chukuachako
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 1,186
- 797
Akae huko tunayoyajua anatosha
Sisi sote Watanzania tuweke kando tofauti zetu tulijenge taifa kwa umoja.
Sio jukumu lakoKariri
Leo ndo mnakumbuka hayaSisi sote Watanzania tuweke kando tofauti zetu tulijenge taifa kwa umoja.
Mnalo hilo, misaba tena to graveSerikali ya mama Samia haiwezi kukubali upumbavu wake
Umenena vema, ila naona ccm asili ni rahisi sana kufanya kazi pamoja na ccm mtandao kuliko hawa ccm mpya.Hakuna kipindi kibaya kwa Serikali ya CCM kama kipindi hiki. Hofu kwa Watendaji wa Serikali imetoweka ghafla. Ni kipindi cha kila kundi kulipiza kisasi kwa wabaya wao. Makundi hayo ni
1.CCM Asili
2.CCM Mtandao
3.CCM Mpya.
Wakati huo huo ni furaha kwa Wapinzani kwani hakutukuwepo na kundi litakalokuwa na nguvu ya kupambana nao moja kwa moja.
CCM kuna uwezekano mkubwa kutofika 2025 wakiwa wamoja. Hii ni kutokana na misimamo ya kila kundi.
Nchi ina wenyewe, ndivo mnavojidanganya.Huyu jamaa nazidi kumuona mpumbavu sana
Akae kwa kutulia nchi ina wenyewe...yeye aliamua kuondoka..abaki tu hukohuko...unaiwekea condition nchi wewe kama nani.....fala kweli huyu..hakuna aliyemfukuza