Tunnel Guru...!!!

Tunnel Guru...!!!

kuna hypothesis nilitengeneza kuwa hawa jamaa hawatumii band ya 2100mhz ambayo ndio common bali wanatumia band nyengine ie 850mhz hivyo kusababisha simu za bei ya chini na modem kushindwa kufanya kazi.

hii kero! mkuu c6 alitumia vp? Then kuna tyme kwenye cmu inaandka tritel badala ya BOL then naanza kupata hisia za mambo ya roaming yale
 
hii kero! mkuu c6 alitumia vp? Then kuna tyme kwenye cmu inaandka tritel badala ya BOL then naanza kupata hisia za mambo ya roaming yale

yah jamaa wana roam hio sio siri kwenye simu yangu inaonesha kabisa.
 
Screen_20140329_201341.jpg

Hawa BOL ni wasanii tu huku Dar kituchao ni edge
 
hapa kuna wa2 wa aina 2.. Wanafik na waloendekeza tamaa mbele a.k.a @.karibu
habar nzur bdo mitandao miwil inapiga kaz kam kawaida.. Alwayz nasema hv.. Programmerz n maguru wa network wanajua namanisha nin si hawa akina njunwa copy n paste hawajui hata wanafanya nin.

Dogo wewe unachokioengea haukijui siku nakusoma tu unajisifia hapa mitandao miwili mitandao miwili
Sasa mpaka unaanza kuni-dis....
Siku tumepata hizi ssettings uliwalilia watu PM wakuunganishe na kwakua mm ndo nilikua kama admin wa kile kikundi waliponiuliza unataka kuungwa nikawambia huyo dogo SNITCH mtemeni chini

Sasa ngoja tuone uguru wako wa ki-IT
 
Dogo wewe unachokioengea haukijui siku nakusoma tu unajisifia hapa mitandao miwili mitandao miwili
Sasa mpaka unaanza kuni-dis....
Siku tumepata hizi ssettings uliwalilia watu PM wakuunganishe na kwakua mm ndo nilikua kama admin wa kile kikundi waliponiuliza unataka kuungwa nikawambia huyo dogo SNITCH mtemeni chini

Sasa ngoja tuone uguru wako wa ki-IT

We mjinga Wamavoko sasa unalingia kidubwana cha waasia kupata access wakati ulimkandia jamaa hapo juu kuwa hakuna kauchochoro tukaamua kula kimya we kujua tu kuwafyonza Airtel tayari umeripuka na screen zako uchwara KRAPKA DAvINOOO
 
Last edited by a moderator:
We mjinga Wamavoko sasa unalingia kidubwana cha waasia kupata access wakati ulimkandia jamaa hapo juu kuwa hakuna kauchochoro tukaamua kula kimya we kujua tu kuwafyonza Airtel tayari umeripuka na screen zako uchwara KRAPKA DAvINOOO

Hahahaha!Umekurupuka kaka sometimes hapa Jf bora usome hata thread imeanzishwa lini vingine utaonekana #mjinga zaidi....

Inaonesha hiyo kitu imekuuma sana we #------ na #------ - wengine humu JF...

Mara ohhh! najidai sasa nijidai nn we jamaa kwanza mnafiki kama sio #snitch kule awali ulimkandia ukabu kwamba atasababisha ajari na ukamsihi ale kimya kimya sasa leo hii unaniona mm najidai... hahahaha!Kajipange tena brother
 
Last edited by a moderator:
duh. sijui niseme pengine tatizo ni ajira. maana watu wanatafuta pesa za haraka haraka.......... mi nshachoka na mambo hizi
 
Hahahaha!Umekurupuka kaka sometimes hapa Jf bora usome hata thread imeanzishwa lini vingine utaonekana #mjinga zaidi....

Inaonesha hiyo kitu imekuuma sana we #------ na #------ - wengine humu JF...

Mara ohhh! najidai sasa nijidai nn we jamaa kwanza mnafiki kama sio #snitch kule awali ulimkandia ukabu kwamba atasababisha ajari na ukamsihi ale kimya kimya sasa leo hii unaniona mm najidai... hahahaha!Kajipange tena brother

Tushawasoma hawa kina DEVUQUARTER-DEVUKOTA kazi kupayuka na kujijaza misifa tu wakati hamna kitu.
 
Last edited by a moderator:
Jamani jukwaa hili sikuhizi limekuwaje? Watu nikupigana vijembe..!!!!!!!
Mwl.rct uko wapi.?
 
Back
Top Bottom