nurbert
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 1,887
- 428
kuna hypothesis nilitengeneza kuwa hawa jamaa hawatumii band ya 2100mhz ambayo ndio common bali wanatumia band nyengine ie 850mhz hivyo kusababisha simu za bei ya chini na modem kushindwa kufanya kazi.
hii kero! mkuu c6 alitumia vp? Then kuna tyme kwenye cmu inaandka tritel badala ya BOL then naanza kupata hisia za mambo ya roaming yale