Tundu Lissu ndani ya BBC HARDtalk

Tundu Lissu ndani ya BBC HARDtalk

Umeanza Lini Hivi Tuseme Lumumba FC Hurudi Tena.
Siwezi kukaa naangalia watanzania wenzangu wakiteketezwa katiba ikisokotewa tumbaku bunge la manunuzi likitiwa kwenye mfukoni
 
Nilifikiri BBC- Muzungu kumbe BBC- house negroes? Hamna kitu hapo, targeted audience ni TZ, Kongo(Mashariki), Kenya (wale choka mbaya) na labda kidogo Burundi lkn wana yao BBC Kinyarwanda.

Hakuna Muzungu ataangalia huo ujinga!

Next, ...
Uchawi ni hali ya mtu kujenga nia na kufanya kwa maneno au matendo mambo yanayoleta huzuni na maumivu kwa wengine.
 
Tiririka, mimi naenda kunawa uso ninazo Cotton buds nasafisha vizuri ili nipate kumuona Mwanasiasa na Mwanasheria Nguli ambae ni kipenzi cha Watanzania.
View attachment 995531
Hehe he hee ...

Kama namuona jiwe ...hahaa mashavu yamemvimba kama mimba ya panya
tapatalk_1547192112659.gif


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usishangae BBC wakaitwa wachochezi

In God we Trust
Mabeberu ... BBC nao jinsi wanavyo penda habari za moto ... aisee lazima hii issue ya lisu waipe nafasi kubwa mno tena Sana ..maana itawasaidia kuuza sana habari zao na kuwanufaisha kwa kiasi kikubwa ...

Win win win ..win win win ... i love you die oohhh ccm oyeeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bad news to the establishment.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hardtalk kipindi kizito sana. Sidhani kama kuna Mtanzania mwingine amepata kuonekana kwenye kipindi kile. Mwaka jana kabla ya ule mkutano wa China-Afrika niliwaonea wivu Wakenya kwa rais wao kuzungumza kwenye hardtalk. Viongozi wa dunia who matter (not the likes of Trump) must appear on bbc.
 
Je ataichokonoa serikali au speed imepungua?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ujasiri ni lissu na lissu ni ujasiri ...so anaanzaje kupunguza kasi kwa mfano ...kama risasi zilishindwa kumpunguza. Ninani mwingine mwenye jeuri hiyo ...Apite mbele

Jiwe mwenyewe haamini anamuona jamaa kama ni monster hivi ..haha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom