Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Alipokuwa waziri wa mambo ya ndani alitumia mbinu za kishushu kupambana na uhalifu wa kila namna.
Alikuwa akitoa siku saba majambazi kusalimisha silaha na walisalimisha.
Kura za siri zilitumika kufichua uhalifu wa wahalifu wa kila namna.
Nashangaa huyu waziri wa sasa anaongea kama vile anabembeleza wahalifu waache uhalifu.
Rip shushushu mbobezi Lyatonga Mrema.
Alikuwa akitoa siku saba majambazi kusalimisha silaha na walisalimisha.
Kura za siri zilitumika kufichua uhalifu wa wahalifu wa kila namna.
Nashangaa huyu waziri wa sasa anaongea kama vile anabembeleza wahalifu waache uhalifu.
Rip shushushu mbobezi Lyatonga Mrema.