PrN-kazi
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 2,900
- 444
Kwa mujibu wa hii ya leo, inadhihirisa kwamba, siku zote Mjengoni Mawaziri wamekua wakitoa majibu na maelezo ya uhongo kwa jua kwamba wananchi na wabunge hawajui kinachoendelea, imefika hatua sasa siri zimeanza kubumburuka na huu mpango wa kuwa na vyama (upinzani) matunda yake ndo haya, hakuna hatakaye kubali kudanganyika katika karne hii.
Ngereja amesema alitembelea sehemu husika kwa mara ya mwisho ilikuwa 2007 leo hii anatoa majibu kana kwamba hiyo sehemu ana ukaribu nayo; ni Hatari ktk maendeleo ya Nchi.
Tundu Lissu usife moyo endelea kupambana wengi tuko nyuma yako.
Ngereja amesema alitembelea sehemu husika kwa mara ya mwisho ilikuwa 2007 leo hii anatoa majibu kana kwamba hiyo sehemu ana ukaribu nayo; ni Hatari ktk maendeleo ya Nchi.
Tundu Lissu usife moyo endelea kupambana wengi tuko nyuma yako.