Nashauri tutumie Tunnel guru kwa TTCL Broadband

Nashauri tutumie Tunnel guru kwa TTCL Broadband

Nodus

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2011
Posts
391
Reaction score
1,057
Wana naomba sikilizeni. Mimi naona tunnelguru na tigo ni mizinguo mno kwa sababu tigo ni mizinnguo. Sasa nimepata idea, mnaonaje watu watest tunnelguru kwa kutumia TTCL Broadband kwa kutumia PD Proxy au TunnelGuru?

Naomba mwenye wezo a test vifuatavyo:

1. TTCL broadband ambayo haijalipiwa na atoe majibu.

2. TTCL Broadband ambayo imelipiwa ile superslow unlimited yao na atoe majibu.

N.B Hizo mbili za hapo juu a test both VPN and HTTP tunnel na apost results za speed test.

Naomba ushirikiano wenu
 
12.jpg
65.jpg

(BB) we jitoe ufahamu ingia mfukoni lipia huduma.
 
Ndo maana imeitwa challenge si lazima wewe kufanya waachie wanaojua. Backward thinking yenu na kukosa creativity ndo kunawafanya wabongo mbaki nyuma kimaendeleo ya tech. Kuna watu wengi humu ndani wenye ujuzi wa network systems kama wewe hujui la kufanya waachie wanaoweza
 
Wana naomba sikilizeni. Mimi naona tunnelguru na tigo ni mizinguo mno kwa sababu tigo ni mizinnguo. Sasa nimepata idea, mnaonaje watu watest tunnelguru kwa kutumia TTCL Broadband kwa kutumia PD Proxy au TunnelGuru?

Naomba mwenye wezo a test vifuatavyo:

1. TTCL broadband ambayo haijalipiwa na atoe majibu.

2. TTCL Broadband ambayo imelipiwa ile superslow unlimited yao na atoe majibu.

N.B Hizo mbili za hapo juu a test both VPN and HTTP tunnel na apost results za speed test.

Naomba ushirikiano wenu

Umiza kichwa wewe usisubiri kutafutiwa tricks
After all 95% ya wa TZ wanatumia modem za GSM sasa wewe ulivuta mawaya ya TTCL ya nn kama hauwezi kulipia?
Hata kama unatumia modem yao,hana mtumiaji hapa wa hiyo kitu so trick tafuta mwenyewe njoo ushare hapa kama ukitaka au kula kivyako
 
Wana naomba sikilizeni. Mimi naona tunnelguru na tigo ni mizinguo mno kwa sababu tigo ni mizinnguo. Sasa nimepata idea, mnaonaje watu watest tunnelguru kwa kutumia TTCL Broadband kwa kutumia PD Proxy au TunnelGuru?

Naomba mwenye wezo a test vifuatavyo:

1. TTCL broadband ambayo haijalipiwa na atoe majibu.

2. TTCL Broadband ambayo imelipiwa ile superslow unlimited yao na atoe majibu.

N.B Hizo mbili za hapo juu a test both VPN and HTTP tunnel na apost results za speed test.

Naomba ushirikiano wenu
Kuchamba kwingi huondoka na mavi!! Haya ajitokeze reseller mwingine anadi tunnel guru Authentic code kwa tsh 4000 full unlimited via mtandao wa nanii. Kifupi Joti keshastuaka sasa anafanya kufix lile pengo lake so muda si mrefu kitu kitakuwa hakiitiki tena
 
Kuchamba kwingi huondoka na mavi!! Haya ajitokeze reseller mwingine anadi tunnel guru Authentic code kwa tsh 4000 full unlimited via mtandao wa nanii. Kifupi Joti keshastuaka sasa anafanya kufix lile pengo lake so muda si mrefu kitu kitakuwa hakiitiki tena

Ni kweli hayo maana nina kama miezi miwili sijawajaribu hawa watu?
 
Kuchamba kwingi huondoka na mavi!! Haya ajitokeze reseller mwingine anadi tunnel guru Authentic code kwa tsh 4000 full unlimited via mtandao wa nanii. Kifupi Joti keshastuaka sasa anafanya kufix lile pengo lake so muda si mrefu kitu kitakuwa hakiitiki tena

Ndo maana siku izi watu wwngi wajuvi wanakula gizani.

Maana ukishawwka apa tu mengine yanaanza kubwatuka.
 
Umiza kichwa wewe usisubiri kutafutiwa tricks
After all 95% ya wa TZ wanatumia modem za GSM sasa wewe ulivuta mawaya ya TTCL ya nn kama hauwezi kulipia?

Hata kama unatumia modem yao,hana mtumiaji hapa wa hiyo kitu so trick tafuta mwenyewe njoo ushare hapa kama ukitaka au kula kivyako
Huenda kafanya kashindwa wacha wengine wajaribu
 
Huenda kafanya kashindwa wacha wengine wajaribu

Ndo maana nasema yeye mwenye Vifaa ndo aumize kichwa
Pili ndo maana nimekutajia asilimia ya watanzania wanaotumia TTCL majumbani kwao hivo asilimia kubwa si watu waliopo JF hapa...
Wengi wetu hapa ni Tigo,Vodacom na Airtel...Zantel kwa mbali,Smile kwa mbali na TTCL kwa mbali

So practically speaking hiyo ni taabu kidogo kutupa ss hiyo task(ambao hatujui hata portal za TTCL au Tabia za TTCL kifurushi kikiisha) na sijamzuia mtu hasijaribu,na bado hata mtu akijaribu hakaweza hatokuja kuwaambieni kuwa nimeweza:sad:
 
Ndo maana siku izi watu wwngi wajuvi wanakula gizani.

Maana ukishawwka apa tu mengine yanaanza kubwatuka.

Mla ndondo hawezi kujizuia kujamba kaka!! We weka trick yako ya free net ya VPN, http,DNS etc me nitaenda kumuwekea sister kule Kijitonyama huku nikijigamba ni Hacker au mwana IT, shemeji pia mtu wa youtube na online streaming so lazima nimuwekee kwenye laptop yake,Binamu yangu naye yupo pale All in one UDSM wifi inazingua so lazima apate kitu.
Mwisho wa siku shemeji atajigamba pale corner bar kwamba internet kwake siyo tatizo anapakua hadi HDD inajaa streaming ndo usiseme ni HDD 720P bila kubuffer.
Mbaya ni kwamba anamtambia mshirika wake ambaye ni mtu wa Joti kwamba jamaa mdebwedo kabisa anabonyeza kizenji Bonyeee, sasa subiria jamaa ajue process nzima then akawaonyeshe mabosi kule juu(si wajua tena kuna kupandishwa daraja au kuongezwa kibaba).
Dakika sifuri kitu kinakuwa chali watu mnaanza mtafuta mchawi ndani ya JF ahhhha
 
Voda watu walikuwa wanakula bure kabisa tena kimya kimya kwa kutumia shield vpn/expact shield plus huku upande mwingine watu wakilipia guru/pdproxy kelele zikawa nyingi 'dada njoo tunnelguru,mjomba njoo hapa kwa mfiliphino pdproxy skype smoothly etc.
Muda simda switch likaripika kucheck kumbe ni hawa hawa wacha wamuite mnigeria sijui muhindi ziba ziba kwisha habari yetu but funzo hatupati tu!!
Tunnel guru hadi FB na viblog vyetu uchwara ahhhhha!!
Kikinuka tunaona ugumu wa kununua Bundle.
Wacha PM zianze Mwl.RCT kunampya gani? Njunwawamavoko saidia tumeuwawa wanao
SPYMATE... chief-mkwawa nisaidie chochoro C6 naomba free kamaunayo.
Ilimradi vurugu tupu hadi pM zinajaa
 
Last edited by a moderator:
Voda watu walikuwa wanakula bure kabisa tena kimya kimya kwa kutumia shield vpn/expact shield plus huku upande mwingine watu wakilipia guru/pdproxy kelele zikawa nyingi 'dada njoo tunnelguru,mjomba njoo hapa kwa mfiliphino pdproxy skype smoothly etc.
Muda simda switch likaripika kucheck kumbe ni hawa hawa wacha wamuite mnigeria sijui muhindi ziba ziba kwisha habari yetu but funzo hatupati tu!!
Tunnel guru hadi FB na viblog vyetu uchwara ahhhhha!!
Kikinuka tunaona ugumu wa kununua Bundle.
Wacha PM zianze Mwl.RCT kunampya gani? Njunwawamavoko saidia tumeuwawa wanao
SPYMATE... chief-mkwawa nisaidie chochoro C6 naomba free kamaunayo.
Ilimradi vurugu tupu hadi pM zinajaa

tulia dogo free net haiwezi ondoka tena mwendo uleule wa kimyakimya.. hahaha naona wa2 wanalialia na goti kuwa slow wakat washirika wenzake 2 wanapiga mzgo kiaina.. umiza kichwa acha kujisifu kizembezembe.
 
tulia dogo free net haiwezi ondoka tena mwendo uleule wa kimyakimya.. hahaha naona wa2 wanalialia na goti kuwa slow wakat washirika wenzake 2 wanapiga mzgo kiaina.. umiza kichwa acha kujisifu kizembezembe.
Yeah kimya kimya hadi watu wanakupandia dau uwape mchongo na ukiropoka tu unapigwa bao la kisigino kitu adharani kila mtu atauziwa voucher bila kuangaliwa status yake
 
Ndo maana nasema yeye mwenye Vifaa ndo aumize kichwa
Pili ndo maana nimekutajia asilimia ya watanzania wanaotumia TTCL majumbani kwao hivo asilimia kubwa si watu waliopo JF hapa...
Wengi wetu hapa ni Tigo,Vodacom na Airtel...Zantel kwa mbali,Smile kwa mbali na TTCL kwa mbali

So practically speaking hiyo ni taabu kidogo kutupa ss hiyo task(ambao hatujui hata portal za TTCL au Tabia za TTCL kifurushi kikiisha) na sijamzuia mtu hasijaribu,na bado hata mtu akijaribu hakaweza hatokuja kuwaambieni kuwa nimeweza:sad:

Wakuu Office Nnayofanyia Field Kuna Waya Wa TTCL Ila Cjawah shughulika nao maaana kuna WIFI pia ... Kesho naeza jarbu ............
 
Back
Top Bottom