Tundu Lissu: Tutanyolewa bila maji suala la mchanga wa madini, tusikurupuke

ndugu tukana tu lakni hifadh maneno yako... sku mambo yakiwa tofaut uwe tayar kuja tena hapa ututake radhi
Mkuu kutaka watu radhi ni utashi tu wa mtu....kuna watu waliita wenzao mafisadi papa,lakini leo hii wanagonga nao mvinyo na hawajawataka radhi!
 
Wewe mikataba unayo??? Je kuna kipengele kinasema mwekezaji ndo adeclare kiasi!. Wajibu wa TZ kwny kuhakikisha vipengele vya mkataba vinafuatwa upo wapi? Wakikuulza km ni uongo mbona TMAA walibandika stika na kuidhinishwa. Waongo ni TMAA co hao!.

Km huo ushauri wa Lissu sio!...Je ushauri wako upi???? Yy ameeleza akatoa na ushauri wake ww umekosoa pekee bila kutoa ushauri wako!! Toa na wewe co kukosoa pekee....
Ushauri wangu ni Acacia wamtumie Lisu mahakamani,maana alishaona upepo wa kupiga pesa hapo!
 
Wewe ulikuwa unadeclare amount sahihi!?
Hoja hapa ni kanuni , ambazo mawaziri wote walizizingatia nazo ni kudeckare nn unaexport ndo nawe unapwewa export permin , sasa utadeckare vitu ambavyo test analysis haijaonesha?kilichokuwa kinafanyiwa ni hicho tukilipa mrahaba
 
kabla ya mikatba ya madin kusainiwa na kupitishwa bungen wapinzani walionesha waz kutordhika na kupaza saut wakapuuzwa sasa huu ushaur wa Lisu angeutoa mwanzon unfikir angeeleweka?? hata sahv hmtamuelewa baada ya matokeo ya alichokisema mtaanza kutafta pa kujishikilia

Unakosea unaponiambia "hamtamuelewa", binafsi namwelewa sn, wasiwasi wangu huu ushauri umekuja too late. Sina siasa yoyote mkuu kwenye hili. Ndo maana nikasema, kwa sasa tufanye nini ili mambo yaende?
 
Hoja hapa ni kanuni , ambazo mawaziri wote walizizingatia nazo ni kudeckare nn unaexport ndo nawe unapwewa export permin , sasa utadeckare vitu ambavyo test analysis haijaonesha?kilichokuwa kinafanyiwa ni hicho tukilipa mrahaba
Kama kweli ulikuwa unadeclare kiwango sahihi basi inaelekea we ni mgeni ktk biashara au ni Mlokole!
 
Nimeona baada ya kupitia mandiko mengi humu JF, kuhusu ishu ya makenikia, wenye akili timamu, kila Mtanzania mwenye akili Timamu, ndani ya JF, wanamuunga mkono Tundu Lisu. Wana maoni mbadala kuhusu ripoti ya Prof! Maoni ya kujenga, maoni ya uzalendo. Maoni yasiyo kuwa ya unafiki wa kumfurahisha fulani!
UKWELI UTATUWEKA HURU, TUMSAIDIE RAIS KWA KUSEMA UKWELI, BILA UNAFIKI.
 
Unataka kusema kuwa km TMAA walihongwa then the gvmnt haipaswi kuchukua hatua?
Hakika kama TMAA walihongwa ni sahihi kabisa kwa serikali kuchukua hatua. Swali ni, hatua zipi na zinachukuliwaje? Tahadhari kwamba hatua hizi zisiache mwanya wa kupigwa zaidi. Unafumania halafu unapigwa, inauma sana.
 
Lisu anapaswa kuwa real patriot kwa kuonyesha way forward kwa hapa tulipofikia na sio kujifanya mamlaka ya hali ya hewa kwa kubashiri yajayo!

Ndugu you are not serious or you are refusing to see with your eys open, Lissu ameonyesha way forward. Shida kakutana na watu hawataki kuona hata uwavishe miwani.
 
Kuwa na nia njema ni jambo moja ila njia ya kufikia malengo ya nia njema ni muhimu sana.

Hakuna uwezekano katika maisha kutumia mbinu mbaya kufanikisha jambo jema. Hivi mtu akivunja benki na kuiba pesa kwa nia ya kuwasomesha watoto yatima na kuwatibisha wagonjwa atafungwa?

Bashite alikuwa na nia njema ya kupambana na madawa ya kulevya ila alitumia njia mbaya ya kuvunja sheria kwa hiyo hakufaulu. JPM ametumia pia njia mbaya, angefuata sheria kufuta mikataba iliyosainiwa na serikali ya ccm angefanikiwa sana katika lengo lake zuri alilonalo.
 
Kuwa na nia njema ni jambo moja ila njia ya kufikia malengo ya nia njema ni muhimu sana.

Hakuna uwezekano katika maisha kutumia mbinu mbaya kufanikia jambo jema. Hivi mtu akivunja benki na kuiba pesa kwa nia ya kuwasomesha watoto yatima na kuwatibisha wagonjwa atafungwa?

Bashite alikuwa na nia njema ya kupambana na madawa ya kulevya ili alitumia njia mbaya ya kuvunja sheria kwa hiyo hakufaulu. JPM ametumia pia njia mbaya, angefuata sheria kufuta mikataba iliyosainiwa na serikali ya ccm angefanikiwa lengo lake zuri alilonalo.
Ngoja nikuitiea wenyewe, wewe mbishi. Lizaboni &Co. Ltd, mwingine huyu anamsena vibaya Mwalimu!
 
Ngoja nikuitiea wenyewe, wewe mbishi. Lizaboni &Co. Ltd, mwingine huyu anamsena vibaya Mwalimu!
Hahaha mkuu mbona unatutisha mwenye haki ana haki ya kusema pakinyamazwa kimya uongo hugeuka kuwa ukweli kama kama Bashite amekosea hamna namna ni kiambiwa tu asije sema hakuambiwa
 
Back
Top Bottom