Tundu Lissu, Salim Mwalimu na Margit Hellwig-Boette, Wakutana Botswana

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,895
Salaam Wakuu

FDqZePjXEAY9LAE.jpg

Balozi wa Ujerumani Nchini Botswana Margit Hellwig-Boette leo Nov. 08, 2021 akiteta na Makamu Mwenyekiti na Mgombea Urais wa 2020 Tundu Lissu na Salim Mwalimu, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar na Mgombea Mwenza wa Lissu wakati wa mkutano wa Kimataifa unaohusu Uchaguzi Afrika unaoendelea Gaborone, Botswana.

MY TAKE:
Je, Lissu atapita Segerea Kumtembelea Mwenyekiti wake Mbowe na kumpa nondo za Kisheria au ndo anamuacha ateketee huku anamuona?
 
Balozi_wa_Ujerumani_Nchini_Botswana_Margit_Hellwig-Boette_leo_Nov._08%2C_2021_akiteta_na_Makam...jpg


Pichani ni Mh Tundu Lissu ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa Chadema akiteta jambo na Balozi wa Ujerumani nchini Botswana , Katika Mkutano wa Kimataifa unaohusu UCHAGUZI AFRIKA Mjini Gaborone unaofanyika leo tarehe 8/11/1021 , anayeshuhudia mazungumzo hayo pembeni ni Naibu Katibu Mkuu wa Chadema Zanzibar , Salum Mwalimu.

Lissu alikuwa Mgombea Urais wa Chadema 2020 , huku Mwalimu akiwa mgombea mwenza
 
Mnaofikiri kuwa kwake nje ya mipaka ya Tz, basi Lissu hafuatilii hii kesi ya Mbowe mnajidanganya, Lissu yupo jirani sana na Mbowe ktk hii kesi ni miongoni mwa watu wanaoshauriana kina Kibatala kuhusu masuala mbalimbali katika kukabiliana na hii kesi!

wanaofikiria akina nani?...
 
Salaam Wakuu

View attachment 2003007
Balozi wa Ujerumani Nchini Botswana Margit Hellwig-Boette leo Nov. 08, 2021 akiteta na Makamu Mwenyekiti na Mgombea Urais wa 2020 Tundu Lissu na Salim Mwalimu, Naibu Katibu Mkuu Zanzibar na Mgombea Mwenza wa Lissu wakati wa mkutano wa Kimataifa unaohusu Uchaguzi Afrika unaoendelea Gaborone, Botswana.

MY TAKE:
Je, Lissu atapita Segerea Kumtembelea Mwenyekiti wake Mbowe na kumpa nondo za Kisheria au ndo anamuacha ateketee huku anamuona?
Hawa wajerumani wanajifanya kimbelembele sana kuwaunga wapinzani wa ccm mkono. Nia ya mabeberu kuvuruga serikali za kimapinduzi na kuweka vibaraka wao kila mahali.
 
Back
Top Bottom