Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,775
- 218,396
Huu hapa ni Mkutano wake wa leo wa kuwaanda wananchi wa Tunduma kwa ajili ya Maandamano Matukufu yatakayofanyika Mbeya
AiseeeeeeWatu wa Mikoani uwa wana akili na uchungu sana na taifa lao
watu wa Dar uswahili ndio kila kitu kwenye maisha yao
Safi sana CDM Mbeya..Huu hapa ni Mkutano wake wa leo wa kuwaanda wananchi wa Tunduma kwa ajili ya Maandamano Matukufu yatakayofanyika Mbeya
hawezi shinda mtu yeyote kwenye dabe huyo mjamaa 🐒Huu hapa ni Mkutano wake wa leo wa kuwaanda wananchi wa Tunduma kwa ajili ya Maandamano Matukufu yatakayofanyika Mbeya
Haichekeshi.aachane na siasa, amepoteza mvuto
Hata ndio matamanio yako.aachane na siasa, amepoteza mvuto
Hakika.Picha hii inazidi kumkondesha Rais wa mabunge duniani!!