DEVUQUARTER-DEVUKOTA
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 352
- 116
Hakuna tena usalama wa haya mambo kilichobaki kila mtu ale kivyake. KRAPKA DAVINOOOOOO!!
Ilibidi iwe hivyo buT haikufaa kitu maana watu waliendelea kunong'onezana mpaka limebumburuka. KRAPKA DAVINOOOONaona wakuu mlikua mnakula vitu wenyewe kimya kimya! Kama siyo hii kitu kubuma walatusinge hisi hata arufu yake.
karibun bol(smart)
karibun bol(smart)
mi ndicho wanachonikera.,,eti wameanza kuweka 3g mikoan,Huku Dar tunapata Edge tu
karibun bol(smart)
hii smart inakuwaje mkuu?
unlimited kwa 1000 tu kwa siku ila nje ya dar tu
kwenye simuu.? wanauza line? moro nipo kwa sasa....... waweza nieleza nawezaje ipataa?
wanavyodai wana watu mikoani wanauza line ila mimi sijawaona. njia rahisi mtume mtu dar akununulie akutumie. wanauza line na vocha ya 1000 kwa shilingi 2000.
sasa hv hata megaboksi naona wameongeza speed maximum imekua 250KBps. sijui ni kwangu tu.
X.800 DEVUQUARTER-DEVUKOTA dongo lenu hilo
haya bhana na party zenu za kimya kimya.
Wakuu Mm Nna Line Ya Bol ila nikiweka kwenye modem yangu huawei e 303 haipandish network... Then pia nmejarbu kwenye simu yangu symbian haisomi pia ila nikiweka kwenye android (samsung) ndo sehem pekee inafanya kaz... Sjui inakua vp hapa