko ambavyo uwezo ulivyo kwa sasa.
Tunajua kuwa mmepenyezewa bahasha ili mlegeze mambo yawe mazuri kwao, Ili kumlinda Kocha wao aliyeleta mgawanyiko katika uongozi wao na pia wawatulize mashabiki wao ili waiamini timu yao hasa kuelekea Kucheza na Watunisia, ili tarehe 2 November, 2022 uwanja ujae (ufurike) sana, ili wapige pesa za mwisho mwisho.
Kwani wanajua kuwa safari yao kimataifa inaenda kuishia Jijini Tunis tarehe 9 November, 2022.
Asanteni KMC FC kwa mlichokifanya.