Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
Fimbo ya mbali haiuwi nyoka Mr learned counsel.
Mambo ni mazito maana kamanda kila anachofanya hakifanikiwi
Kibatala na wenzake kila Pingamizi wanaloweka linagonga mwamba.
Hii ni dalili mbaya kwa Mwamba huenda maana huenda wakamnig'iniza.
Kwa sababu upo vizuri na ulidai hii ni kesi ndogo basi njoo umuokoe mwamba.
Mambo ni mazito maana kamanda kila anachofanya hakifanikiwi
Kibatala na wenzake kila Pingamizi wanaloweka linagonga mwamba.
Hii ni dalili mbaya kwa Mwamba huenda maana huenda wakamnig'iniza.
Kwa sababu upo vizuri na ulidai hii ni kesi ndogo basi njoo umuokoe mwamba.