chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,723
Marehemu Augustino mrema kipindi yupo wizara ya mambo ya ndani 1990-1994. Watu walikiona cha moto ijalishi ni nani mpaka kufikia majambazi wengi kujisalimisha.
Kuna mambo mengi wizara ya mambo ya ndani kaweka mchango mkubwa sana japo historia ijapata kuandikwa kwa mema aliyofanya. Na mwisho wa kumalizika kama waziri mauji ya kimbari Rwanda.
Tunaomba waliomfahamu.
Kuna mambo mengi wizara ya mambo ya ndani kaweka mchango mkubwa sana japo historia ijapata kuandikwa kwa mema aliyofanya. Na mwisho wa kumalizika kama waziri mauji ya kimbari Rwanda.
Tunaomba waliomfahamu.