Plot281
JF-Expert Member
- Nov 24, 2016
- 875
- 454
KaririMama ni mama tu ni mwema siku zote mama hauwi
KaririMama ni mama tu ni mwema siku zote mama hauwi
Ukomavu wa siasa Tanzania ni kutosema kweli ambayo popote ukienda itabaki hivyoHana ukomavu wa kisiasa
Magufuli alikuwa nao?Hana ukomavu wa kisiasa
Itasaidia sana. Itaweka kumbukumbu ili wengine wasije kurudia. Huu tunaita utamaduni wa kiafrika eti marehemu hasemwi unatocost sana. Kila siku tunarudia makosa yaliyofanywa na babu zetu kisa tunakataa kukiri kuwa walikosea. Makosa ya Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Magufuli yakiwekwa wazi na tukajifunza hatuwezi kuyarudia na tutakuwa tunapiga hatua badala ya mark timeLissu yaliyopita si ndwele. Sasa hata ukimuanika kishakufa. Haitasaidia. Najiuliza hivi wizara ya Elimu itaendelea na mchakato wake wa Somo la Historia ?
N kweli lkn CCM ni ile ile hakuna punguzo lolote, walikuwepo wengi wakapita na watakuja wengi na watapitaHakuna kipindi kibaya kwa Serikali ya CCM kama kipindi hiki. Hofu kwa Watendaji wa Serikali imetoweka ghafla. Ni kipindi cha kila kundi kulipiza kisasi wa wabaya wao. Makundi hayo ni
1.CCM Asili
2.CCM Mtandao
3.CCM Mpya.
Wakati huo huo ni furaha kwa Wapinzani kwani hakutukuwepo na kundi litakalokuwa na nguvu ya kupambana nao moja kwa moja.
CCM kuna uwezekano mkubwa kutofika 2025 wakiwa wamoja. Hii ni kutokana ba misimamo ya kila kundi.
Angalizo zuri sana!Lissu yaliyopita si ndwele. Sasa hata ukimuanika kishakufa. Haitasaidia. Najiuliza hivi wizara ya Elimu itaendelea na mchakato wake wa Somo la Historia ?
Wanalazimisha tumpendeCCM wote ni wanafiki amekufa Mzee Nyerere waliomboleza mwezi mzima lakini kilichofuatia ni kuiba juu ya kuiba,ufisadi juu ya ufisadi huko butiama ukiondoa kaburi la Nyerere kitu gani kimeendelezwa?
Madini yote mnagawana na ndugu zenu,leo kwenye maradio,tv ,magazeti yameandikwa mpakaaaa lakini hakuna kitakacho endelea ,bado mnataka tumpende mwendazake kwa lipi?
Leo hii mtandao wa twitter umefungwa ili mradi watu wasijadili mambo ya nchi yao !huyo marehemu Joni tutampenda kwa lipi?Tuachieni mitandao yetu
Bado pia Ni hisia zako tu, CCM Ni Ile Ile.Hakuna kipindi kibaya kwa Serikali ya CCM kama kipindi hiki. Hofu kwa Watendaji wa Serikali imetoweka ghafla. Ni kipindi cha kila kundi kulipiza kisasi kwa wabaya wao. Makundi hayo ni
1.CCM Asili
2.CCM Mtandao
3.CCM Mpya.
Wakati huo huo ni furaha kwa Wapinzani kwani hakutukuwepo na kundi litakalokuwa na nguvu ya kupambana nao moja kwa moja.
CCM kuna uwezekano mkubwa kutofika 2025 wakiwa wamoja. Hii ni kutokana na misimamo ya kila kundi.