nimemkumbuka huyu kijana enzi bado hajapata ukuu..Halina aibu kabisa hilo dude linadhani watanzania tumeshasahau machungu ya mh lissu
In God we Trust
huyu mdudu Lizaboni kafia wapiA.K.A lizaboni
In God we Trust
huyu mdudu Lizaboni kafia wapi![]()
![]()
jamaa alikuwa anampenda LOWASSA ballaa
Sent using Jamii Forums mobile app
kwahiyo sasahivi anashinda na rangi ya kijani kutwa kuchaSasa hivi yupo ndani ya lumumba ili mradi mkono unaenda kinywani
In God we Trust



Yule mzee Lwaitama ni hazina ya taifa kabisa na ana maono makuu na anaongea ukweli bila ya kumuogopa mtu wala malaika wasiyo julikanakwahiyo sasahivi anashinda na rangi ya kijani kutwa kucha![]()
![]()
mzee Rwaitama amesema juzi kuwa hiki kipindi cha jiwe kumekuwa na ongezeko kubwa la vijana kwa wazee kushindakukesha na kivazikijani sijui wamepatwa na nn![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app