The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,535
Ujinga na upumbavu wa Lissu ni kujiona anaakili kuliko mtu yeyote Tanzania!!!
Haturudi nyuma, kama anawashwa atangulie yeye huko kwenye hizo mahakama anazoziogopa!!!
Yaani watu wanadeclare uongo afu tuwachekee kisa sijui mikataba gani huko tumesaini!!!?! Huu ujunga hautafanyika awamu hii!! Subirini awamu dhaifu zije
Yaani una maana kuwa Tundu Lissu ni mpumbavu na wewe ni mwerevu, siyo ?
It's likely 120% the opposite......kwamba, wewe ndiye hasa mpumbavu, kwa sbb umeshindwa ku - counter attack hoja ya Lissu simply kwa sbb, you know nothing !!
Wana declare uongo ? Ukweli ni upi eti ? Wa kamati ya kumfurahisha Mr Misifa, Mfalme Mtukufu Uchwara ?
Aisee, please, jaribu ingalau kuwa serious kiogo, basi !!