Mohamedi Mtoi
R I P
- Dec 11, 2010
- 3,321
- 6,328
Wasiwasi ushaidi ukikamilika atamuambia auwasilishe kwa njia ya maandishi halafu ata upotezea kama alivyofanya kwa Pinda. Pinda alidanganya na yeyote aliyesoma ule ushahidi wa lema anajua. Makinda anawalinda mawaziri wa chama chake lakini ajue kuwa itamtokea puani siku moja yeye na chama chake. Watanzania wameamka na wanajua nyeusi na nyeupe.