Nasema hili kwa uchungu na masikitiko makubwa kama binadamu! Tindua is clearly finished, ni mtu mwenye ulemavu wa mwili na akili sasa angepumzika tu huko belgium , inauma sana kuwa ni mlemavu sasa alie na vyuma mwilini na anaetembea kwa msaada wa magongo ila hatuna jinsi huu ni ukweli! mtu wa bush basi atapiga kelele mno huku na huko ila bongo hakanyagi tena huyo, kwasasa ni mwoga kama kunguru! yani kila akiwaza bongo picha ya ziraili tu ndo inajaa akilini mwake anaziba macho, anatetemeka, moyo unapiga tii tii tiii! jazba , ulimbukeni, kupenda mno sifa, ushamba , uanakijiji na majivuno viliijenga personality yake! alisahau msemo wa wahenga "werevu mwingi mbele giza" . Mimi nilizaliwa mjini nikasoma mjini na naishi mjini, nafaa kabisa kuelezea tabia za wanavijiji wanapokuja kuishi mjini!daima hujitutumua sana kuonesha watu wa mjini kuwa wanajua sana ila kijiji huwa hakiwatoki! kwasasa Tindua anahaha na kutangatanga uzunguni kuelezea yaliyomkuta ili aonewe huruma apewe makazi huku uzunguni inaitwa asylum!! wabongo wa uzunguni tuna akili mno tushamjua! Huyu kama hawezi tena kupanda ghorofa ya kumi kwa kutumia ngazi na hawezi tena kupiga push up sasa hiki ni kituko cha karne eti agombee urais, au sijaelewa ana maanisha urais wa kuongoza familia yake au ukoo wake au mtaa kule bush kwao kuku wa kienyeji hawaishi karne ya mia mbili sasa, wenyewe wakuja wanapaita Singapore! ha ha ha! hivi nyie watu wa ba - vichaa mnajua uzito halisi wa mzigo wa urais?
Nadhani pia baba yake Tindua huyu msanii bwana Meku Frii mani = selo+kulima kunde kwa meno segerea , anamfanana sana, nae huyu mzee "mtu huru" alie gerezani ni mlemavu wa akili kutoka kule bush panaitwa mfu aka hayi!! majina mengine si ya kuwapa watoto ovyo ovyo aisee Meku ni mikosi na nuksi balaa tupu! yaani jina lako tu basi selo inakuchekea chekea ovyo ovyo tu kila ukikimbia spidi kali kama duma huku umenyoosha vidole viwili juu , ukigeuka nyuma kucheki dah selo hii hapa inakuita wewe injinia frii mani soma hiyo dhamana imeandikwaje?, njoo huku selo ulale! ha ha ha!