Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,200
- 27,255
Yameharibika?Hapa najua watampuuza ila mambo yakiharibika hawataki kusutwa na ukiwasuta wewe sio mzalendo bali ni kuwadi wa hao wageni/wazungu.
Yameharibika?Hapa najua watampuuza ila mambo yakiharibika hawataki kusutwa na ukiwasuta wewe sio mzalendo bali ni kuwadi wa hao wageni/wazungu.
Wajinga kweli nyie!!!Yameharibika?
Endelea kuota tu , bilioni 700 unaijua au unaropoka tu , you won't be paid a penny of it .Wazungu si mazuzu nyau nyieHakuna kitu kama hicho bado mashauriano yanaendelea walichokubali kulipa ni hiyo bil700 huku mashauriano zaidi yakiendelea
Katika kitu ambacho lissu alikosea sana ni kwenye suala hili la madini.Hii akili huwezi kuipata huko CCM.
Kipi kimetokea hadi sasa?Wacha ushabiki wa kijinga wewe, Tundu Lissu anashauri jambo la msingi sana.
Tundu, Tundu, Tundu...... Nimekuita mara tatu. Kesi inaendeleaje tuliyoshtakiwa?
Nimetokea kukupenda bureTundu, Tundu, Tundu...... Nimekuita mara tatu. Kesi inaendeleaje tuliyoshtakiwa?
Na kuna lingine kaanza kuliingilia pupa mshaurini.Katika kitu ambacho lissu alikosea sana ni kwenye suala hili la madini.
jamaa anaogopa wazungu balaa
Lissu bana yaani umepona tu watu wamekimbia hata hawajamaliza makubaliano
Hawa makabichi unafikiri watakuekewa hata!?..madai usd 191 billion.
..malipo usd 300 million.
..ni sawa na udai sh 630, halafu ulipwe sh 1.
..hiyo ndiyo maana halisi ya kunyolewa kwa chupa.
Mbunge wa Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu ameibuka na kuishauri serikali jambo la kufanya kutokana na matokeo ya uchunguzi wa mchanga wa madini uliofanywa na kamati ilyoundwa na Rais John Magufuli.
Tundu Lissu
Tundu Lissu anasema Tanzania ni mwanachama wa 'The MIGA Convention' hivyo ukiwa mwanachama ukachukua mali za wawekezaji wao utapelekwa kwenye mahakama za kimataifa na kwenda kushughulikiwa huko, hivyo Tundu Lissu ametoa ushauri wa namna nzuri ya kushughulika na watu
"Sisi Tanzania ni wanachama wa kitu kinaitwa 'The MIGA Convention' Multilateral Investment Guarantee Agency ya benki ya dunia, ukiwa mwanachama wawekezaji wakileta mali zao kwako, ukichukua mali zao kama walivyochukuliwa mali zao namna hii utapelekwa kwenye mahakama zao za kimataifa unaenda kushughulikiwa huko, tumesaini mkataba wa ulinzi wa wawekezaji na mataifa wanayotoka wawekezaji hao Marekani, Canada, Uingereza wote ni mabosi wakubwa makampuni ambayo Rais ameyakamatia mali zao yanatoka kwenye hizi nchi tuna 'bilateral investment treaties ambazo zinalinda mikataba hii" alisema Tundu Lissu
Makontena ya mchanga wenye madini yaliyozuiliwa bandarini
Tundu Lissu anasema hili suala tusipokuwa makini nalo linaweza kuleta matatizo makubwa huku akimtaja muhusika wa mikataba iliyolifikisha taifa katika hasara iliyobainika katika uchunguzi huo.
"Rais anajiingiza kwenye mgogoro mkubwa, akimkamata Dalali Kafumu peke yake, tutamwambia kwanini siyo Gray Mwakalukwa mikataba yote hii imeingia wakati wa Mr. Gray Mwakalukwa, kwanini siyo Daniel Yona, kwanini siyo Jakaya Kikwete sababu alikuwa Waziri na mimi nina mkataba wa Bulyankulu na kwanini siyo mawaziri wote, kwa sababu mikataba iliingiwa wakiwa mawaziri" alisema Tundu Lissu
Rais Magufuli akipokea ripoti ya kamati
Lakini mbali na kusema yote hayo Tundu Lissu alitoa ushauri wake katika suala hilo...
"Kama unataka kufanya haya unayoyafanya elewa hali halisi ilivyo, tatizo liko wapi kama tatizo ni kwamba tunapata mapato kidogo na kweli wanatupiga kweli kweli ila kama utaka kufanya mambo kweli kweli kajiondoe kwanza MIGA ili hao wawekezaji wasikushtaki kwenye hizo mahakama za huko, maana wakikushtaki kule unanyolewa bila maji, hakuna ndege ya Tanzania itakanyaga hizo nchi wataikamata, hakuna hela tutaweka kwenye nanii za kimataifa watazikamata, kwa sababu tunavunja mikataba ya kimataifa inayolindwa na sheria za kiwekezaji za kimataifa, kwa hiyo anzia huko juu ukimaliza mikataba ya kimataifa, njoo kwenye mikataba kati ya nchi na nchi ondoa hiyo mikataba ukishaondoa hiyo hushtakiki nje, baada ya hapo njoo ndani sababu bado unaweza kushtakiwa ndani" alisisitiza Tundu Lissu
Hakuna nchi ya kiafrika hata moja isiyomuogopa mzungu ila kiburi tuu kinawaaminisha kuwa hamuwaogopi,tunawategemea wazungu kwa kila kitu tunaanzaje kuacha kuwaogopa,hata huku kuandika na kusoma bila wao tusingejuwajamaa anaogopa wazungu balaa
We choko ulikuwa unadai sh ngapi?Bwabwa la Robert Amsterdam. Puuu, mbona twapokea angalau 100Bil
ndio maana sasa hivi anawatumia akina Amsterdam kupiga mkwara mbuziSijui hata kwa nini