Salaam,Shalom!!
Baada ya kumaliza msiba, tuendelee na ujenzi wa Nchi yetu.
Yalifanyika maandamano katika majiji makubwa nchini ,Dar es Salaam na Mwanza,maandamano hayo yameendelea kupata mwitikio mkubwa wa wananchi, hayo yametokea kiongozi wetu ,Mkuu wa Nchi akiwa nje ya Nchi ziarani. Je ni coincidence au planned?
Kunako TAREHE 20 mwezi February 2024, yatafanyika tena maandamano ya Amani jijini Mbeya. HOJA kuu za wananchi zikiwa;
1. Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi, kabla ya Uchaguzi wowote.
2. Kukithiri Kwa Mgao wa Umeme,
3. Kuadimika sukari nchini.
4. Kupanda gharama za Maisha.
5. Madai ya Tume HURU ya UCHAGUZI Kwa kuondoa Miswada iliyo bungeni, Ili irejeshwe UPYA Kwa kubadili vifungu vya Katiba kumwondoa Rais kuteua Tume ya Uchaguzi na wasimamizi wake nknk, HOJA ambazo hazijapatiwa majibu Hadi sasa.
Ningependa kujua ikiwa kiongozi wetu, mkuu wa Nchi atakuwepo nchini siku hiyo au ataendelea na ziara nje ya Nchi.
Maandamano ya Arusha Feb 27, atakuwepo, au atakuwa ziara ingine nje ya Nchi?
Karibuni 🙏
Baada ya kumaliza msiba, tuendelee na ujenzi wa Nchi yetu.
Yalifanyika maandamano katika majiji makubwa nchini ,Dar es Salaam na Mwanza,maandamano hayo yameendelea kupata mwitikio mkubwa wa wananchi, hayo yametokea kiongozi wetu ,Mkuu wa Nchi akiwa nje ya Nchi ziarani. Je ni coincidence au planned?
Kunako TAREHE 20 mwezi February 2024, yatafanyika tena maandamano ya Amani jijini Mbeya. HOJA kuu za wananchi zikiwa;
1. Katiba mpya na Tume huru ya Uchaguzi, kabla ya Uchaguzi wowote.
2. Kukithiri Kwa Mgao wa Umeme,
3. Kuadimika sukari nchini.
4. Kupanda gharama za Maisha.
5. Madai ya Tume HURU ya UCHAGUZI Kwa kuondoa Miswada iliyo bungeni, Ili irejeshwe UPYA Kwa kubadili vifungu vya Katiba kumwondoa Rais kuteua Tume ya Uchaguzi na wasimamizi wake nknk, HOJA ambazo hazijapatiwa majibu Hadi sasa.
Ningependa kujua ikiwa kiongozi wetu, mkuu wa Nchi atakuwepo nchini siku hiyo au ataendelea na ziara nje ya Nchi.
Maandamano ya Arusha Feb 27, atakuwepo, au atakuwa ziara ingine nje ya Nchi?
Karibuni 🙏